Asasi za Kiraia kuishtaki Tanzania kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya haki za binadamu Afrika

Asasi za Kiraia kuishtaki Tanzania kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya haki za binadamu Afrika

Hivi hawa watu wanaelewa maana ya sovereign state? Wanaelewa maana ya nchi kuwa huru? Nchi kujiunga na hiyo Mahakama ni hiari na kujitoa ni hiari pia na ndo maana kuna hiyo option ya kujitoa, sasa nchi imeamua kujitoa unasema unakwenda kushitaki, hivi mna akili timamu kweli?

Mimi ni Mwanachama wa Club, nimejiunga kwa hiari na naweza kujitoa kwa hiari sasa iweje unishitak kwa kujitoa? Kama una deni na mimi nitalipa lkn huwezi kunizuia kujitoa, ...
 
Hii zumbukuku nchi ni nani? Unapelekwa utumwani unatoa meno nje kama ngiri. Sasa Magu,makondakta, na wote wataanza kubaka mamako kwa zamu halafu watarudia mkeo na dada zako kwa sababu wana kalia dola na mwingine ana kinga uchwara ndio utakuna hayo makalio. Itapitishwa sheria ya wewe kwenda kuliwa mdondo na mkuu kila alhamisi ndio utajua
You have gotten personal!
 
Acha uongo Afrika ina nchi 54 kwa hiyo unataka kuwadanganya watanzania kuwa zimebaki nchi 14 tu? Watanzania sio wajinga kuwa unaweza kuwadanganya.
nchi 9 tu ambazo zimethibitisha. Anachokisema ni kweli


Members

Members of the African Court on Human and Peoples' Rights.
Burgundy - fully recognize the competence of the court
Pink - other states that have ratified the protocol
As of January 2019, nine state parties to the protocol have made a declaration recognizing the competence of the Court to receive cases from non-government organizations (NGOs) and individuals. The nine states are Benin, Burkina Faso, Côte d'Ivoire, Ghana, Mali, Malawi, Rwanda, Tanzania, the Gambia and Tunisia.[2] Altogether, 30 states have ratified the protocol: Algeria, Benin, Burkina Faso, Burundi, Cameroon, Chad, Côte d'Ivoire, Comoros, Republic of the Congo, Gabon, Gambia, Ghana, Kenya, Libya, Lesotho, Mali, Malawi, Mozambique, Mauritania, Mauritius, Nigeria, Niger, Rwanda, Sahrawi Arab Democratic Republic, South Africa, Senega
 
Hivi hawa watu wanaelewa maana ya sovereign state? Wanaelewa maana ya nchi kuwa huru? Nchi kujiunga na hiyo Mahakama ni hiari na kujitoa ni hiari pia na ndo maana kuna hiyo option ya kujitoa, sasa nchi imeamua kujitoa unasema unakwenda kushitaki, hivi mna akili timamu kweli?

Mimi ni Mwanachama wa Club, nimejiunga kwa hiari na naweza kujitoa kwa hiari sasa iweje unishitak kwa kujitoa? Kama una deni na mimi nitalipa lkn huwezi kunizuia kujitoa, ...
Hahaha ni hiyari ya watawala au wananchi?
Hoja hiyo imepelekwa bungeni kwa wawakilishi wetu, wakaafiki tujitoe Tanzania au ni mtawala mmoja kaamua kujitoa kwa Tanzania?!
Hii ni kulinda maslahi ya wananchi au ya watawala?!
 
Hahaha ni hiyari ya watawala au wananchi?
Hoja hiyo imepelekwa bungeni kwa wawakilishi wetu, wakaafiki tujitoe Tanzania au ni mtawala mmoja kaamua kujitoa kwa Tanzania?!
Hii ni kulinda maslahi ya wananchi au ya watawala?!


Siyo lazima kila maamuzi ya Serikali yapelekwe Bungeni, na ndio maana tunafanya Uchaguzi na tunayemchagua tunamuamini atuwakilishe.
 
