Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.
[/quote ]
Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.
haya tuambie ulichogundua...........Nimegundua kwa nini masikini wengi kwa dar wako manzese,dom wapo chang'ombe,arusha wapo unga,moshi wapo njoro,sgd wapo mitunduruni.
Nimegundua kwa nini masikini wengi kwa dar wako manzese,dom wapo chang'ombe,arusha wapo unga,moshi wapo njoro,sgd wapo mitunduruni.
Pia ukumbuke anayeongoza kwa utajiri wa africa na anayeongoza tanzania kwa utajiri ni wote ni waislam.Nimegundua kwa nini masikini wengi kwa dar wako manzese,dom wapo chang'ombe,arusha wapo unga,moshi wapo njoro,sgd wapo mitunduruni.
leta ukweli wakouongo wa wazi huu.
uongo wa wazi huu.
Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.
Mkuu Tembosa asante kwa hii, umenikumbusha Marehemu Amina Mongi, alikuwa mtu wa watu, nilihudhuria msiba ule!.Matola kama kuna sehemu Tanzania hii ninayoijua vizuri ni Marangu.
Wakati unaingia Marangu, ukifika Samanga kuna sehemu inaitwa Headquota Pana msikiti mkubwa tu pale.
Na kina Mongi wa maeneo yale ni Waislamu.
hata marehemu Amina Mongi, ni mzaliwa wa pale na alikuwa ni mwislamu.
Sema hawa wako tofauti sana na waislamu wengine ndani ya Tanzania hii, they are well developed and educated compared to those of other areas in Tanzania.
Hili Jukwaa lina watu wa hovyo sana! Yaani Mwislamu akiona Mwarabu anatajwa kwa mabaya anakuja juu utafikiri babake! Mkristo na yeye alivyo mtu wa hovyo, akitaka kuzungumzia biashara ya utumwa basi lazima amuhusishé Mwarabu na dini yake huku akisahau Trans-Antlantic Slave Trade ilifanywa na Wazungu Wakristo! Trust me, Christians and Moslems are the most insane communities ever happened in the world history! If I were God, I'd sink these two communities and start afresh!
hili jukwaa lina watu wa hovyo sana! Yaani mwislamu akiona mwarabu anatajwa kwa mabaya anakuja juu utafikiri babake! Mkristo na yeye alivyo mtu wa hovyo, akitaka kuzungumzia biashara ya utumwa basi lazima amuhusishé mwarabu na dini yake huku akisahau trans-antlantic slave trade ilifanywa na wazungu wakristo! Trust me, christians and moslems are the most insane communities ever happened in the world history! If i were god, i'd sink these two communities and start afresh!
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha WABAYA NI WABAYA UKWELI UTABAKI UKWELI.UNAMJUA ABUSHILI NA TIPUTIPU.KASOME.