Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
Kweli hapo unaakili maana angenitunza asingenitelekeza alikuwa ananipenda sanaUngemwambia akuachie japo copy yake ya shombeshombe.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli hapo unaakili maana angenitunza asingenitelekeza alikuwa ananipenda sanaUngemwambia akuachie japo copy yake ya shombeshombe.
Kwahiyo kwenu ndio waliamua hatma ya maisha yako na sio wewe? comment yako inaonekana wewe ulikua tayari kubadili dini ila tatizo likawa "Kwenu"Yes, alikuwa mwarabu na nilimpenda nikamwambia akadai hata nayeye tukaamua kulalana so nikaenda kwao wakataka niwe muislim so ikashindikana kwetu hawataki niwe muislam wao wataki nioewe na mtoto wao mahakamani
🤣🤣🤣 wanawake banaEx wangu huyo namtamani hatari ni handsome man mtanashati ananukia na vipesa vyake vya kununulia Subaru Forester ila ndio hivyoooo ni Exxx
Dah dogo una umri gani? Unadhani kutamani ni kusimama kwa antena? Kutamani ni moyo na macho. Macho yanaona kizuri na moyo unasikiliza na kupenda kilichoonekana, simple.Wasiokuwa na antena wanaanzaje kutamani?
Ukipenda sawa ila isiharibu dini Yako kuslim nikitu ingine ili hali mie ni mtoto wa mtumishi wakanisa ila walahi nampenda sana mkuu yaani nimemsahau ila dah ilikuwa inshu ingineKwahiyo kwenu ndio waliamua hatma ya maisha yako na sio wewe? comment yako inaonekana wewe ulikua tayari kubadili dini ila tatizo likawa "Kwenu"
Bado hujajibu swali langu,Ukipenda sawa ila isiharibu dini Yako kuslim nikitu ingine ili hali mie ni mtoto wa mtumishi wakanisa ila walahi nampenda sana mkuu yaani nimemsahau ila dah ilikuwa inshu ingine
Wewe ni mwanamke????Mwanamke attention yake ya kwanza ni kwenye vitu ulivyonavyo na sio umbile
Ndio maana ili kumpata mwanamke kama kitu hapo ukipata chance mdanganye kuwa unacho, atakuamini, Ukiwa na kitu hata kama umeazima watakuamini they don't need any proof.
😂😂😂😂😂Kwa hiyo Sisi andunje tupite hivi..!
Mkalalana, au sio!Yes, alikuwa mwarabu na nilimpenda nikamwambia akadai hata nayeye tukaamua kulalana so nikaenda kwao wakataka niwe muislim so ikashindikana kwetu hawataki niwe muislim wao wataki nioewe na mtoto wao mahakamani
Kuna mtu atachezea ban muda si mrefuEti ni kweli [mention]Antonnia [/mention] umemtamani [mention]Maxence Melo [/mention]
Jirani hujambo? Umewahi..Mbele kabisa kushoto dirishani[emoji144]
Utasikia tu yule kaka ni my crush, hapo ujue kashamtamani. Msimu wa kombe la dunia wanawake wengi wao walivutiwa na Mbape ndio ujue ht wao kweli wanatamaa
Mwanaume awe mweusi, mrefu kiasi, anachomekea yan kava official, kavaa saa kali, alafu ananukia, aiseee lazima nimwangalia mara mbili mbiliKwema Wakuu!
Kuna mtu alianzisha mada hapa akiuliza swali, je wanawake wanatamani Kama wanaume?
Kabla hujajibu swali hilo unatakiwa ujue kuwa Mwanamke ni Binadamu Kama wewe Kwa 100%.
Ikiwa mwanamke ni Binadamu Kama wewe basi jibu la swali hilo ni ndio, Wanawake wanatamani tena sio kidogo, wanatamani Kama ilivyo Kwa Wanaume.
Hivyo weka akilini kuwa kama wewe jinsi ukipita ukimuona Mdada mrembo ukamtamani, basi ndivyo hivyohivyo wanawake wakikutana na wanaume wazuri/handsome boy njiani huwatamani tena sio kidogo.
Wanawake wanatamani
i. Wanaume wazuri wa Sura
ii. Wenye ndevu zilizochongwa vizuri iwe za mashavuni au kidevuni na walionyoa minyoo mizuri kichwani ya kuvutia. Sio unyoe kama mwanafunzi
iii.wanaume warefu kiasi
Iv. Wanaume wenye vifua vilivyopangika, kisiwe kikubwa Sana.
v. Wenye sauti nzito wanaojua kuipangilia
vi. Wanaume watanashati , wasafi na mavazi mazuri.
