Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Acha kujitetea kwa Uchafu, yaelekea wewe ni Mchafu haswaMbona huji na Chakula chako na Choo chako?
Wivu tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kujitetea kwa Uchafu, yaelekea wewe ni Mchafu haswaMbona huji na Chakula chako na Choo chako?
Wivu tu
Ile seal inachomelewa upya ndugu. Hawa wahuni ana akili pia.Kifuniko sio sealed? Fungua mpaka ile kamba ikatike. Kizibo kikifunguka moja kwa moja bila pingamizi umepigwa.
Wachafu ni nyie mnakuja mjini bila Kuoga. makonda angerudi U RC angewanyoshaAcha kujitetea kwa Uchafu, yaelekea wewe ni Mchafu haswa
Bora kunywa maji pamoja na ng'ombe au punda hautapata maradhi yoyote, kuliko kunyweshwa kinyesi na wahuni wa DAR.Miili yetu ishakuwa sugu, huko vijijini tulikuwa tunakunywa na ng'ombe, punda, mbwa nk
Achana na maji ya kopo. Nunua ya chupa.Kujali afya ya binadamu mwenzio hata kama unafanya biashara na unatafuta hela ni muhimu sana.
Wafanyabiashara mnatuua bila huruma sisi waja wema. Nimefika Mbezi mwisho barabara inayokwenda Kinyerezi kuna ofisi maalumu ambayo wanakusanya makopo na kupakia maji machafu yasiyofaa hata kidogo.
Wanaweka package na vifuniko wanayatia kwenye friji na kuwauzia wateja kama maji orijino. kwa kuwa yanakuwa baridi sana huwezi kugundua chochote. Hao wamana wanaofanya kazi hapo na mazingira ya eneo ni machafu kupindukia, makopo hayaoshwi na wanayaokota majalalani na kwenye mitaro michafu.
Makopo mengine yanakuwa na mikojo wao hawajali hilo wanachojali ni kupata pesa. Hii ni hatari sana!
Maji haya tunawanywesha watoto na wagonjwa. Ndiyo sababu magonjwa ya kuhara haishi hapa mjini. Jeshi la polisi na wenye viwanda jaribuni kubuni namna nyingine na kufanya misako kwa wenye hizi biashara. Wanatuua bila huruma.