Shikono Avant
Senior Member
- Nov 23, 2019
- 123
- 129
- Thread starter
- #41
😂😂😂Ina maana huna hizi kende za akina dokta Shika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂Ina maana huna hizi kende za akina dokta Shika
Forever and always ✌️✌️✌️✌️✌️✌️😉😉
Ndio unatukandiaHapo kwenye kuoa utaponza watu wanawake wa miaka 1980 sio sawa na hawa 1990
Sio nyinyi tu inshort kizazi cha 90 kina balaaNdio unatukandia
Ila upo sahihi kweli mizinguo ni ya kutosha.Sio nyinyi tu inshort kizazi cha 90 kina balaa
watu pia wanachangia mambo kuwa magumu hasa wagen wanaokuja nyumban, huwa najifungia tu ndan maana maneno yao ni balaaLife start at 40 , mwaka huu kama unafunga 40, then usiwaze .
All in all, kuna mtu pengine asikuelewe lakini mifumo ya dunia ya tatu inavunja moyo,vijana wengi wapo tu...Africa ni shida, unajitahidi wee lakini na kurogana kupo humo humo, trust me watu wa karibu wanaharibu sana.
Inauma sana.
Baskeli , mke, redio na watotoKwani mtu wa miaka 40 anapaswa kumiliki nini na nini?
Wanavokuona hivo ndio wanafurahi, usidhani wanakuonea huruma.watu pia wanachangia mambo kuwa magumu hasa wagen wanaokuja nyumban, huwa najifungia tu ndan maana maneno yao ni balaa
na nukuu "wew baba ndo unafanya watoto wetu wasipende shule"
, 😂😂🤣watu pia wanachangia mambo kuwa magumu hasa wagen wanaokuja nyumban, huwa najifungia tu ndan maana maneno yao ni balaa
na nukuu "wew baba ndo unafanya watoto wetu wasipende shule"
Na una uhakika pasipo shaka yoyote kuwarithisha wanao jina la ukooMimi nina 55, vitu pekee ninavyomiliki ni ndevu pamoja na dushe.
Nikifanikiwa mim nayeye c atanufaika kwa upande mmoja ama mwingine mfano nikifungua duka nayeye si atanufaika nimemzogezea huduma jiran au akiwa na shida c atakuja kunikopa kwahyo tuombeane mazur tuuWanavokuona hivo ndio wanafurahi, usidhani wanakuonea huruma.
Upo wapi mzeeNikifanikiwa mim nayeye c atanufaika kwa upande mmoja ama mwingine mfano nikifungua duka nayeye si atanufaika nimemzogezea huduma jiran au akiwa na shida c atakuja kunikopa kwahyo tuombeane mazur tuu
Nipo Songea mbinga mkoa wa RuvumaUpo wapi mzee
Nasikia ishus za mahindi huko ni nje nje gunia km elf 40 tuNipo Songea mbinga mkoa wa Ruvuma
Bado hawajaanza kuvuna vizur hayajachanganyia mpaka sasa gunia 60,000 kwamaana kilo moja 570Nasikia ishus za mahindi huko ni nje nje gunia km elf 40 tu
Naomba uwe mwenyeji wangu huko some days later....nipenyezee contacts inboxBado hawajaanza kuvuna vizur hayajachanganyia mpaka sasa gunia 60,000 kwamaana kilo moja 570