mimimnyenyekevu
JF-Expert Member
- Apr 19, 2023
- 737
- 1,002
Na wanaume wenye chale je inakuwaga ni niniHamna kitu inakata stimu kama ukute manzi ana chale mwilini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanaume wenye chale je inakuwaga ni niniHamna kitu inakata stimu kama ukute manzi ana chale mwilini
Soonpicha
waiting...Soon
Kwa hiyo vitoto vya 2000 asilimia 80 kanda ya ziwa umevikula? 🤣🤣Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.
Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.
Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Bima ya asiliNa wanaume wenye chale je inakuwaga ni nini