Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

Asije akakudanganya Mtu, wanawake nao wanatamani wanaume

Kama nyie mnavyotamani wanawake tofauti tofauti nasi ni hivohivo tunatamani wanaume tofauti sema ndo hivo unajizuia tu,
NOTE,mwanamke akikutaka anakupata tu
Ulisikia wapi mwanamke akimtaka mwanaume yeyote anampata my dear pole pole pole
Pole pole pole pole tena pole
Mbona mi nishachomoa wengi tu siwezi kukojoa kila shimo [emoji317][emoji848]

That principle doesn't apply to every man watu wana selection zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji2962]
 
Ulisikia wapi mwanamke akimtaka mwanaume yeyote anampata my dear pole pole pole
Pole pole pole pole tena pole
Mbona mi nishachomoa wengi tu siwezi kukojoa kila shimo [emoji317][emoji848]

That principle doesn't apply to every man watu wana selection zao [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] [emoji2962]
Hongera kidume,mpaka uwe na msimamo bila msimamo utaokotwa tu
 
Kama nyie mnavyotamani wanawake tofauti tofauti nasi ni hivohivo tunatamani wanaume tofauti sema ndo hivo unajizuia tu,
NOTE,mwanamke akikutaka anakupata tu

Kuna mwanmke najua kabisa ni mdangaji ila ana power flan hivi ya kuvutia, niko napambana na mimi mwenyewe kumkwepa
 
Ex wangu huyo namtamani hatari ni handsome man mtanashati ananukia na vipesa vyake vya kununulia Subaru Forester ila ndio hivyoooo ni Exxx
wanasemaga ma ex wanaoachana bila ugomvi 90% hurudiana na wakirudiana break ni Ndoa.
 
Kwema Wakuu!

Kuna mtu alianzisha mada hapa akiuliza swali, je wanawake wanatamani Kama wanaume?
Kabla hujajibu swali hilo unatakiwa ujue kuwa Mwanamke ni Binadamu Kama wewe Kwa 100%.
Ikiwa mwanamke ni Binadamu Kama wewe basi jibu la swali hilo ni ndio, Wanawake wanatamani tena sio kidogo, wanatamani Kama ilivyo Kwa Wanaume.

Hivyo weka akilini kuwa kama wewe jinsi ukipita ukimuona Mdada mrembo ukamtamani, basi ndivyo hivyohivyo wanawake wakikutana na wanaume wazuri/handsome boy njiani huwatamani tena sio kidogo.
Wanawake wanatamani

i. Wanaume wazuri wa Sura
ii. Wenye ndevu zilizochongwa vizuri iwe za mashavuni au kidevuni na walionyoa minyoo mizuri kichwani ya kuvutia. Sio unyoe kama mwanafunzi
iii.wanaume warefu kiasi
Iv. Wanaume wenye vifua vilivyopangika, kisiwe kikubwa Sana.
v. Wenye sauti nzito wanaojua kuipangilia
vi. Wanaume watanashati , wasafi na mavazi mazuri.
Vii. Wanawake wanatamani wanaume wacheshi lakini wasio na mazoea ya hovyo na wanawake.
Yaani uwe na ukauzu flani lakini usizidishe.
Sio umekutana naye tuu unaanza shobo au unarusharusha macho kuangalia warembo wengine.

VIII. Wanawake wanatamani mpaka wengine kulowanisha chupi wakiona sehemu ya flaizi/zipu ya suruali ya mwanaume ikiwa imetuna na uume kujichora.
Zingatia wanawake hata kama hawatakuambia lakini wanapenda Mashine kubwa ikipungua iwe saizi ya Kati.

Ix. Wanawake wanatamani wanaume wenye pesa lakini sio kingono kama Mwanaume huyo Hana mvuto, uwe na kigari, sehemu nzuri ya kuishi, unajipenda au unamaisha Fulani ya ubizebize.
Wanawake ni ngumu kutamani mwanaume ambaye amekaa kijiweni.
Wanakasumba mbaya na wanaume wa vijiweni.
Labda awe anakujua, lakini ni ngumu Sana utokee kijiweni umsimamishe pisikali ikakubali.

Jambo moja unalopaswa ulielewe kuhusu Wanawake ni viumbe walioumbwa kujificha, stara, wao ni aibu na kujidhalilisha kuonyesha tamaa Yao waziwazi.

Zingatia pia Wanawake hupoteza kujiamini moja Kwa moja wanapokutana na wanaume wa Aina mbili;

1. mwanaume Mzuri
2. Mwanaume mwenye Pesa

Kikawaida mwanamke huwa submissive Kwa hizo chata mbili. Yaani hujiona Duni.
Achana na hawa vijana wa Sinza wanaojifanya wazuri, kuna kujifanya mzuri na kuwa mzuri.
Wanawake wanaelewa nazungumzia nini.

Jambo moja ambalo linafanya ionekane Wanawake hawatamani ni kutokana na kuwa Wanaume wazuri ni wachache Sana katika mzungu wetu.
Wengi wetu tuna Sura ngumu na hatujakidhi vigezo vya kuwatamanisha wanawake.

Mifano ya kwenye Biblia ya wanawake waliotamani wanaume, tunaiona Kwa Mke wa Potifa na Handsome boy Aitwaye YUSUFU.

Watu wa mitindo na fasheni wanajua saikolojia ya binadamu. Sio ajabu hata nguo nyingi za siku hizi za vijana zinadizainiwa mahususi kuwatamanisha kinadada.
Mathalani zile suruali kama za mazoezi, vibukta au Baadhi ya flana ambazo ni nyepesi mahususi kuvaa Kwa wanaume wanaofanya Gym.

Pia watu wa Gym wanajua ni mazoezi gani mwanaume akifanya anakuwa na mwili WA kutamanisha wadada.

Pia watengeneza Mafuta na marashi hujua ni mchanganyiko gani wa Kemikali wakiutumia kutengenezea baadhi ya perfumes zinawafanya wanawake wajikute kwenye tamaa.
Yaani mtoto wa kike akikaa karibu yako akihisi harufu ya marashi moja Kwa moja homoni na ashki ya ngono zinapanda.

Note: mwanaume haupaswi kutaka au kutamani kutamaniwa na wanawake Kwa mambo yasiyo ya kiume.
Fanya kazi.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam

Mimi huwa naangalia eneo la zipu,moja ya tabia yangu mbaya sana[emoji2314]
 
Kama nyie mnavyotamani wanawake tofauti tofauti nasi ni hivohivo tunatamani wanaume tofauti sema ndo hivo unajizuia tu,
NOTE,mwanamke akikutaka anakupata tu
Hapna hawezi kupata kama nyanya sokoni hoja yako imekwama
 
Kunatofauti kubwa kati ya mwanamume kumwona mwanamke na kumtamani vs mwanamke kumwona mwanamume na kumtamani. Tofauti ni kwamba tamaa ya mwanamume ni kwa kuona na tamaa ya mwanamke ni kwa kushikwashikwa, kupapaswa kimahesabu na kutomaswa tomaswa!! Mwanamume anatamani hadi panasimama, ila mwanamke hawezi kuona hadi utelezi utoke, ila akilini mwake atatamani kuwa naye sehemu!! macho ya mwanamke yanamuunganisha na akili na imaginations lakini haileti utelezi!! Kwa mwanamume asipojizuia anaweza kujikuta ametamani hadi kero yake inakuwa dhahiri kwa wengine!!
Ila sasa huyo ambaye mwanamke alimwona na kumtamani, kama ikatokea akampata, hapo akiguswa kidogo tu ni utelezi huko chini hadi basi!!
 
Back
Top Bottom