Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Asilimia 50 ya wanaume wananuka midomo. Lawama ziende kwa nani?

Hahaaaaaaa pole mdau , kunuka midomo , soksi, kwapa , chupi, K etc ni dalili za umasikini ,ukiona mtu ananuka mdomo yaani huyo ni masikini tu hakuna kingine
Weeeee! Usitwambie 😝😝
 
Unakuta na yeye analalamika huko kuwa unanuka mdomo. Yaani tatizo la kunuka mdomo huwa mwenyewe hujisikii halafu unasemea pembeni kuhusu unukaji wa mwenzio, humwambii muhusika sasa mkikutana kikundi cha wanukaji kila mtu anatafuta pa kulalamikia kama ulivyofanya wewe hapa.
 
Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.

Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.

Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
Hili ni tatizo kubwa sana, limenikuta zaidi ya mara tano, naogopa sana kunuka mdomo na nikisikia tu harufu naenda kusafisha mdomo
 
Hiyo 50% umeipataje ?
Hujui Hilo tatizo lipo deeply kwa sababu Maalumu .
Ugonjwa
Usafi
Nk
Pia usijione parfect kwa kila kitu usichojua .
 
Kwa upande wangu huwa sifurahishwi kukaa sehemu mmoja na mtu anayenuka mdomo.

Inakuwaje mwanamke, au mke unamuacha mume wako anatoka nyumbani anaarufu ya kunuka mdomo? Yaani unakuta mbaba, au mkaka kwa muonekano ni mstaarabu sana na ananyazifa flan lakin akifungua mdomo wake unatamani kukimbia.

Leo nimekaa na mzee mwenzangu kwenye seminar ya masaa matano aisee harufu yake kwakweli nikali nilitamani muda ufike niondoke, jamani wa mama huko jitahidini kuwakagua waume zenu...
Tatizo kubwa kuna vishiria vingi.
idha kuna ile inaitwa halitosis, yaani vyanzo vya mate kuwa na vijidudu ambayo vikioza harufu inakuwa kai.
Au mdomoni meno yametoboka na vyakula viivyoza bado vinabaki mdomoni hivyo kuleta harufu.
Madaktari mliopo humu tupeni njia ya kusahihisha hili.

Binafsi nina dame wangu, mzuri sana, lakini ana ile halitosis.
Hata kupiga busu shida.
 
Tatizo kubwa kuna vishiria vingi.
idha kuna ile inaitwa halitosis, yaani vyanzo vya mate kuwa na vijidudu ambayo vikioza harufu inakuwa kai.
Au mdomoni meno yametoboka na vyakula viivyoza bado vinabaki mdomoni hivyo kuleta harufu.
Madaktari mliopo humu tupeni njia ya kusahihisha hili.

Binafsi nina dame wangu, mzuri sana, lakini ana ile halitosis.
Hata kupiga busu shida.
Duuu kama ndoivyo unaishi kwenye mateso sana
 
Yani hili n janga kubwa sana, kuna mkaka nilishawah kudate nae , alikua handsome balaaa, njee n msafi balaaa, the day namkiss sikutaman kurudia tena , mdomo unanuka mavi yakasomee, mmmh yule kaka hapana jmn
 
Wazungu wana sentesi flani inasema.......Stop Complaining, Fight for Success.....! Lawama hata tukitoa nyingi kiasi gani hazina maana kama hatuonyeshi njia ya kutatua tatizo! Hapa mleta mada ungezungumzia nini kifanyike kuzuia hiyo harufu mbaya midomoni na sio nani wa kumlaumu!
 
Heeeee mtu mzima afundishwe kupiga mswaki na kuosha kinywa kiwe safi
 
Mnawalazimic kwenda uvinza ndo maana
 
Lawama kwa wake zao
Hvi unajua kuna mtu ni mbishi ubatafta kioa namna asinuke mdomo lakin ni mbishi had unamuomba atumei hata mouth wash anakataa, mswaki anasugulia meno tu wakat uliki una mabaki ya vyakula ukijarbu kumwelekeza hata kijanja asijiskie vbaya anadengua, sasa mtu wa hvyo utanfanyaje au nae tumlaumu mke wake?
 
Kutafuna kipande kidogo cha Limao asubuhi husaidia kuondoa harufu mbaya ya mdomo.
 
Halafu huwa hawajui kama domo linatema harufu, bahati mbaya kila saa ndio atataka aongee.
 
Imagine unafyumu engo zote .
Mdomoni imo, Mjini Kati imo kwapa ndio linataka sifa.
#Tuwasaidie na tusaidiane
 
Back
Top Bottom