Shikono Avant
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 123
- 129
Kama uzi unavyojieleza njooni tujadili changamoto na njia za kuweza kujikwamua na hii hali,
Hali ni mbaya saana
Uzi tayari.
Hali ni mbaya saana
Uzi tayari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anamaanisha hana mke, hana mbele Wala nyuma kimaendeleo.Unaposema hatuna any direction una maana ipi mkuu,
Ajira, gari, nyumba au nini
Kwani mtu wa miaka 40 anapaswa kumiliki nini na nini?
Yaah Ajira au kitu chochote cha kukuingizia kipato nacho ni shida, inshort dependentUnaposema hatuna any direction una maana ipi mkuu,
Ajira, gari, nyumba au nini
exactlyAnamaanisha hana mke, hana mbele Wala nyuma kimaendeleo.
Japo mimi sio mzee ila naweza nikashauri kitu...Kama uzi unavyojieleza njooni tujadili changamoto na njia za kuweza kujikwamua na hii hali,
Hali ni mbaya saana
Uzi tayari.
HahhaaaaaaMimi nina 55, vitu pekee ninavyomiliki ni ndevu pamoja na dushe.
Mzee tezi dume piaMimi nina 55, vitu pekee ninavyomiliki ni ndevu pamoja na dushe.
Hata kufyatua tofali za kuchoma,kupanga milonge,minyonyo,kulima mbaazi,karanga,kufuga nyuki,kulima muhogo,kukata mkaa, kufungua kijiwe cha kukusanya taka za plastic na screpa umeshindwa mzee mwenzangu.Kama uzi unavyojieleza njooni tujadili changamoto na njia za kuweza kujikwamua na hii hali,
Hali ni mbaya saana
Uzi tayari.
Hapo kwenye kuoa utaponza watu wanawake wa miaka 1980 sio sawa na hawa 1990Japo mimi sio mzee ila naweza nikashauri kitu...
Niliajiriwa nikiwa na miaka 25, japo kipato Ni kidogo ila kinatosha kuanzia,
Miaka mitatu ya kwanza kwenye ajira sikufanya chochote Cha maendeleo zaidi ya kufuja hela.
Nikiwana miaka 28 Nilioa ghafla(sababu zilizonifanya nioe ni sio classified ila zinatakiwa ziwe kwenye uzi wake) nilipata wife material sikuwa nimejipanga kuoa na Wala mambo yangu hayakuwa poa.
Baada ya kuoa safari ya mafanikio ndo ikaanza saivi Niko na miaka 30 nina mke na mtoto japo hela nyingi Sina ila kwenye safari ya mafanikio kwenye Kona na drift napita na speed 120.
Hivyo wazee oeni ufala utawapungua na itawasaidia kuwa na focus.
Ukiwa na mafanikio halafu huna familia hakika huwezi furahia mafanikio yako pekeyako,Hapo kwenye kuoa utaponza watu wanawake wa miaka 1980 sio sawa na hawa 1990
😂😂😂Uiwaze mi nina 60 nipo home baba ananitatutia kazi
Unani inspire nivute jikoUkiwa na mafanikio halafu huna familia hakika huwezi furahia mafanikio yako pekeyako,
Ukiwa na familia na unaweza kuitunza hata usipo fanikiwa Sana hakika utaishi maisha ya furaha.
Mimi nilichukua jiko nikajua nikipata mke labda makali ya maisha yatapungua, nikamchukua nikamuweka nyumban, Mama alinipa chumba kimoja sasa changamoto baba mkwe alikuwa anataka nimpe pesa kama sina hela niende nikamlimie mashamba yake zilikuwa heka 4Ukiwa na mafanikio halafu huna familia hakika huwezi furahia mafanikio yako pekeyako,
Ukiwa na familia na unaweza kuitunza hata usipo fanikiwa Sana hakika utaishi maisha ya furaha.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]umetishaUzee unaanza unapostaafu 60+