imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Daresalama mimi huwa sili Ovyo ovyo nimeshawahi kula Pweza na Supu yake halafu kidogo nife kwa kuhara karibia utumbo unitoke.Mbona vitumbua na chapati unakula, supu ya utumbo unajua inavyotengenezwa, wewe kula mengine tuachie sisi jikoni.