Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,095
- 22,731
Ila hili taifa, kizazi cha kuanzai miaka ya 1979 hadi maika ya 2000 mwanzoni ni kizazi ambacho kinaongoza kwa kupotezewa direction na Serikali ya CCM.
Maana asilimia kubwa hawana kazi au ajira rasmi wanaishi kwa madili ya mjini,michongo ya kupeana na misaada so hii ina maanisha ni kizazi ambacho hakitakuwa na mafao ya uzeeni ya kiinua mgongo.
Asilimia kubwa hawajaoa na kuolewa wanaishi mahusiano ya kusindikizana na kuachiana njiani na kila wakitoka uhusiano m'moja kwenda mwingine partner mpya anakuwa hasara kuliko aliyetangulia so no future in relationships ni kupoteza muda kama kujifurahisha na kuwa katika risks ya kuambukizana magonjwa na kutoa mimba hovyo.
Asilimia kubwa wamezaa bila ndoa na wamezaa na watu ambao hawapo nao tena kifamilia so hii inamaanisha no proper family bali ni kuishi tu king'ombe ng'ombe. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kizazi ambacho hakijielewi kililetwa duniani kufanya nini kwa asilimia kubwa wapo wapo tu kwenye siasa hawawajibiki, kwenye jamii hawapo, kwenye imani sifuri yaani basi tu wapo wapo bora twende.
So dah..... MUNGU atusaidie sana hiki kizazi maana tuyaishi maisha yetu kama watoto wa kafara.
Maana asilimia kubwa hawana kazi au ajira rasmi wanaishi kwa madili ya mjini,michongo ya kupeana na misaada so hii ina maanisha ni kizazi ambacho hakitakuwa na mafao ya uzeeni ya kiinua mgongo.
Asilimia kubwa hawajaoa na kuolewa wanaishi mahusiano ya kusindikizana na kuachiana njiani na kila wakitoka uhusiano m'moja kwenda mwingine partner mpya anakuwa hasara kuliko aliyetangulia so no future in relationships ni kupoteza muda kama kujifurahisha na kuwa katika risks ya kuambukizana magonjwa na kutoa mimba hovyo.
Asilimia kubwa wamezaa bila ndoa na wamezaa na watu ambao hawapo nao tena kifamilia so hii inamaanisha no proper family bali ni kuishi tu king'ombe ng'ombe. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ni kizazi ambacho hakijielewi kililetwa duniani kufanya nini kwa asilimia kubwa wapo wapo tu kwenye siasa hawawajibiki, kwenye jamii hawapo, kwenye imani sifuri yaani basi tu wapo wapo bora twende.
So dah..... MUNGU atusaidie sana hiki kizazi maana tuyaishi maisha yetu kama watoto wa kafara.