Lutala
JF-Expert Member
- Jun 17, 2010
- 848
- 104
ILALA = Ni kutokana na sauti za misikitini wakati huo -- Lai la la aila (sijui ni hivyo?)
SHAURIMOYO = Ilitokana na ujambazi uliokuwepo maeneo ya mitaa hiyo wakati huo. Watu wakawa wanasema inabidi uushauri moyo wako kabla ya kukatiza eneo hilo.
Mzee Punch umenimaliza sana ha ha ha aha