Tobaaaaaa umeshaharibu. Mwenzako katumia codes we umefungua password khaaaaaaaaaaaaaWala mkuu mm siyo muhaya, naomba usome maandishi yangu, ndiyoo maana nimeandika mm si tajiri na maisha yangu ya kawaida kabisaa
Mwanaume kulelewa hata haipendezi[emoji1][emoji1][emoji1] watulee Kama tunavyo walea
Oya Dada naomba Pesa nimekwamaHadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
Labda muonekano wako watu wanakuona kama tajiriHapana Hilo nalipinga, marioo anadet e na tajiri mm nisgakwambia si tajir ninamaisha ya kawaida kabisaa
Oya unatualibia sasaAcha kudate wavulana
Hadi humu jf nilishawah kuwa na marafiki wawili wa kawaida tu ambao hatujawah Onana but tulikuwa tunawasiliana ,but urafiki wetu pia ukavinjoka baada ya kuwa wananiomba pesa
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji28]daahh!no sugar coating at allKuna namna unajiweka ndio maana wanakuja hao wanakuomba hela mamy.
Itakua unaonyesha uko desperate sana na mahusiano au sio pisi kali? [emoji85][emoji85][emoji85].
Level up..
Mi namuonaga kama ana K kama mimi tu[emoji848][emoji848]Ila hela inapendeza kuombwa na mwanamke tu, mwanaume akiomba hela inakata nyg sanaaa
Mpaka unajiuliza huyuni mwanaume kweli?Duuhh!! [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Oyaaaa [emoji1][emoji1][emoji1][emoji119]Mi namuonaga kama ana K kama mimi tu[emoji848][emoji848]
Mkuu hawa wanatoa, hizi maneno za mitandaoni we achana nazo.Amesha kubali kuwa huwa anatoa [emoji1][emoji1][emoji1]
Katika mazingira hayo if ingetokea Mimi ndiye bf wake then hataki kutoa support hata kidogo wakati Mimi huwa ninampa aisee siwezi kuwa nae Bora tumwagane
Hapo sifa ya uanamume lazima itoweke [emoji1][emoji1]Mpaka unajiuliza huyuni mwanaume kweli?
Najua Sana [emoji16][emoji16]Mkuu hawa wanatoa, hizi maneno za mitandaoni we achana nazo.
Mona kama jina lako linadadifuuDuh pole sana mkuu hii ndiyo inaitwa other way round.Kwa kawaida wanaume ndiyo wanezoeleka kupigwa mizinga sasa inapotokea wanaume unao date nao wanakupiga mizinga wewe hiyo wanakutabiria utakuja kupata pesa nyingi wavumilie tu.
😀😀Oya Dada naomba Pesa nimekwama