antibalaka
JF-Expert Member
- Jan 6, 2014
- 273
- 64
😀:what::banghead:🙄
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bora kufuga majini kuliko ule ushirikina wanaoenda kuufanya kila mwezi wa kumi na mbili.
Wanazuga kwenye mwamvuli wa dini wakati washirikina tu wafanya matambikooooo!
Uislamu hauruhusu ndo maana mnauchukia.
Ingekua vizuri ukaziainisha hizo porojo ili nasi tuzibainiWickama
naomba utuwekee chapisho la kisomi lilipitishwa na taasisi zinazoheshimika kwa kuaprove machapisho ya kisomi kuliko kuanza kuleta ngano zisizo na mashiko yoyote. maandishi yako yamejaa porojo kama za Mohammed said.
cc; Mzee Mwanakijiji Pasco
Naomba nikusaidie katika hili..Soma kitabu cha Tip tipp ndo utajua mambo waliyokuwa wakifanya waarabu na mapigano yao na wenyeji, hakuna aliyeleta dini kwa amani pekee
kumbe hata Mnywa Pombe anaweza kuwa Threat?kule marangu kilema kuna mwislamu mmoja aliamia kule na akawa ni mtu wa kupiga deiwaka, wale marangu walimlia timing kwa miaka karibu saba mpaka siku wakanikiwa kumuwekea sumu kwenye mbege akafa.
sijui sasa kama kuna mwislamu marangu labda huu uamisho wa walimu na kama ni mwalimu atasalimika maana wachaga wanawaheshimu sana mapadre na walimu tu basi.
Inabidi ufahamu kwanza mzunguko mzima wa biashara ya utumwa ulivyokua..jamani nami naomba kuuliza swali. kati ya maarabu na wazungu ni kina nani wana roho mbaya na wanatakiwa kulaumiwa kwa vitendo vyao viovu?
je, ulishawahi kujiuliza ni kwa nini nchi za kiarabu hakuna watu wenye asili ya Afrika ambao walibebwa kipindi cha utumwa?
Je, kuna uwezekano kuwa watumwa walioenda nchi za kiarabu walihasiwa ili kutozaliana?
Kama hawakuhasiwa, mbona watumwa walioenda Amerika hadi sasa hivi tunaona vizazi vyao vikiendelea iweje vikosekane kwa walioenda nchi za kiarabu?
nimeuliza kutaka kujua na kuongeza ujuzi. sina ushabiki wa dini wala itikadi.
Wale jamaa ni combination ya wanubi, wasomali, kutokea ka kazi ni umwa nchi na baadae wa rangi wakakaribishwa kwa vile huwa na kazi Wala elimu mbadala. Ndio wa kuwa watunza misikiti. Hawa wasomali na wanubi Wamekuwa wakiishi kwa ujambazi na kibabe kuanzia king'ori , maeneo ya boma hadi maana. Wachaga huwa kupanda sana kuishi ktk sehemu kame. Na hivyo kuachia wao na Masai wakiishi bila she ria. Baada ya kujengwa shule ya kiislam , taratibu wamachame ktk kuzaana nao uislam ukashika mizizi.badala ya kujua chanzo cha waislam masama mnalumbana
Uongo mtupu wale ni waislam kiasili wala hawana damu ya kinubiWale jamaa ni combination ya wanubi, wasomali, kutokea ka kazi ni umwa nchi na baadae wa rangi wakakaribishwa kwa vile huwa na kazi Wala elimu mbadala. Ndio wa kuwa watunza misikiti. Hawa wasomali na wanubi Wamekuwa wakiishi kwa ujambazi na kibabe kuanzia king'ori , maeneo ya boma hadi maana. Wachaga huwa kupanda sana kuishi ktk sehemu kame. Na hivyo kuachia wao na Masai wakiishi bila she ria. Baada ya kujengwa shule ya kiislam , taratibu wamachame ktk kuzaana nao uislam ukashika mizizi.
Haitaji kwenda zanzibar kujifunza mwarabu alimfanyia nini mwafrika....afike bagamoyo....pangani...kilwa nk akaulize!tena anabaguliwa na mwarabu hadi leo....ndo mana alah wake hajui lugha nyingine tofauti na kiarabu...ndo utumwa wa fikra wenyewe huu!kama mwarabu kamletea dini ya haki mbona hamruhusu kumuoa mwarabu?mwarabu kaleta utumwa mwingine....kujichubua ngozi ili ifanane na ya mtume!si jambo geni leo ukimsikia mmatumbi akijidai ...mimi mjukuu wa mtume!nina damu ya mtume!nina rangi ya mtume!...ukija kwenye mavazi ndo balaa... utalikuta jitu limeviringisha kiremba kuzidi mwarabu mwenyewehuyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.
acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.
unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?
wewe ndo unaishi kwa kusikia propaganda na historia za kubumba,soma vitabu vyenye historia sahihi,sultan gan wasiyetaka kumsikia,wa CCM au sultan kwa maana ya sultanhuyu baadaye mtoto wake atakuja kutuambia tusimseme vibaya osama bin laden.
acha kuishi kwa hisia na kuwa mtumwa wa dini na soma historia na kama wewe ni mvivu wa kusoma tembelea historical site na nenda Zanzibar upewe khabari za hawa waarabu halafu ndio urudi hapa kuwasifu waarabu.
unajuwa ni kwa nini Zanzibar hawataki kumsikia kabisa sultan jemshid? je wewe unavyopenda kuwa mwarabu si ungempa mkeo kabisa?
Hata wkt ngoma ipo 90 degree na unaendelea kupima oil inakua tayari ashakua fitra au sio?Uislam na waislam utaukuta na utawakuta popote duniani hata ndani ya Vatican.
Kimsingi mtoto akizaliwa huzaliwa ktk maumbile ya asili ya uislam(fitra) ambayo yameelezwa vyema ndani ya Qur'an kuanzia
tendo la ndoa,mchupo wa manii,pande la nyama,kupuliziwa roho,miezi 9 tumboni.mpaka kuzaliwa.
Kwakua mtoto huzaliwa akiwa muislam kamili ndo maana wakristo hujaribu kuleta dhana ya UBATIZO eti kujaribu kumvua mtoto uislam wake.