Asee Wazee wenzangu tunaofikisha umri wa miaka 40+ mwaka huu na hatuna any direction njooni hapa tu jadiliane

Yaani dunia ya sasa bado unaangalia jamii itakuonaje? Au hujui hata wewe ni jamii ndgu yangu.

Unaoa kwaajili ya jamii au kwa ajili yako mkuu.??
Kweli kabisa sasahiv mambo yamebadilika hamna kushangaana cha msingi ni kufanya unachoweza tuu sio kumuangalia fulan atasema nini maana hata hao unawaona watasema kitu hawana msaada kabisa
 
M
Mke naoa kwa ajili yangu ila ntaishi na kwenye jamii, Point yangu Ni kwamba kuoa/kuolewa sio lazima ila inaongeza heshima.

Ukiwa na mafanikio ila huna mke heshima utayoipata ni ndogo.
Mkuu uwe na pesa halafu usipate heshima, ni heshima gani unayoongelea ndgu yangu??

Hiyo ni miaka ya zamani ndgu na labda kwa vijijini ila mijini hamnaga hiyo kitu aisee.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…