Asilimia kubwa ya Watoto wa 2000 ni matokeo ya wazazi wa Miaka ya 75' Hadi 85'

Asilimia kubwa ya Watoto wa 2000 ni matokeo ya wazazi wa Miaka ya 75' Hadi 85'

Msuli wa mbu

Senior Member
Joined
May 4, 2021
Posts
146
Reaction score
485
habari za ujenzi wa taifa?

Hili swala la kuwachukulia Watoto wa miaka ya 2000 tofauti limekuwa likizidi kushamili siku Hadi siku sijajua labda social media kwa kipindi hiki ila hapo zamani kidogo (80' 90')sijawahi sikia kizazi fulani kikibezwa kwa namna yoyote tofauti na kuchukuliana lakini siku hizi huku mtaani imekuwa too much.

Binafsi haya tunayo yaona Sasa Ni matokeo ya sisi wazazi wa miaka hiyo kuanzia (75' Hadi 85') nazani tungeanza kujitathimini wenyewe pia katika malezi ya hawa watoto wetu ili tusizalishe jeneresheni nyingine huku mbele Kama watoto wa 2010, 2020 na kadha wa kadha.

Tujadiri: je? Watoto wa 2000 ni matokeo ya sisi wazazi wa miaka ya 1975 hadi 1985.
 
habari za ujenzi wa taifa?

Hili swala la kuwachukulia Watoto wa miaka ya 2000 tofauti limekuwa likizidi kushamili siku Hadi siku sijajua labda social media kwa kipindi hiki ila hapo zamani kidogo (80' 90')sijawahi sikia kizazi fulani kikibezwa kwa namna yoyote tofauti na kuchukuliana lakini siku hizi huku mtaani imekuwa too much.

Binafsi haya tunayo yaona Sasa Ni matokeo ya sisi wazazi wa miaka hiyo kuanzia (75' Hadi 85') nazani tungeanza kujitathimini wenyewe pia katika malezi ya hawa watoto wetu ili tusizalishe jeneresheni nyingine huku mbele Kama watoto wa 2010, 2020 na kadha wa kadha.

Tujadiri: je? Watoto wa 2000 ni matokeo ya sisi wazazi wa miaka ya 1975 hadi 1985.
Ni kizazi cha high technology
 
Yes! Watoto hawa wamerithi tabia za wazazi wao plus technology🙌

Fikiria Mzee kama Dr Restart ananifundisha nini mimi zaidi ya tabia za hovyo

Okay, kwahiyo miongoni mwetu Kuna wazee wa hovyo.

Hapo kwenye technology hivi hakuna namna ya tahadhari dhidi ya teknologia mbaya na je hapo zamani kwamba teknologia haikuwepo.
 
Ni kwasababu hao watu wa 2000s wapo kwenye balehe sasa hivi.

Na tujuavyo, balehe ni muda wa kuwa na kiburi, wenzetu wanasema 'defiance is the trademark of youth'.

Rika balehe ni watu wanaoanza kujitambua, wanajaribu kutengeneza uhusika wao wenyewe na ndio maana huwa wanaenenda kinyume na wakubwa.

Hawa ndugu zetu wa karibu, millennials waliozaliwa 1981-1996 hawakosolewi tena siku hizi washakuwa wakubwa....
Zaidi stori zinazowahusu wao nyingi ni zile za kukosa ajira, kutokua, na zingine kama hizo.
 
Ni kwasababu hao watu wa 2000s wapo kwenye balehe sasa hivi.

Na tujuavyo, balehe ni muda wa kuwa na kiburi, wenzetu wanasema 'defiance is the trademark of youth'.

Rika balehe ni watu wanaoanza kujitambua, wanajaribu kutengeneza uhusika wao wenyewe na ndio maana huwa wanaenenda kinyume na wakubwa.

Hawa ndugu zetu wa karibu, millennials waliozaliwa 1981-1996 hawakosolewi tena siku hizi washakuwa wakubwa....
Zaidi stori zinazowahusu wao nyingi ni zile za kukosa ajira, kutokua, na zingine kama hizo.
Miaka 20+ hiyo ni balekhe gani🤔
 
habari za ujenzi wa taifa?

Hili swala la kuwachukulia Watoto wa miaka ya 2000 tofauti limekuwa likizidi kushamili siku Hadi siku sijajua labda social media kwa kipindi hiki ila hapo zamani kidogo (80' 90')sijawahi sikia kizazi fulani kikibezwa kwa namna yoyote tofauti na kuchukuliana lakini siku hizi huku mtaani imekuwa too much.

Binafsi haya tunayo yaona Sasa Ni matokeo ya sisi wazazi wa miaka hiyo kuanzia (75' Hadi 85') nazani tungeanza kujitathimini wenyewe pia katika malezi ya hawa watoto wetu ili tusizalishe jeneresheni nyingine huku mbele Kama watoto wa 2010, 2020 na kadha wa kadha.

Tujadiri: je? Watoto wa 2000 ni matokeo ya sisi wazazi wa miaka ya 1975 hadi 1985.
Kwahiyo unataka tufwanyeje?
 
Miaka 20+ hiyo ni balekhe gani🤔
hakuna umri sahihi wa kuanza na kuchelewa balehe, kuna kuwahi kumaliza na kuchelewa

lakini pia kuna balehe ya kiakili, mtu wa early 20s bado hana uzoefu mkubwa wa kimaisha, wengi ndo wanaanza maisha

wengi hawajaolewa wanajiegesha nyumbani burebure😉
 
Waliozaliwa '75-'85 baadhi wanapitia balehe ya pili, so just bear with them, wanaukaribisha uzee, japo wengine hatujakubali kuwa sasa ujana umepita.

Halafu, waliozaliwa 2000s mwanzoni hapo baadhi ni zao la wazee wa '65-'75, hasa wanaume. So kuanzia GenX hadi millenia walifeli kwenye malezi.
 
1. Watoto wamekua wanasikiliza muziki wa kina Diamond na Young Lunya(hauna madini).

2. Nyumba za ibada (matapeli) wanajadili hela na miujiza feki. Hakuna maadili ya uchapakazi, uaminifu, uadilifu unajadiliwa.

3. Redio na TV zinajadili michezo, muziki/umbea Kisha michezo tena.
Hamna Cha maana cha kupata huko.

4. Simu mikononi mwa watoto. Wazazi hawajui namna ya kuwadhibiti.

So hiki kizazi kina upekee katika utovu wa maarifa ya msingi.
 
Back
Top Bottom