Mpaji Mungu
JF-Expert Member
- Apr 24, 2023
- 13,544
- 43,537
Anhaaa! Ningeshangaaa kama hicho kitu kisingekuepoIpo! Op za siku hizi unachomwa sindano ya kuzuika alama ya mshono kuonekana
Dr Restart atanisaidia maelezo zaidi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anhaaa! Ningeshangaaa kama hicho kitu kisingekuepoIpo! Op za siku hizi unachomwa sindano ya kuzuika alama ya mshono kuonekana
Dr Restart atanisaidia maelezo zaidi
Hio technology kwa wenzetu ilikuepo tokea zamani huku imefika miaka ya hivi karibuniAnhaaa! Ningeshangaaa kama hicho kitu kisingekuepo
Hizi Op za kutengeneza shape sijui kuchonga uno ndo ilikuja na hzo technology kwetu maana kabla ya hapo bibi zetu walikua hawajui haya mamboHio technology kwa wenzetu ilikuepo tokea zamani huku imefika miaka ya hivi karibuni
Hii mention mbona haikufika?Ipo! Op za siku hizi unachomwa sindano ya kuzuia alama ya mshono kuonekana
Dr Restart atanisaidia maelezo zaidi
Asante daktari!Hii mention mbona haikufika?
Ndiyo, zipo njia mbili zilizothibitika kusaidia kuondoa ama kuondoa ukubwa na muonekano wa kovu baada ya kujifungua kwa njia ya upasuaji (C-section).
Njia ya kwanza ni ya Laser therapy ambayo hii ni italeta matokea mazuri sana endapo itafanyika ndani ya wiki nane baada ya kujifungua.
Njia ya pili ni hiyo ya sindano. Kitaalam ni Steroid injections. Hii mhusika huchomwa mara kadhaa kwenye kovu ili kupunguza tissue za kovu na kupanyoosha pawe flat.
Kwetu chale tunajua ulikuwa kwa mgangaMnaishi wapi nyie. Kwenu chale ni kitu cha ajabu. Huku kwetu ni mbinu ya matibabu ya watu wengi tu. Hata mgongo ukiuma unatumia madawa ya kunywa yakishindwa kukutibu chale inafuata na mambo safi kabisa. Kwetu hata ukianguka na baiskeli ukatenguka mguu kuna dawa za kuchanja. Ukiogopa mtu mwenye chale inamaana umeogopa uchawi. Ukiogopa uchawi inamaana una imani haba na mungu wako. Ukiwa na imani haba na Mungu wako juu ya kukuokoa na adui yoyote bora ujiunge na Mungu wa huyo adui maana ndo ananguvu kuliko wako
KweliUnatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.
Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.
Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Hukosi
Hata wewe ndugu yangu? You are throwing us under the bus? 😁😁😁Hii inadhihirisha wazi ni walozi. msukuma utanisamehe
Wanarusha water 💦 hao balaaNa kwa nini unatongoza wa kanda ya ziwa tu
Hata viongozi?Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.
Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.
Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Kumbe unataka udzungwaWanarusha water 💦 hao balaa
Unatakiwa ujifunze kula vyakula tofauti mkuu. Ushawahi kulala na mwanamke anakojowa lita 2 za maji kitandani? Ni experience ya aina yake bwana.Kumbe unataka udzungwa
Sawa mkuu endelea kula mema ya nchiUnatakiwa ujifunze kula vyakula tofauti mkuu. Ushawahi kulala na mwanamke anakojowa lita 2 za maji kitandani? Ni experience ya aina yake bwana.
😂Hiyo ni kweli kabisaaa! Nna best yangu ana chale km kibao cha kashata, hata mwanaume ampende vipi bado haamini mpk amroge