Asilimia kubwa ya wanawake/ wasichana wa kanda ya ziwa wana chale mwilini

Asilimia kubwa ya wanawake/ wasichana wa kanda ya ziwa wana chale mwilini

Nilikuwa na demu wa kisukuma kwenye mahusiano sasa tukiwa kwenye tendo wakat wa kutomasa tomasa nahisi kitu kigumu mkononi mwake nilpomuhoji vizur akanieleza aliwekwa sindano ya chuma kwenye mkono na mganga mmoja huko Kigoma Ile sindano iko dizaini kama kijiti Cha uzazi wampango.

Akaniambia sindano hiyo imekaa miaka 9 mkononi siku nikaamua kumpeleka hospital ili kitolewe na kilipotolewa kilikuwa kina kutu kabisa yeye anadai aliwekewa kwa ajili ya kujikinga na watu wabaya.

Baada ya kumtoa hiyo sindano nilikaa naye mwezi tu nikamwacha maana sipend mwanamke anayejihusisha na ulinzi.
 
Nilikuwa na demu wa kisukuma kwenye mahusiano sasa tukiwa kwenye tendo wakat wa kutomasa tomasa nahisi kitu kigumu mkononi mwake nilpomuhoji vizur akanieleza aliwekwa sindano ya chuma kwenye mkono na mganga mmoja huko Kigoma Ile sindano iko dizaini kama kijiti Cha uzazi wampango.

Akaniambia sindano hiyo imekaa miaka 9 mkononi siku nikaamua kumpeleka hospital ili kitolewe na kilipotolewa kilikuwa kina kutu kabisa yeye anadai aliwekewa kwa ajili ya kujikinga na watu wabaya.

Baada ya kumtoa hiyo sindano nilikaa naye mwezi tu nikamwacha maana sipend mwanamke anayejihusisha na ulinzi.
Hiyo ni power bank
 
Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.

Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.

Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Kule Ni jadi yao Tena huwa tunawekwa kwenye jiwe na kuchanjwa na kugongeshewa mawe kwenye pande nne za dunia

Wasalaam
 
wengi niliokuta wana chale wa kusini na Tanga,,,,,,kanda ya ziwa najua wazee wanachanjiaga kwenye kivuli, hao labda wawe hawajakutana na wataalam wazuri,, kule ukikuta mtaalam anakuchanja kwenye kivuli chako hamna mtu anaeona alama kwenye mwili wako
 
Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.

Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.

Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Makuzi Yao kutoka Kwa wazazi yenye kuambatana na tamaduni za kifamilia kwao ni kama ulinzi dhizi ya Imani za kishirikina ndio maana wanazo sio Kanda ya ziwa tuu hata maeneo mengine yapo
 
Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.

Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.

Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
kwaiyo tuseme wapo kimazingira zaidi
 
Kusini ni kubwa ni mkoa gani 😀😀
wengi niliokuta wana chale wa kusini na Tanga,,,,,,kanda ya ziwa najua wazee wanachanjiaga kwenye kivuli, hao labda wawe hawajakutana na wataalam wazuri,, kule ukikuta mtaalam anakuchanja kwenye kivuli chako hamna mtu anaeona alama kwenye mwili wako
Njia
 
Unatongoza binti mbichi kabisa wa 2000 mkifika kwa mkapa akivua jezi unakuta chale mgongoni,kwenye matiti au sehemu yeyote mwilini,ukimuuliza anakwambia nikiwa mdogo niliumwa sana ndio nikaoakwa dawa.

Hii kitu nawezw kusema ni asilimia zaidi ya 80 ya wanawake wa kanda ya ziwa,bila kujali kabila lao wala dini yao,.

Anayebisha ameamua tu kubisha au hajakichafua kwa mabinti wa kanda hiyo ila huo ndio ukweli.
Ni Mila na desturi Mkuu sio hiari na wamejengwa hivyo, na usisahau. Ni watamu sana kwenye show kali
 
wengi niliokuta wana chale wa kusini na Tanga,,,,,,kanda ya ziwa najua wazee wanachanjiaga kwenye kivuli, hao labda wawe hawajakutana na wataalam wazuri,, kule ukikuta mtaalam anakuchanja kwenye kivuli chako hamna mtu anaeona alama kwenye mwili wako
Turudi tu kwenye mila zetu
 
Back
Top Bottom