Asilimia kubwa tunanunua simu na laptop zenye uwezo mkubwa na pesa kubwa wakati matumizi yake ni madogo

Asilimia kubwa tunanunua simu na laptop zenye uwezo mkubwa na pesa kubwa wakati matumizi yake ni madogo

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Ili jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi.

Tuje kwenye simu huku ndio tatizo kabisa ndio maana kampuni nyingi zimeshaona kuna maboya wengi wa simu wasio jua simu hii kwa ajili ya nini na kwa kazi hipi.

Tujifunze kununua kitu kulingana na matumizi,nimeona bosi mkuu kutoka nje kaja na simu ya kawaida ila msimamizi wake hapa tz anatumia iphone 12 pro na macbook pro letina 2020 alafu hakuna la maana zaidi ya kuangalia email tu
 
Kila mtu afanye anachopenda na kuuridhisha moyo wake.

TAHADHARI

Pesa kila mtu anatafuta kwa jasho na ugumu anaoujua yeye,hivyo usimpangie mtu matumizi ya pesa yake.

Kama mtu huyo havunji sheria za nchi Acha afanye anavyotaka.
 
Kila mtu afanye anachopenda na kuuridhisha moyo wake.

TAHADHARI

Pesa kila mtu anatafuta kwa jasho na ugumu anaoujua yeye,hivyo usimpangie mtu matumizi ya pesa yake.

Kama mtu huyo havunji sheria za nchi Acha afanye anavyotaka.
Unaweza kununua fuso kwa ajili ya kutembelea sababu unapesa ?. Tuanzie hapo
 
Ili jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi.

Tuje kwenye simu huku ndio tatizo kabisa ndio maana kampuni nyingi zimeshaona kuna maboya wengi wa simu wasio jua simu hii kwa ajili ya nini na kwa kazi hipi.

Tujifunze kununua kitu kulingana na matumizi,nimeona bosi mkuu kutoka nje kaja na simu ya kawaida ila msimamizi wake hapa tz anatumia iphone 12 pro na macbook pro letina 2020 alafu hakuna la maana zaidi ya kuangalia email tu
Simu kubwa hafu unaishiq kichat na google
 
Ili jambo watanzania tunajikuta tunapoteza sana pesa kwa kununua kitu chenye uwezo mkubwa kuliko matumizi.yani mtu ana nunua laptop yenye uwezo wakufanya kazi za production,game na injinia alafu yeye anaenda kutumia kwa ajili ya kuandikia barua na kazi za ofisi.

Tuje kwenye simu huku ndio tatizo kabisa ndio maana kampuni nyingi zimeshaona kuna maboya wengi wa simu wasio jua simu hii kwa ajili ya nini na kwa kazi hipi.

Tujifunze kununua kitu kulingana na matumizi,nimeona bosi mkuu kutoka nje kaja na simu ya kawaida ila msimamizi wake hapa tz anatumia iphone 12 pro na macbook pro letina 2020 alafu hakuna la maana zaidi ya kuangalia email tu
Daaah aya bana ...ila ndo ukwel
 
Unaweza kununua fuso kwa ajili ya kutembelea sababu unapesa ?. Tuanzie hapo
sio unaweza wapo watu wa hivi.

kwa waliopo katavi kuna jamaa ana duka la spea za magari jirani sheli ya gbp maeneo ya kanisa la sabato anaitwa mwaipopo alikuwa anatembelea scania kabla ya kuacha na kununua gari ndogo

watu hawa wapo mkuu
 
Tuambie ya kawaida tununue ipi. Mimi nina Samsung A72. Matumizi ya kawaida Kusoma habari kwenye mitandao, kupiga picha binafsi, kupiga na kupokea simu.Je nimechemsha?
Huna tofauti na mtu mwenye itel56 mkuu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hakuna kitu roho inatulia kama uko na gari inauwezo wankukimbia 260km/h halafu unaendesha 60km/h,unapitwa na mwenye 180km/h unaona cha aende nikitaka nampita tu shwaaaaa.

Sio una kagari ka 120km/h unapitwa na wa 180km/h na uwezo wa kununua 240km/h unao.

Nina simu hapa ina 256gb storage hata robo sijajaza mwaka sasa,lakini sisiti kuweka vitu maana najua haijai kizembe.
 
Siku ukipata hela hii thread yko ni nonsense! Mtoa mada tafuta hela utaacha makasiriko
Na nunua kitu kulingana nachofanya kwenye matumizi.nitanunua kitu sababu ni pesa embu toa ujinga basi.mda mwengine ID zinaficha mengi.

Wewe unaenda kununua TV nch 100 ukagundue nini kisa umepata pesa au pesa zako zina kusumbua.

Una nunua laptop Game wakati sio mtumiaji wa Game inakusaidia nini?.

Ulishawai kununua trekta ukatembelea mjini au umeona simu na laptop viko sawa kimatumizi
 
Back
Top Bottom