YES,WHY NOT!.Unaweza kununua fuso kwa ajili ya kutembelea sababu unapesa ?. Tuanzie hapo
Nani ka kwambia umaskini.ishu unachoenda kukinunua ndio matumizi yake.
Kisa na pesa ni nunue tu,mzungu mwenyewe anaweza kucheka.
Mfano unapesa unavosema wewe unaenda kununua laptop ya game na wewe sio mtu wa magame.
usipende kuwa mjinga mbele za watu.jifunze ukienda madukani omba ushauri ndio nyie mnapigwa kkoo hapo kisa ujuwaji
Serikali imeweka Laptop kama kitu cha starehe kumbe ni kitabu kile kinaelimisha ndio maana unaona tuanze kujadili mambo ya Laptop huko mimi nilishahama watoto wangu tuu nawapa Laptop nzuri maana hapa SA hazina kodi bei yake kwa Mpya madukani ni kama ya kiwandani kasoro zile za Game...ninunue vitu Johannesburg na kuuza Kariakoo harafu tena mimi niuzie miguu yote ya kushoto hicho kitu hakipo hapo pana Hp ipo Macro mpya na hiyo used ni Cash Crusaders..Nani ka kwambia umaskini.ishu unachoenda kukinunua ndio matumizi yake.
Kisa na pesa ni nunue tu,mzungu mwenyewe anaweza kucheka.
Mfano unapesa unavosema wewe unaenda kununua laptop ya game na wewe sio mtu wa magame.
usipende kuwa mjinga mbele za watu.jifunze ukienda madukani omba ushauri ndio nyie mnapigwa kkoo hapo kisa ujuwaji
Umaskini wako ndio umeleta biashara hapaUmasikini tuu huo sipo kwenye kundi la kujadili matumizi ya Laptop,simu au magari unadhani wote wananunua bidhaa Kariakoo...Watu mna hela umasikini wa kufikiri hauwatoki
Serikali imeweka Laptop kama kitu cha starehe kumbe ni kitabu kile kinaelimisha ndio maana unaona tuanze kujadili mambo ya Laptop huko mimi nilishahama watoto wangu tuu nawapa Laptop nzuri maana hapa SA hazina kodi bei yake kwa Mpya madukani ni kama ya kiwandani kasoro zile za Game...ninunue vitu Johannesburg na kuuza Kariakoo harafu tena mimi niuzie miguu yote ya kushoto hicho kitu hakipo hapo pana Hp ipo Macro mpya na hiyo used ni Cash Crusaders..
Wewe leo hii unazungumzia laptop toa namba uletewe buree pana mfanyabiashara au mfanyakazi wa Nje masikini...Umaskini wako ndio umeleta biashara hapa
.sio unaweza wapo watu wa hivi.
kwa waliopo katavi kuna jamaa ana duka la spea za magari jirani sheli ya gbp maeneo ya kanisa la sabato anaitwa mwaipopo alikuwa anatembelea scania kabla ya kuacha na kununua gari ndogo
watu hawa wapo mkuu