Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Binafsi sioni kama wanataka wamtoe ila CCM ni wajanja sana wanamtengenezea njia Majaliwa ya Urais.

Washaona hawana wakumsimamisha na mtu pekee alie katika system anae eleweka utendaji kazi wake ni PM.

Chakufanya ili wakamilishe mchezo wao, wanafanya kama kwa JPM kabla hajawa waziri, wanamchonganisha na wana CCM wengine abaki ONE MAN ARMY halafu wakishafanikiwa kumchonganisha.

Wanamtupa kwa wananchi, ambao kwa asilimia 90 wataona PM anafaaa, Chaguzi za Rais zikifika Jina CCM wanatoa jina la MAJALIWA. hakika lazima wapite na kijiji cha kura.

CCM ni moja ya chama ambacho kinapomuandaa Rais wake kinamfanya Adui wa chama adui wa wa ilani yake halafu kinaangalia respond ya wananchi.

Katika yanayoendelea sitoshangaa sana nikisikia Majaliwa kajiuzuru halafu akaja tena teuliwa kuchukua fomu ya urais kwa kulazimishwa.

Msiwaangalie CCM kama malofa hiki chama kina mfumo wa 4 4 2 ukikiangalia juu juu huwezi kielewa.

CCM ipi? Hii inayomtegemea Jecha kufuta uchaguzi inaposhindwa?. Punguza uongo na maneno mengi.
 
Hakuna cheo chenye lawama na kigumu kama cha uwaziri mkuu.

Binafsi naona majaliwa ana ustahimilivu mkubwa kwa kiasi chake, tokea enzi za hayati vile alivyokuwa anasemwa hapa na pale, mara kupigwa kwa shangazi zake.
Kipindi cha hayati kutoonekana na kufariki kwake majaliwa alibeba lawama kwa kiasi chake kwa taarifa zisizo wiana.

Kipindi alichopo sana yalipo tokea huko bungeni alisemwa yeye kimtindo, kauli ya huko bungeni kwa kina kasimu!

Kuletewa msaidizi , kuagizwa na muenezi aliye ofisini kwa siku mbili hali yeye yupo madarakani kwa miaka nane karibu.

Nadhani kabisa ameshajiandaa kisaikolojia ndio maana kila aonekanapo amejaa tabasamu.

Pamoja na yoote lakini amejitahidi sana kuongoza , wananchi hatuna deni naye.
Saana
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa naibu waziri mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Huu ni ukweli Mchungu
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa naibu waziri mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Reforms na Rebuilding ya mama Samia si mchezo. Mliozowea kuishi kimazowea mtakuja na kila hoja ya kijinga.

Majaliwa niliwahi kuandika uzi kuhusu yeye siku nyingi sana.

Binafsi, bila kutafuna maneno namuona Kassim Majaliwa Majaliwa kuwa ni mnafik na ameshindwa kabisa yake.

Haiwezekani Halmashauri zote na idara zote nyeti zilizo chini yake ziwe na madudu na yupo hapo kwa miaka.

Majaliwa anaufahamu wizi wote unaoendelea serikalini na anaufumbia macho au kwa makusudi, au usaliti? Au hayupo "competent".


Madudu yanayoongelewa bungeni ilikuwa inatakiwa Majaliwa awachie ngazi yeye mwenyewe kabla hajaambiwa na mtu.

Dudu moja tu lilimfanya Lowassa awachie ngazi.
 
Wabunge hudhani wananchi wao hawana akili na wao wana akili kiasi cha kufanya siasa za kinafiki na wananchi wao wasijue unafiki wanaoufanya bungeni. Kwenye huu mjadala wa ripoti GAG wanachangia kinafiki kwa kumlenga yule aonekane ni mzembe hakuchukua hatua kudhibiti ubadhirifu wa fedha za umma na hatimaye aachie ngazi kwa aibu. Hizi ni siasa mufilisi za kuangalia mkulu anasema nini na anataka nini, akisema stupid basi inakuwa ndiyo muelekeo wa siasa na wabunge wanazama huko kukomalia
 
Ila chama cha mapinduzi k8na wanachama wanao ishi kindezi kweli kweli.
Wao wanajifanya wanampenda Waziri wao mkuu kiutendaji, lakini akionewa kwa mifumo ya wajanja na majizi ndani ya CCM hakuna hata mmoja anaye simama kumtetea au kumsemea.
Hawa ni kondoo kweli kweli!
 
Reforms na Rebuilding ya mama Samia si mchezo. Moiozowea kuishi kimazowea mtakuja na kila hoja ya kijinga.

Majaliwa niliwahi kuandika uzi kuhusu yeye siku nyingi sana.

Binafsi, bilankutafuna maneno namuona Kassim Majaliwa Majaliwa kuwa ni mnafik na ameshindwa kabisa yake.

