Biashara ya utumwa afrika mashariki imeanza 1861-1895 wakati Mwarabu kafika maeneo hayo mwaka 1330 kuna mtawala mwarabu.means za kiutawala ndiyo zilizoleta vita.
mwarabu alifikia Pwani, ambako wakazi wake wengi
walikuwa less developed, isitoshe hata lengo lake hapa halikuwa domination tofauti ma lengo la mjerumani. ndiyo maana hakupata resistance kali.
mwarabu alikuwa anafanya biashara ya utumwa, iliyowanufaisha hadi machifu, like wise kwa mwingereza, hakupata upinzani mkali ndani ya Tanganyika kwa sababu ya aina ya uongozi wake. (indirect rule system).
Waarabu hawakuwa wajinga kama watu wengine mnavyolazimisha watu tuamini. walikuja na taratibu mzuri tu za maisha WABAYA NI WABAYA UKWELI UTABAKI UKWELI.UNAMJUA ABUSHILI NA TIPUTIPU.KASOME.
Abushiri na Tiputipu hawa si walikuwa waarabu?
swali! kwani waarabu wote walikuwa waislamu??
We unaonaje?wewe mpagani..?
Biashara ya utumwa afrika mashariki imeanza 1861-1895 wakati Mwarabu kafika maeneo hayo mwaka 1330 kuna mtawala mwarabu.
most of the muhamadan extremists in tz come from the coast of indian ocean.those of the mainland are educated, nonreligious and moderate in their views.huwa nawakubari sana waislamu wa tz bara.
QURAN ni kitabu kinachosema uongo mtupu ndio maana waumini wake wana toho ya kishetani kabisaaaa
Hayo ni mawazo yako mgando kwataarifa yako nenda pale Mudio/Masama ndio utajua uislamu una kua kwa kasi ya ajabu...
Wickama
naomba utuwekee chapisho la kisomi lilipitishwa na taasisi zinazoheshimika kwa kuaprove machapisho ya kisomi kuliko kuanza kuleta ngano zisizo na mashiko yoyote. maandishi yako yamejaa porojo kama za Mohammed said.
cc; Mzee Mwanakijiji Pasco
Nimegundua kwa nini masikini wengi kwa dar wako manzese,dom wapo chang'ombe,arusha wapo unga,moshi wapo njoro,sgd wapo mitunduruni.
hizo ni theory tu mkuu.
Waislam sehemu yeyote ile wanatofautiana,wapo wale wenye hawana time na dini yao (hawa safi sana hawa) wapo wenye msimamo wa wastani na pia wapo extremists (hawa ndio balaa).
jamani nami naomba kuuliza swali. kati ya maarabu na wazungu ni kina nani wana roho mbaya na wanatakiwa kulaumiwa kwa vitendo vyao viovu?
je, ulishawahi kujiuliza ni kwa nini nchi za kiarabu hakuna watu wenye asili ya Afrika ambao walibebwa kipindi cha utumwa?
Je, kuna uwezekano kuwa watumwa walioenda nchi za kiarabu walihasiwa ili kutozaliana?
Kama hawakuhasiwa, mbona watumwa walioenda Amerika hadi sasa hivi tunaona vizazi vyao vikiendelea iweje vikosekane kwa walioenda nchi za kiarabu?
nimeuliza kutaka kujua na kuongeza ujuzi. sina ushabiki wa dini wala itikadi.
jamani nami naomba kuuliza swali. kati ya maarabu na wazungu ni kina nani wana roho mbaya na wanatakiwa kulaumiwa kwa vitendo vyao viovu?
je, ulishawahi kujiuliza ni kwa nini nchi za kiarabu hakuna watu wenye asili ya Afrika ambao walibebwa kipindi cha utumwa?
Je, kuna uwezekano kuwa watumwa walioenda nchi za kiarabu walihasiwa ili kutozaliana?
Kama hawakuhasiwa, mbona watumwa walioenda Amerika hadi sasa hivi tunaona vizazi vyao vikiendelea iweje vikosekane kwa walioenda nchi za kiarabu?
nimeuliza kutaka kujua na kuongeza ujuzi. sina ushabiki wa dini wala itikadi.
sio wote wako kama unavyowafikiria. Waislamu wa kule Tabora, Singida na Shinyanga hawana elimu yoyote, ni wachahe sana wenye kupenda elimu ya darasani katika hayo maeneo.
elimu ya darasani? kwani darasa maanayake nn? mtoa mada tumeshajua kilicho moyoni mwako