Asilimia kubwa ya wanaume wanaojielewa wapo PM

Always kila mwanaume anavyomfwata mwanamke lazima aonyeshe kujielewa, kupenda na attention ya hali ya juu..
Hadi unaweza kujiona unapendwa peke ako duniani ila ukishaonesha tu papuchi biashara imeisha...

Akili kumkichwa
 
Ulishatoka kifungoni naona umekuja tena kuwatafuta mahasim zako hahaha.
 
Hahahaha sawaaa bwana
We mambembe kwanini usiwapotezee tu ...mbona unaumiza kichwa kwa vitu vya kipuuzi?
Nakufaham vyema umekuja kuwatafuta watu wako ila ingependeza ungekaa kimya.
Kumbuka kimya ni jibu la mjinga.
 
Mbona wewe hujieleweli??? Hili ligazeti uliloandika hapa ungeenda huko pm uwaandikie hao wazee wako
 
J.f raha.sana,,ukikosa jambo hapa usihangaike hata ku~google.
 
JF where we dare to talk openly

Time is the best teacher, lets wait........


Nalog OFF
Mafumbo ya nn mtoto wa kiume ??naonaa unahangaikaa sana kusema yaliyo ya moyoni be you and do you ....and reserve ur comment kwenye nyuzi zingine instead of htiing around the bush
 
Mafumbo ya nn mtoto wa kiume ??naonaa unahangaikaa sana kusema yaliyo ya moyoni be you and do you ....and reserve ur comment kwenye nyuzi zingine instead of htiing around the bush
Wala hata sio fumbo...it is just a comment
 
Wala hata sio fumbo...it is just a comment
Mbona kwenye nyuzi zingine huwa hucomment hivi??mi mwanaume anayezunguka zungukaa kwakweli huwa namvuaa thaman yake ......why usiwe ww ili uwe free??aaaagh kinda boring
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…