Vii. Wanawake wanatamani wanaume wacheshi lakini wasio na mazoea ya hovyo na wanawake.
Yaani uwe na ukauzu flani lakini usizidishe.
Sio umekutana naye tuu unaanza shobo au unarusharusha macho kuangalia warembo wengine.
VIII. Wanawake wanatamani mpaka wengine kulowanisha chupi wakiona sehemu ya flaizi/zipu ya suruali ya mwanaume ikiwa imetuna na uume kujichora.
Zingatia wanawake hata kama hawatakuambia lakini wanapenda Mashine kubwa ikipungua iwe saizi ya Kati.
Ix. Wanawake wanatamani wanaume wenye pesa lakini sio kingono kama Mwanaume huyo Hana mvuto, uwe na kigari, sehemu nzuri ya kuishi, unajipenda au unamaisha Fulani ya ubizebize.
Wanawake ni ngumu kutamani mwanaume ambaye amekaa kijiweni.
Wanakasumba mbaya na wanaume wa vijiweni.
Labda awe anakujua, lakini ni ngumu Sana utokee kijiweni umsimamishe pisikali ikakubali.
Jambo moja unalopaswa ulielewe kuhusu Wanawake ni viumbe walioumbwa kujificha, stara, wao ni aibu na kujidhalilisha kuonyesha tamaa Yao waziwazi.
Zingatia pia Wanawake hupoteza kujiamini moja Kwa moja wanapokutana na wanaume wa Aina mbili;
1. mwanaume Mzuri
2. Mwanaume mwenye Pesa
Kikawaida mwanamke huwa submissive Kwa hizo chata mbili. Yaani hujiona Duni.
Achana na hawa vijana wa Sinza wanaojifanya wazuri, kuna kujifanya mzuri na kuwa mzuri.
Wanawake wanaelewa nazungumzia nini.
Jambo moja ambalo linafanya ionekane Wanawake hawatamani ni kutokana na kuwa Wanaume wazuri ni wachache Sana katika mzungu wetu.
Wengi wetu tuna Sura ngumu na hatujakidhi vigezo vya kuwatamanisha wanawake.
Mifano ya kwenye Biblia ya wanawake waliotamani wanaume, tunaiona Kwa Mke wa Potifa na Handsome boy Aitwaye YUSUFU.
Watu wa mitindo na fasheni wanajua saikolojia ya binadamu. Sio ajabu hata nguo nyingi za siku hizi za vijana zinadizainiwa mahususi kuwatamanisha kinadada.
Mathalani zile suruali kama za mazoezi, vibukta au Baadhi ya flana ambazo ni nyepesi mahususi kuvaa Kwa wanaume wanaofanya Gym.
Pia watu wa Gym wanajua ni mazoezi gani mwanaume akifanya anakuwa na mwili WA kutamanisha wadada.
Pia watengeneza Mafuta na marashi hujua ni mchanganyiko gani wa Kemikali wakiutumia kutengenezea baadhi ya perfumes zinawafanya wanawake wajikute kwenye tamaa.
Yaani mtoto wa kike akikaa karibu yako akihisi harufu ya marashi moja Kwa moja homoni na ashki ya ngono zinapanda.
Note: mwanaume haupaswi kutaka au kutamani kutamaniwa na wanawake Kwa mambo yasiyo ya kiume.
Fanya kazi.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Mwanaume awe mweusi, mrefu kiasi, anachomekea yan kava official, kavaa saa kali, alafu ananukia, aiseee lazima nimwangalia mara mbili mbili
Nipo hapa nishachomekea kipapaa ngwasumaMwanaume awe mweusi, mrefu kiasi, anachomekea yan kava official, kavaa saa kali, alafu ananukia, aiseee lazima nimwangalia mara mbili mbili
Kuchomekea haitoshi uwe na sura flan ya kiume, alafu black, kunukia zingatia[emoji1787]
Weka blue tick nne za kibabe.Kuchomekea haitoshi uwe na sura flan ya kiume, alafu black, kunukia zingatia[emoji1787]
Ndio alikuwa anajua kupanda kushuka kukunja kukaliwa na mengineMkalalana, au sio!
🤔 Hii inaukakasi..1. mwanaume Mzuri