Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee. Basi sawa. Siko mbali sana. Lipo moja la kifanyia kazi.Mwanaume mrefuuu, mwenye body iliojaa, msafi......
Lipi?Aisee. Basi sawa. Siko mbali sana. Lipo moja la kifanyia kazi.
🤣 🤣 🤣 🤣 Guess what.Lipi?
Itakua usafi tu my dear kazana sana hapo 😂🤣 🤣 🤣 🤣 Guess what.
Uongo tuNinajitahidi kununua vinguo, nina ndefu nazinyoa vizuri, mrefu kidogo, nasukuma gari za wana lakini mbona sipati hao wanawake sasa.
Kabisa, muonekano kwanza. Kitu cha pili ubongo uko Vip. Maana anaweza akawa na muonekano mzuri halafu ubongoni kumejaa tope utajutraaa mwanamke.Mimi navutiwa kwanza na muonekano. Hayo mengine baadae.
!Itakua usafi tu my dear kazana sana hapo 😂
Wewe umeseme nifanye kuguess haya ndio nimeguess hivyo 😂 kama sio niambie wewe ni kitu ganiDah! 🤔🤔🤔🤔 Mkuu kabisa umeona hilo ndio fungu langu?
!
Sio. Hiyo nime mji kwanza. Hiyo Gym hiyo ndio yanguWewe umeseme nifanye kuguess haya ndio nimeguess hivyo 😂 kama sio niambie wewe ni kitu gani
Haya fanyia kazi hilo jambo.Sio. Hiyo nime mji kwanza. Hiyo Gym hiyo ndio yangu
Sawa Mkuu. Hayo ni maelekezo ya Serikali. Nitatekeleza.Haya fanyia kazi hilo jambo.
Toa ushuhuda alisema ni kweli sio kweli, maana watu tuna note book tunakopi, sasa tusiingie chaka tukala sap fanyeni kukomfim wadada tujue kweli au laMbele kabisa kushoto dirishani[emoji144]
Wewe kiwango chetu umekijuaje, ushawahi kuwa sisi na kutupimisha?Tunatamani ndio ila sio kwa kiwango chenu wanaume.
Lete vitu Nyerere,Sikumbuki vema, ila nadhani hoja ilikuwa kupenda na sio kutamani. Hata hivyo hayo uliyoandika yana uhalisia kwa wale waliojazwa fikra potofu, lakini kiukweli kabisa, mwanamke hayuko hivyo ulivyosema. Hayo uliyosema ni matokeo ya feminism na sexual revolution.
Wewe kama ni mwanaume majibu unayo.Wewe kiwango chetu umekijuaje, ushawahi kuwa sisi na kutupimisha?
Pamoja mkuuLete vitu Nyerere,
Andaa uzi kabisa kuelezea hiyo kitu kiundani
Uzi uwe na jina :
feminism na sexual revolution.
Ujawahi danganya mademu tena hakuna mtu ambaye unaweza kufix fix wadada wawatu