passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Weka ukweli wa data yako hiyo data niliyoiweka imetoka source inayoelewekaSasa hii taarifa yako mwenyewe pamoja na kwamba wamedanganya lakini ambazo ni operational ziko 1458 na nyingine wanasema ready for deployment kama 3039 ambao ni uongo, hizo ni decommissioned baada ya kuwa zimeshaexpire pamoja na hizo 1760.
Mimi nipo hapa Kremlin, nakupa taarifa sahihi.
Aisee wewe unaaibisha Sana Kwanza Huna source umeamua kujiandaliw story kichwani data zangu ni sahihiSasa hii taarifa yako mwenyewe pamoja na kwamba wamedanganya lakini ambazo ni operational ziko 1458 na nyingine wanasema ready for deployment kama 3039 ambao ni uongo, hizo ni decommissioned baada ya kuwa zimeshaexpire pamoja na hizo 1760.
Mimi nipo hapa Kremlin, nakupa taarifa sahihi.
Mimi ninazo sources za ndani ya Kremlin ndio maana siwezi kuziweka hapa.Weka ukweli wa data yako hiyo data niliyoiweka imetoka source inayoeleweka
Hivi unaakili kweli?Mimi ninazo sources za ndani ya Kremlin ndio maana siwezi kuziweka hapa.
Nuclear za urusi asilimia tisini zinakuwa decommissioned kwasababu zilitumia plutonium.
Mkuu haulazimishwi kuniamini. Unaweza kuamini vyanzo vyako.Hivi unaakili kweli?
Soma post #59
Alisikika konda mmoja wa ubungo majiNdio maana putin anatisha tisha tu hana kitu yule ashafanya hesabu akipiga nuclear 1 urusi itageuzwa kuwa jangwa
Tanzania tunapasua matofali kwa kichwa.Wabongo kwa data.Tanzania tuna makombora na ndege ngapi.
Umeamka hapo kwa shemeji? Leo usigombanie rimoti na watoto wa dada yako.Bila shaka mtoa mada kapakiwa mkongo kapelekewa moto kaja kuandika uzi JF
Mtu Kama huyu mara nyingi anakua hana future anakula kwa mama akimaliza anaingia mtaani ndio maana anakua Kama mtu mwenye msongo wa mawazo Yani akili zake hazina uwezo wa kufiki hana kazi ya kufanya ndio utakuta anaona ngoja niandike andike tu. Swali dogo tu nchi yenye silaha ya nyuklia ulijua au kutangaziwa kwamba sasa tunatengeneza vichwa vipi vya nyuklia ?zaidi utakachoona makombora ambayo yana uwezo tofauti tofauti wa kubeba vichwa vya nyuklia. Hata hiyo korea kaskazini ni makombora yenye uwezo wa kubeba vichwa vya nyuklia na sio vichwa vya nyuklia wanavyoonesha.Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Mhandisi wa mavi mukishasoma elimu yenu iliyo expire munaona kila kitu munajua ,kumbuka huo uhandisi wako Russia hata ukirudisha mwaka 1800 bado elimu yao ya mwaka huo ilikua Bora kuliko hayo mavi yako uliyoweka kichwani kwa miaka kibao ,tena walikua hawaitumii kabisaa halafu unazungumzia Russia ya leo ambayo elimu wanayotumia hata ipite miaka 1000 bado nchini kwenu hamjaifikia kweli unauhandisi we au umebeba mavi. Halafu unakaa mtu Kama ww unasubiri kuajiriwa hahahahahMimi ni mhandisi mwandamizi na nilichoandika hapa ni ukweli mtupu
Aliokwambia ni nani nuclear ina expire ?? hizo taarifa umetoa wapi ?? wewe ni nani mpaka unaongea tu hata majasusi wa CIA MOSSAD na KBG hawajawi kuongea jambo kama hilo wewe hizo data umetoa wapi ?? achana na masuala ya google usalama wa nchi hauko google taarifa za majeshi na siraha ni siri ya nchi.Japokuwa urusi inasema kwamba wanazo nuclear warhead 6257, nyingi zilishapitwa na wakati.
Silaha za nuclear zinaishi kwa miaka 45 (plutonium) na 85 (tritium). Za urusi zilizotengenezwa na USSR miaka ya 1960s mpaka 1990s zimeshakufa maana zilikuwa plutonium.
Ikumbukwe kwamba urusi hakuwa na fedha za kutengeneza mpya kati ya miaka ya 2000s hivyo kwasasa amebakiwa na active nuclear warhead 625.
Ikumbukwe kwamba marekani anazo active nuclear warhead 5500 mpaka sasa.
Ikipitwa na wakati haiwezi kulipuka. Inakuwa gharama pia kuitunza kwahiyo lazima ichimbiwe chini iwe buried.Ila zikilipuliwa zinaua
Hapa nyumbani kwangu hatuna haja ya kununua sabuni maana umeshatupa povu.Mhandisi wa mavi mukishasoma elimu yenu iliyo expire munaona kila kitu munajua ,kumbuka huo uhandisi wako Russia hata ukirudisha mwaka 1800 bado elimu yao ya mwaka huo ilikua Bora kuliko hayo mavi yako uliyoweka kichwani kwa miaka kibao ,tena walikua hawaitumii kabisaa halafu unazungumzia Russia ya leo ambayo elimu wanayotumia hata ipite miaka 1000 bado nchini kwenu hamjaifikia kweli unauhandisi we au umebeba mavi. Halafu unakaa mtu Kama ww unasubiri kuajiriwa hahahahah