Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Namna ya kisafisha kinywa kwanza weka dawa ya kiasi kwenye mswaki wako, then maji yawe masafi utaswaki meno, utasafisha ukuta wa juu na wachini wa kinywa chako, lakini utahakikisha unatoa ulimi kwa nje na kusugua ulimi na mswaki wako, utatema hiyo dawa na kupitisha maji halafu weka tena dawa kidogo fanya kama ulivofanya awamu ya kwanza halafu utasafisha kinywa mara tatu na maji bila dawa huku ukisafisha na ulimi kuondoa shombo ya dawa ya meno sio unamsogelea mtu unanuka colgate tupu
 
Hakikisha unasafisha kinywa chako mara mbili kwa siku, yaani ukimaliza kula usiku au wakati wa kulala usilale na mabaki ya vyakula kinywani, lakini asubuhi pia hakikisha unasafisha kinywa chako vizuri kabisa, badilisha miswaki kila inabotakiwa, unaweza kutumia nyuzi maalumu kusafisha katikati ya meno walau mara mbili kwa mwezi sio mbaya.
 
Unayoyasema ni kweli usilaumu mke wanaume wengine wabishi sana kuna kupiga mswaki visivyo, maradhi nk wengi hawajui na hawakubali km wananuka ukiwapatia dawa au maelezo ya kuponya jipange sana la sivyo mtagombana.
 
Nyongeza kwa sisi wanaume: kwanza kunyoa walau makwapa na nywele za maeneo muhimu. Na namna ya kuoga hakikisha unaoga barabara kwa kusugua kati kati ya mapaja na pumbu, hakikisha unasugua katikati ya vidole vya miguu, na usivae viatu kama haujakausha miguu yako vizuri, hakikisha wakati unaoga unapitisha sabuni na kusafisha tundu za sikio na tundu za pua maana maeneo haya hunuka pia, sio mbaya ukawa na boksa walau saba yaani kila siku unabadili boksa,
 
Sio wote ambao wananuka mdomo hawapigi mswaki au hawapigi mswaki vizuri. Wengine ni magonjwa ya vinywa tu.
Mleta maada wewe ni jinsia ya kike. Je' hujawai ona au kusikia wanaume wanalalamikia wanawake uke unanuka mpaka radha ya tendo inakata?? Kwa upande wako wewe, ni kweli wote wanukao papuchi hawaoshi vizuri??
 
Nashauri dawa za meno zifuatazo kwa mfano colgate max fresh, Dubur, aqua fresh, sensodyne, closeup atleast hizi ni best lakini colgate charcoal pia sio mbaya
 
Tuanzie na jinsia yako Kwanza Mme au ke??hiyo asilimia 50 yako na Baba yako yupo....na mama yako alivumilia Kula mshedede....... Acha kusema watu ...wewe mwenyewe ni kilema WA kitu furani sema wenzio hawakupi changamoto ya kukutukanisha.........labda ajala ?? Domo likachacha je
 
Wengi wanaonuka midomo ni walevi
Siyo lazima anayenuka mdomo awe ni mlevi.
Mwingine unakuta jino au meno yametoboka, hivyo kuhifadhi mabaki ya chakula.
Asipopiga mswaki vizuri kuondoa mabaki yote ya chakula lazima kesho yake mdomo utatoa harufu.
 
Hakikisha unasafisha kinywa chako mara mbili kwa siku, yaani ukimaliza kula usiku au wakati wa kulala usilale na mabaki ya vyakula kinywani, lakini asubuhi pia hakikisha unasafisha kinywa chako vizuri kabisa, badilisha miswaki kila inabotakiwa, unaweza kutumia nyuzi maalumu kusafisha katikati ya meno walau mara mbili kwa mwezi sio mbaya.

Suala la kunuka mdomo ni kwa kiasi kidogo lina husina na kutokupiga mswaki vizuri… Nilielezwa hivyo na daktari wa kinywa

Wakati nasoma kulikuwa na rafiki yangu yeye alikuwa na hilo tatizo la kunuka mdomo haswaaa yaani ni alikuwa ananuka sanaaaaa….

Sasa alikuwa ana harufu mbili ya kinywa na mwili yaani ukilala nae akikupumulia namaanisha anavopumua puani anatoa harufu kali na kama ya kuozaa

Yule dada hakuwa mchafu alikuwa anaoga mara 2 kwa siku wakati mimi nilikuwa naoga mara 1 tu

Alikuwa anajitahidi kupiga mswaki mara mbili wakati mwinginee mara 3 hii ni kutokana kwamba tulimwambia ukweli kuwa ana harufu ila hiyo yote haikusaidia

Tuliambiwa na daktari hiyo harufu inatokea ndani ya mwili matibabu yanatakiwa yaanzie ndani… hii sikupinga kwasababu

Nina rafiki mwinginee yeye huwa mswaki anaweza asipige hata week yaani mpk umwambie tunatoka ndio anaendaa kupiga mswaki lakini hatujawah kusikia akinuka mdomo hata mara moja
 
Tuseme ndo umeamua kuja kunisema uku ? Mbona chips zangu zege umekula na nauli nimekupa sija penda tabia yako hii"alisika mlevi mmoja kutoka Buza akisema
 
Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.

Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.

Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...

Mdomo unatoa
 
Back
Top Bottom