GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Cc: HATERS Dr Matola PhD, Mtani wa Taifa, Ubena Zomozi, Prince Luanda, CAPO DELGADO etcVijana wake 70 ni Kataa ndoa, wakati wameoa na mitoto mitatu mitatu.
Wote ni mabingwa na mafundi wa kuchakata mbusususu.
90%hawamkubali bashite
Wote Wana connection na michongo ya maana
-Rais wao ni Mshana Jr jamaa anakubalika sana
Wote et hawamkubali Lucas mwashambwa ,
Mtu anayefuatiliwa zaid ni GENTAMYCINE
Mwalimu maarufu zaidi ni Mpwayungu Village
Uzi maarufu zaidi ni wa mzinzi rikiboy wa kula kimasihara
Aliyeshinda miss jf ni kibibi kibishi balaa @Faizafox
Mzee wa pumba ni @ZeroIQ
Bila kumsahau Tajiri no . 1 if akifa aozi Bwana @kidukulilo
You are in love with me?
Naona umeamka ili umuandalie Maji ya Kuoga Mumeo. Hongera kwa kuwa Mke mwema.You are in love with me?
Naona kinakupwita kama Askari wa Zanzibar Bila kutaja jina langu husikii raha.Naona umeamka ili umuandalie Maji ya Kuoga Mumeo. Hongera kwa kuwa Mke mwema.
Sawa Mke wa Mtu. Kumbe siku hizi Tandale ni Ulaya? Nikikuita Kubwa Jinga Liandamizi la JamiiForums unaona nakuonea.Naona kinakupwita kama Askari wa Zanzibar Bila kutaja jina langu husikii raha.
Aliyekwambia JF kila mtu Yuko Tanzania ni Nani?
Kama wewe unaamka wengine ndio wanaingia kulala punguwani wahed.
Wewe subiri barua ya posa tuje tukuchumbie
6. karibu wote wamesoma vyuo vikuu.
π π π
Wamefanyeje? π