Demu alinishangaa sana kuona sina chake hata moja mwiliniUnatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.
Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.
Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Hv hua hamna namna ya kuondoa🤔sina chale izo,,ila nna chata moja heavy la uzaz 😂😂😂
hakuna aseeee ili n la forever and for always 😂Hv hua hamna namna ya kuondoa🤔
Duh pole sana.hakuna aseeee ili n la forever and for always 😂
asante sanaDuh pole sana.
ChaiUnatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.
Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.
Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Ipo! Op za siku hizi unachomwa sindano ya kuzuia alama ya mshono kuonekanaHv hua hamna namna ya kuondoa🤔
MAMBO YA WALAWI 19:28.Na asilimia kubwa ya Wanawake wa Mjini Wana Tattoos(Chale's Updated) Mwilini.
Na hao nao ni wa kanda ya ziwa sasa?Na asilimia kubwa ya Wanawake wa Mjini Wana Tattoos(Chale's Updated) Mwilini.