Asili na Maana ya Jina/majina ya sehemu mbalimbali Tanzania

Mod unga huu Uzi,Upo mwingine una title asili ya najina ya maeneo.
 
Kuelekea dareda kuna sehem inaitwa Logia. Hi inatokana na Low Gear, ikiwa ni tahadhari kwa madereva kubadilisha gia kwa sababu barabara hapo ina mwinuko mkali.
Kweli Mkuu, hii sehemu nilishapita.....Kuna wachaga wapo pale wanapaita Lojyani.
 
Hayo,masingidani ndio yakoje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…