Siyo lazima kila maamuzi ya Serikali yapelekwe Bungeni, na ndio maana tunafanya Uchaguzi na tunayemchagua tunamuamini atuwakilishe.
Nilidhani unaongelea taifa kumbe kikundi cha watu?!
Kabudi hajachaguliwa bali aliteuliwa kumsaidia mtu mmoja kazi, alipaswa amshauri aliyechaguliwa kisha yeye ndiye aamue.
Ukimuajiri personal secretary, sidhani kama anaweza kukufanyia maamuzi kwenye kampuni yako. Anaweza kuchapa barua lakini signatory ni wewe uliye muajiri, siyo yeye.
 
Hivi hawa watu wanaelewa maana ya sovereign state? Wanaelewa maana ya nchi kuwa huru? Nchi kujiunga na hiyo Mahakama ni hiari na kujitoa ni hiari pia na ndo maana kuna hiyo option ya kujitoa, sasa nchi imeamua kujitoa unasema unakwenda kushitaki, hivi mna akili timamu kweli?

Mimi ni Mwanachama wa Club, nimejiunga kwa hiari na naweza kujitoa kwa hiari sasa iweje unishitak kwa kujitoa? Kama una deni na mimi nitalipa lkn huwezi kunizuia kujitoa, ...
Hahaha una pinduka piduka, ulikuwa hutaki alaumiwe Kabudi sasa umeanza ligi nyingine.
 
Kuna nchi zaidi ya 40 Afrika zimejitoa katika hiyo mahakama sio Tanzania pekee!

Zitaje usilete uongo wako hapa. Mahakama yenyewe haijawahi kuwa rectified na nchi 40 hizo zilizojitoa zilijitoaje?
 
Nilidhani unaongelea taifa kumbe kikundi cha watu?!
Kabudi hajachaguliwa bali aliteuliwa kumsaidia mtu mmoja kazi, alipaswa amshauri aliyechaguliwa kisha yeye ndiye aamue.
Ukimuajiri personal secretary, sidhani kama anaweza kukufanyia maamuzi kwenye kampuni yako. Anaweza kuchapa barua lakini signatory ni wewe uliye muajiri, siyo yeye.


Kabudi anaingiaje hapa?
 
Acha uongo Afrika ina nchi 54 kwa hiyo unataka kuwadanganya watanzania kuwa zimebaki nchi 14 tu? Watanzania sio wajinga kuwa unaweza kuwadanganya.

Ni kweli, si Watanzania wote ni wajinga. Jamaa hajui kuwa msingi wa African Charter ni uanachama wa African Union. Na hapa ndipo Tanzania itashindwa katika ombi lake, haiwezi kujitoa katika msingi mkuu wa kuanzishwa kwa African Charter on Human and People's Rights huku akiwa mwanachama wa AU. Moja ya haki zenyewe ni kutoa kwa haki za kisheria bila kuangalia rangi, utaifa, dini, kabila, jinsia nk. Ninadhani ombi lao hili litawafungua akili kujua hawawezi tu wakata wao wawe washitaki, hakimu, na watoa adhabu. Moja ya sababu kubwa ya vita Afrika ni kuwepo kwa vyombo visivyoheshimu haki za binadamu. Kutokuwepo na access kwa mahakama hii kutaikosesha jumuia ya kimataifa kujishughulisha na mambo ya ndani ya Tanzania na wakati huo huo haki hazitolewi ndani ya Tanzania. Lawlessness huanza hivi na kisha kufikia spillover.
 
kwani unaweza kuilazimisha nchi kufuata matakwa yako wewe wakala mbobezi. Nchi inaweza kujitoa kwenye mahusiano yoyote ikigundua hakuna Maslahi kwa Wananchi wake.

