Asilimia kubwa ya wanawake/ wasichana wa kanda ya ziwa wana chale mwilini

Nilikuwa na demu wa kisukuma kwenye mahusiano sasa tukiwa kwenye tendo wakat wa kutomasa tomasa nahisi kitu kigumu mkononi mwake nilpomuhoji vizur akanieleza aliwekwa sindano ya chuma kwenye mkono na mganga mmoja huko Kigoma Ile sindano iko dizaini kama kijiti Cha uzazi wampango.

Akaniambia sindano hiyo imekaa miaka 9 mkononi siku nikaamua kumpeleka hospital ili kitolewe na kilipotolewa kilikuwa kina kutu kabisa yeye anadai aliwekewa kwa ajili ya kujikinga na watu wabaya.

Baada ya kumtoa hiyo sindano nilikaa naye mwezi tu nikamwacha maana sipend mwanamke anayejihusisha na ulinzi.
 
Hiyo ni power bank
 
Kule Ni jadi yao Tena huwa tunawekwa kwenye jiwe na kuchanjwa na kugongeshewa mawe kwenye pande nne za dunia

Wasalaam
 
wengi niliokuta wana chale wa kusini na Tanga,,,,,,kanda ya ziwa najua wazee wanachanjiaga kwenye kivuli, hao labda wawe hawajakutana na wataalam wazuri,, kule ukikuta mtaalam anakuchanja kwenye kivuli chako hamna mtu anaeona alama kwenye mwili wako
 
Mnafata chale au matendo? Kwahiyo mkishaona chale matendo hayaendelei tena?!

Msitudanganye hapa πŸ˜‚
 
Makuzi Yao kutoka Kwa wazazi yenye kuambatana na tamaduni za kifamilia kwao ni kama ulinzi dhizi ya Imani za kishirikina ndio maana wanazo sio Kanda ya ziwa tuu hata maeneo mengine yapo
 
kwaiyo tuseme wapo kimazingira zaidi
 
Kusini ni kubwa ni mkoa gani πŸ˜€πŸ˜€
wengi niliokuta wana chale wa kusini na Tanga,,,,,,kanda ya ziwa najua wazee wanachanjiaga kwenye kivuli, hao labda wawe hawajakutana na wataalam wazuri,, kule ukikuta mtaalam anakuchanja kwenye kivuli chako hamna mtu anaeona alama kwenye mwili wako
Njia
 
Ni Mila na desturi Mkuu sio hiari na wamejengwa hivyo, na usisahau. Ni watamu sana kwenye show kali
 
wengi niliokuta wana chale wa kusini na Tanga,,,,,,kanda ya ziwa najua wazee wanachanjiaga kwenye kivuli, hao labda wawe hawajakutana na wataalam wazuri,, kule ukikuta mtaalam anakuchanja kwenye kivuli chako hamna mtu anaeona alama kwenye mwili wako
Turudi tu kwenye mila zetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…