Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hujui unafikivwa pua weweKwhy wote mliocomment hapa hamnuki midomo au ndio hamjijui.?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo huku mzabzab wanakusemaYani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
Imekuwaje tena jamani...mie mbona sijawahi kutana na warembo wa jf....mnanisingizia. warembo nikiwatongoza pm wanasema eti wee muendesha bodaboda huna cha kutuhonga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] njoo huku mzabzab wanakusema
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Madhara ya kunyonya kinyeo hayoYani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
[emoji23][emoji23][emoji23] so huwa unatumia ndumba auImekuwaje tena jamani...mie mbona sijawahi kutana na warembo wa jf....mnanisingizia. warembo nikiwatongoza pm wanasema eti wee muendesha bodaboda huna cha kutuhonga
Ndumba ya nini tena?[emoji23][emoji23][emoji23] so huwa unatumia ndumba au
Sent from my A50s using JamiiForums mobile app
Suala la kunuka mdomo ni kwa kiasi kidogo lina husina na kutokupiga mswaki vizuri… Nilielezwa hivyo na daktari wa kinywa
Wakati nasoma kulikuwa na rafiki yangu yeye alikuwa na hilo tatizo la kunuka mdomo haswaaa yaani ni alikuwa ananuka sanaaaaa….
Sasa alikuwa ana harufu mbili ya kinywa na mwili yaani ukilala nae akikupumulia namaanisha anavopumua puani anatoa harufu kali na kama ya kuozaa
Yule dada hakuwa mchafu alikuwa anaoga mara 2 kwa siku wakati mimi nilikuwa naoga mara 1 tu
Alikuwa anajitahidi kupiga mswaki mara mbili wakati mwinginee mara 3 hii ni kutokana kwamba tulimwambia ukweli kuwa ana harufu ila hiyo yote haikusaidia
Tuliambiwa na daktari hiyo harufu inatokea ndani ya mwili matibabu yanatakiwa yaanzie ndani… hii sikupinga kwasababu
Nina rafiki mwinginee yeye huwa mswaki anaweza asipige hata week yaani mpk umwambie tunatoka ndio anaendaa kupiga mswaki lakini hatujawah kusikia akinuka mdomo hata mara moja
Beberu lazima liwe na harufu!!Mwanaume unataka unukie vizuri kama dada zako mdomo usipotoa harufu huo ni umama
Tumekuskia mkuu tutajirekebishaKwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.
Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.
Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hasa wavuta Sigara na wanywa pombe yaani akikusogelea wanawake wanao lala nao kitanda kimoja jumlisha Shuka moja wajengewe Sanam[emoji51][emoji119]
Harufu ya sigara au bangi ni tofauti na ya mdomo, tena harufu ya Bangi ina ka mshawasha fulan ka kuibua nyege zilikolala.Harufu ni ya sigara itakukera km hupendi harufu yake.
Inakuwa mbaya zaidi kama na mdomo ni mchafu. Ninaishi na mvuta sigara sijawahi kukereka harufu yake.
Hukutapika??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Yani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Halafu huwa hawajui kama domo linatema harufu, bahati mbaya kila saa ndio atataka aongee.