Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.

Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.

Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
Waelimishe wasafishe ulimi wakati wa kuswaka na wasilale na shombo waswaki kabla ya kulala
 
Watu wengi hawapigi mswaki kwa umakini unaotakiwa!
... huku akiwa na haraka ya kuoga awahi kibaruani, jamaa anachukua mswaki wake wenye umri mkubwa, brashi zimeishapinda nyuzi 180 na kuswaki mbele tu ya meno yake huku akiamini dawa yake ya mswaki anayotumia kwa fujo itamsaidia ...!😅
ELIMU YA AFYA YA KINYWA NI MUHIMU!
 
Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.

Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.

Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
Elekeza namna sahihi ya kutibu hilo tatizo, hao unaowataka wawakague midomo huenda hawajui namna ya kulitibu.
 
Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
Ungemega sehemu ya posho umnunulie mswaki na dawa mpe kama zawadi akafungile nyumbani kwake
 
Back
Top Bottom