DOKEZO Asilimia 80 ya maji ya kopo Dar es Salaam ni feki na machafu, hayafai. Kwa hali hii usalama wetu uko wapi?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Miili yetu ishakuwa sugu, huko vijijini tulikuwa tunakunywa na ng'ombe, punda, mbwa nk
Bora kunywa maji pamoja na ng'ombe au punda hautapata maradhi yoyote, kuliko kunyweshwa kinyesi na wahuni wa DAR.

Punda anà shida gani mnyama msafi yule, kinywa chake kina majani tu!

Usiombe unywe maji ya vidimbwi vya DAR, TEGETA, BOKO BUNJU 😕😕 Ni mavi matupu!

Maji yana minofu ya mizoga kwa ndani
 
Hapo mkuu wa mkoa yuko busy . Kichwa kama senene badala ya kuhangaika wanaoandamana.
 
Achana na maji ya kopo. Nunua ya chupa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…