Mfano unaweza ukamlazimisha Dada ako aolewee na kichaa wa kumpiga ngumi kila siku ili tu aitwe ameolewa
Mfano ni faida zipi unapata ukijitoa kwenye mahakama hiyo??? Acheni kutaka kuwaburuza wtz kama mbuzi!!! Ni bunge lipi ambalo limekaa na kuridhia??? Wananchi tumewatuma huduma bora na sio kujitoa taasisi za kimataifa ili mtunyonge gizani na hivi mnatuitaga wanyonge
 
Sasa Nchi inakuwaje Nchi bila ya Wananchi? Hao unaotaka kuwaona ni Nchi ni watumishi wetu hivyo hawana mamlaka yoyote ya kuamua mustakabal wetu bila ya ridhaa yetu.
Hivi hawa watu wanaelewa maana ya sovereign state? Wanaelewa maana ya nchi kuwa huru? Nchi kujiunga na hiyo Mahakama ni hiari na kujitoa ni hiari pia na ndo maana kuna hiyo option ya kujitoa, sasa nchi imeamua kujitoa unasema unakwenda kushitaki, hivi mna akili timamu kweli?

Mimi ni Mwanachama wa Club, nimejiunga kwa hiari na naweza kujitoa kwa hiari sasa iweje unishitak kwa kujitoa? Kama una deni na mimi nitalipa lkn huwezi kunizuia kujitoa, ...
 
Sasa Nchi inakuwaje Nchi bila ya Wananchi? Hao unaotaka kuwaona ni Nchi ni watumishi wetu hivyo hawana mamlaka yoyote ya kuamua mustakabal wetu bila ya ridhaa yetu.


Unaelewa maana ya Uchaguzi wa Viongozi? Isitoshe kama ni hivyo kwa nini nchi nzima hamuhudhurii Mkutano wa UN New York badala yake wanakwenda wachache?
 
 Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu,Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika,Onesmo Olengurumwa,

Dar es Salaam. Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THRDC) na Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) wamesema wanatafakari kuIshtaki Serikali ya Tanzania katika kamisheni ya Umoja wa Afrika kwa kutaka kujitoa kwenye itifaki ya Mahakama ya Haki za Binadamu ya Afrika.

Katika barua iliyosainiwa na Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania, Profesa Palamagamba Kabudi ya Novemba 21, 2019, inaeleza nia ya Tanzania kujiondoa kwenye mahakama hiyo ili kutafakari suala hilo.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano Desemba 4, 2019 jijini Dar es Salaam mratibu wa THRDC, Onesmo Olengurumwa amesema hatua ya kwanza ni kujadiliana na Serikali wakati wakiendelea kuangalia uwekezako wa kupinga hatua hiyo kwenye mahakama hiyo.

“Tutajaribu kupinga kwa sababu kwa sasa sheria na kanuni ziko kimya hazionyeshi utaratibu wa nchi inayojitoa watu wanaweza kwenda kwenye mahakama hiyohiyo kufungua kesi.”

“Ikishindikana hiyo tutakwenda kupitia kamisheni kule Banjul (Gambia) kwa sababu Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika ndiyo mama wa hii mahakama,” amesema Olengurumwa.

Amesema mahakama hiyo iliundwa baada ya kuonekana tume ya haki za binadamu ya Afrika haikuwa na nafasi ya kusikiliza kesi.

Mkurugenzi wa LHRC, Anna Henga amesema kusudio la Serikali kujitoa katika mahakama hiyo litasababisha gharama kubwa kwa wananchi kupeleka kesi zao Tume ya Haki za Binadamu ya Afrika nchini Gambia.

“Mtu atafute visa, atafute gharama za ndege, mwanasheria wa kwenda kule lakini hapa Arusha unaweza kwenda hata kwa Bajaji. Kwa hiyo ile access to justice (uwezekano wa kupata haki) unakuwa mgumu mno,” amesema Henga.
Hata ninyi (THRDC) na (LHRC) wenywe kaeni chonjo mtakuja kufutwa mbele ya safari. Na ndicho kilichoua EAC ya zamani na hii mpya haifiki mbali.
 
Back
Top Bottom