Haiwezekani Halmashauri zote na idara zote nyeti zilizochini yake ziwe na madudu nanyupo hapo kwa miaka.

Majaliwa anaufahamu wizi wote unaoendelea serikalini na anaufumbia macho au kwa makusudi, usaliti, au kwa kuwabhayupo "competent".


Madudu yanayoongeleqa bungeni ilikuwa inataiiwa Majaliwa awachie ngazi yeye mwenyewe kabla hajaambiwa na mtu.

Dudu moja tu lilimfanya Lowassa awachue ngazi.

Yeye, wizqra zake zina madudu kila namna, kwa ufupi mlMajaliwa kazi imemshinda.
Ata akitoa taarifa sehemu husika,bila utayari wa mfumo kuchukua hatua basi ni kazi bure
 
Reforms na Rebuilding ya mama Samia si mchezo. Moiozowea kuishi kimazowea mtakuja na kila hoja ya kijinga.

Majaliwa niliwahi kuandika uzi kuhusu yeye siku nyingi sana.

Binafsi, bilankutafuna maneno namuona Kassim Majaliwa Majaliwa kuwa ni mnafik na ameshindwa kabisa yake.

Haiwezekani Halmashauri zote na idara zote nyeti zilizochini yake ziwe na madudu nanyupo hapo kwa miaka.

Majaliwa anaufahamu wizi wote unaoendelea serikalini na anaufumbia macho au kwa makusudi, usaliti, au kwa kuwabhayupo "competent".


Madudu yanayoongeleqa bungeni ilikuwa inataiiwa Majaliwa awachie ngazi yeye mwenyewe kabla hajaambiwa na mtu.

Dudu moja tu lilimfanya Lowassa awachue ngazi.

Yeye, wizqra zake zina madudu kila namna, kwa ufupi mlMajaliwa kazi imemshinda.
Wizara Gan yenye madudu ipo Ofisi ya Waziri Mkuu?

Faiza bana
 
Akifanikiwa kumungoa tu, kitakachofuata ni zamu yake na yeye kungolewa ili na yeye ayapate machungu ya kuwangoa wenzake...
Msimamo wa uchaguzi 2025 kukiwa na Tume huru ya uchaguzi ndio kutamfanya Samia ajue Rungu ni nani na alipatwa na nini kwenye uchaguzi Zambia.
Atakutana na ubao ukisema;
*Mgombea ACT Wazalendo: 4.8%
*mgombea NCCR 2.08%
*Mgombea CCM 39.8%
*Mgombea Chadema 52.01%
*Wengineo wote 2.2%.
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa naibu waziri mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Hiyo ni siri ya wazi ... maandishi yako ukutani. "The writing is on the wall'
 
Hata mimi naona, kwa kuzingatia ripoti ya CAG ingekuwa heri kabla maazimio hayajafikiwa atumie kichaka hicho kuachia ngazi yeye mwenyewe.

Ajipange kwa wakati mwingine tukiwnza kuwa serious na fedha za umma. Alinde heshima yake kabla hajaangushiwa jumba bovu.
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Kwa hivyo mama anatengenezs njia kutoa ccm madarakani. Pale mwanzo akihojiwa na chombo kimoja cha huko ubeberuni alijidai yeye analeta demokrasia hatajali hata ccm ikipoteza uchaguzi. Hii ni lugha wanapenda mabeberu kusikia. Asichojua mama ni kwamba demokrasia yetu kwa mabeberu ni kuwapa mwanya kuendelea kututawala kiuchumi. Watanzania wameshajua viongozi wanaowataka. Kama mama anajitengenezea njia kupitia ccm ajue ccm itatoshwa madarakani.
 
Reforms na Rebuilding ya mama Samia si mchezo. Moiozowea kuishi kimazowea mtakuja na kila hoja ya kijinga.

Majaliwa niliwahi kuandika uzi kuhusu yeye siku nyingi sana.

Binafsi, bilankutafuna maneno namuona Kassim Majaliwa Majaliwa kuwa ni mnafik na ameshindwa kabisa yake.

Haiwezekani Halmashauri zote na idara zote nyeti zilizochini yake ziwe na madudu nanyupo hapo kwa miaka.

Majaliwa anaufahamu wizi wote unaoendelea serikalini na anaufumbia macho au kwa makusudi, usaliti, au kwa kuwabhayupo "competent".


Madudu yanayoongeleqa bungeni ilikuwa inataiiwa Majaliwa awachie ngazi yeye mwenyewe kabla hajaambiwa na mtu.

Dudu moja tu lilimfanya Lowassa awachue ngazi.

Yeye, wizqra zake zina madudu kila namna, kwa ufupi mlMajaliwa kazi imemshinda.
Wewe empty kabisa. Lowasa alitolewa kafara na JK Kwa ahadi za uongo.
 
Back
Top Bottom