Daresalama mimi huwa sili Ovyo ovyo nimeshawahi kula Pweza na Supu yake halafu kidogo nife kwa kuhara karibia utumbo unitoke.Mbona vitumbua na chapati unakula, supu ya utumbo unajua inavyotengenezwa, wewe kula mengine tuachie sisi jikoni.
Maji ya Mwamba ni mazuri kaka ila mpaka uchimbe kisima kuufikia mwamba gharama zitakutoka.Ni hatari mnoo kwa sababu hata hayachemshwi
Hayo ni masafi sana ya kijijini usiyalinganishe na ya DarMiili yetu ishakuwa sugu, huko vijijini tulikuwa tunakunywa na ng'ombe, punda, mbwa nk
Ukishakuwa ni makazi wa Afrika, hivi ni vitu vya kawaida...
Ukishakuwa ni makazi wa Afrika, hivi ni vitu vya kawaida...
Mkuu, hapo ndio unakomaza mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ...ukipata na kitu kama hii mara mbili kwa mwezi mambo yanakuwaπ₯π₯π₯Daresalama mimi huwa sili Ovyo ovyo nimeshawahi kula Pweza na Supu yake halafu kidogo nife kwa kuhara karibia utumbo unitoke.
Mboga za majani dar siku hizi zinatoka mkuranga,rufiji,dododma mpaka mwanza,tofauti na zamani zinalimwa bonde la msimbazi,Ila ukitaka uhakika wa mboga kula kipindi Cha mvua nyingi sababu mabonde hayalimikiNapendelea kula Wali maharagwe tu, silagi nyama Dar, wala kuku, wala mboga za majani.
Kuna mtu alifia kwenye bwawa jirani na kambangwa secondari mwezi ulopita na pembeni yake kuna mboga inayomwagilia kwa kutumia hayo maji na yametuama tu.Mboga za majani dar siku hizi zinatoka mkuranga,rufiji,dododma mpaka mwanza,tofauti na zamani zinalimwa bonde la msimbazi,Ila ukitaka uhakika wa mboga kula kipindi Cha mvua nyingi sababu mabonde hayalimiki
π€£π€£π€£πMiili yetu ishakuwa sugu, huko vijijini tulikuwa tunakunywa na ng'ombe, punda, mbwa nk
dah, hamuogopi kukimbiza mwenge aiseeMkuu, hapo ndio unakomaza mfumo wa mmeng'enyo wa chakula ...ukipata na kitu kama hii mara mbili kwa mwezi mambo yanakuwaπ₯π₯π₯
View attachment 2922499
π€£π€£π€£πKilimanjaro hii hii ya Buza
USSR
π€Dew drops Maji yao matamu sana lakini naona hawajajipanga kiuzalishaji na usambazaji.
Wabongo wengine kwenye operations ni shida.
Huenda kuna tatizo la management na marketing kwa ujumla.
Wameshindwa ku meet demand kwa wakati .
Kila ukienda shoppers super markets hakuna Maji yao,
Shoppers wanasema wanakuwa wameagizia lakini hataki kwa wakati.
Mungu awape nini?
Kukubalika sokoni ni Neema lakini mnaochezea?
Watu wata Shift in demand wa kusubiri na kuchoka.
Mna matatizo gani?
Si muongeze mitambo ya uzalishaji?
Ongezeni capacity of production muweze ku meet demand kwa wakati.
Bila ku compromise na quality.