Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaMwanaume akiwa mchafu tunaangalia mwanamke alomuoa au alonae kweny mahusiano yuko vip[emoji2955]
[emoji4][emoji4]Kabisa
Naunga hojaKiujumla tukubali wengi wetu hatujali afya ya kinywa na hatujui kutunza vinywa vyetu. Kumekaririshwa kuswaki asubuhi kusukutua chap chap na kusepa.
Hakuna mwamko sana nchini kuhusu jinsi ya kutunza kinywa na jinsi ya kupiga mswaki.
🤣🤣🤣wanapenda kula kula ovyoKwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.
Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.
Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
🤣🤣🤣Ungempa za utosi....au swali flani amazing kama "ivi mkuu, dawa za meno zinauzwa wapi?"
Zile pisi kali🤣🤣Midomo ni kwa wote sio me tu hata ke wananuka midomo balaa!
Umelala nao wote hao?Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.
Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.
Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
Unakuta mtu anakunwa supu ya nyama, pembeni mayai, akimaliza anapiga juicy anashushia soda. Huyu harufu hutoka tumboni hata apige mswaki na colgate kutoka UkKunuka mdomo ni Zaid y kusafisha meno
Ndio chanzo cha K kunuka. Ujue tigo ni chafuLawama zote ziende kwa wamiliki wa midomo inayonuka.
Watu wa hivyo hata tigo zao hawasafishi ipasavyo!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Suluhisho ni katiba mpya
How. Akili yako iko sawasawa umeshaambiwa kwenye seminar afu unasema umelala nao unafikiri kulalal na watu ni fashion. StupidUmelala nao wote hao?
Sigara bwege au Sigara kali?😂😂😂😂😂Harufu ni ya sigara itakukera km hupendi harufu yake.
Inakuwa mbaya zaidi kama na mdomo ni mchafu. Ninaishi na mvuta sigara sijawahi kukereka harufu yake.
Nimeshapona hilo tatizo mkuu, naomba tuendeleze mahusiano yetu tafadhali!!Yani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
Hao wanuka midogo ndio type yakoHow. Akili yako iko sawasawa umeshaambiwa kwenye seminar afu unasema umelala nao unafikiri kulalal na watu ni fashion. Stupid
Siku mkitofautiana utasikia ndo maana mbwembwe nyingiiiii mara sugua mdomo vizuri ....kumbe una mambo yako!!!!....Hvi unajua kuna mtu ni mbishi ubatafta kioa namna asinuke mdomo lakin ni mbishi had unamuomba atumei hata mouth wash anakataa, mswaki anasugulia meno tu wakat uliki una mabaki ya vyakula ukijarbu kumwelekeza hata kijanja asijiskie vbaya anadengua, sasa mtu wa hvyo utanfanyaje au nae tumlaumu mke wake?
Both 🤣🤣Sigara bwege au Sigara kali?😂😂😂😂😂
Unamatatizo ya ikili kajitibu kwanza...yan kama vile unanijuaHao wanuka midogo ndio type yako
Ndege wafananao huruka pamoja