Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Nikujue ili iwaje...imejitangaza hapa kwamba umetest wanaume wote
Ivi unaakili kweli ni wapi nimejitangaza nimetest na wanaume how come natest na mwanaume mwenzangu.kwanza hiyo nyuzi umeielewa vizuri haki yamungu unamatatizo ya ikili yanakusumbua kijana...katibiwe
 
Kuna siku nilipanda Bus la mkoa nikakaa na kijana mmoja hivi Jamani kila akiongea anatema mbaya uvumilivu ukanishinda nitachukua karamu na karatasi nikaandika kwa uungwana tu na lugha laini kwamba Nimegundua Ana tatizo la kinywa ajaribu kutumia Vigro Doctor au dawa nzuri za meno. Alielewa lakini alikosa Raha ghafra.

Issue ingine miaka ya nyuma niliwahi Date na mkaka ananuka mdomo hapani ilitosha kumuacha japo alikuwa na mengine mazuri na alikuwa na mapenzi ya kweli.But Domo kunuka! Hivi Kuna dawa ya kumalizaga? Au ndo hizo za kutuluza tu
 
Hahaaaaaaa pole mdau , kunuka midomo , soksi, kwapa , chupi, K etc ni dalili za umasikini ,ukiona mtu ananuka mdomo yaani huyo ni masikini tu hakuna kingine
Sio kweli , afya ya kinywa na wengine wanaumwa matumbo, unakuta harufu inatoka tumboni inakuja mdomoni hata apige mswaki vipi haitoki halafu unakuta hajijui kama ananuka ila ukikaa nae pembeni khaa harufu ya mdomo ikiwa mbaya ni afadhali ya mavi!!!
 
Wengi hawapigi mswaki au wakipiga hawapigi kwa usahihi.

Hawasafishi taulo la ulimi Kwa usahihi.
 
Wengine hata kuoga vizuri hawajui wanafanya kujimwagia tu.

Hawapaki sabuni vizuri makwapani Na kujisigua kwa viganja vya mikono.
 
Namna ya kisafisha kinywa kwanza weka dawa ya kiasi kwenye mswaki wako, then maji yawe masafi utaswaki meno, utasafisha ukuta wa juu na wachini wa kinywa chako, lakini utahakikisha unatoa ulimi kwa nje na kusugua ulimi na mswaki wako, utatema hiyo dawa na kupitisha maji halafu weka tena dawa kidogo fanya kama ulivofanya awamu ya kwanza halafu utasafisha kinywa mara tatu na maji bila dawa huku ukisafisha na ulimi kuondoa shombo ya dawa ya meno sio unamsogelea mtu unanuka colgate tupu
Kitaalam hilo shombo la Colgate linatakiwa libaki, ukisharudia kupiga mswaki wenye dawa mara ya pili, hupaswi kusukutua. Tema dawa na nenda zako huku ukiacha kinywa kikiwa na ladha ya dawa kwa ajili ya kulinda kinywa chako.

Aidha, inasisitizwa kusafisha ulimi kwa ndani kabisa pamoja na kupeleka mswaki kooni juu na chini mpaka uhisi kama unataka kutapika hivi.

Ukifanya hivi, utatunza kinywa na koo lako dhidi ya bakteria waletao harufu mbaya mdomoni na wabunguao meno.
 
MTU KALA UGALI WA UDAGA NA MIKWASUKWASU YA NGOZI YA NGOMBE

ANAPITA BAR ANAGONGA SAFARI LAGER AU BALIMI THEN ANAVUTA NA SIGARA NA ANAENDA KULALA BILA KUSWAKI

AKIAMKA ASUBUHI ANAKURUPUKA KUJA JOB AKIJA KUKUONGELESHA NI BOMU LA HIROSHIMA
 
naomba kuuliza hivi utajitambuaje kama mdomo wako unatoa harufu kabla hujaambiwa na yeyote.
 
Back
Top Bottom