Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Asiyetakiwa ni Waziri Mkuu Majaliwa, kila kitu kimepangwa, ajiandae kuachia ngazi

Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Kwani hakuna wizi mkuu?
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
🤔🤔🤭 Makubwa
It make sense

Jus thinking aloud....
Sa mbona bashite km sio team hii?
 
Kalemani takataka kwako ksbb labda ya malengo yako. Lakini kwa masikini alikuwa bonge la mtu kwa Tanesco.

Kipindi chake tu ndio umeme ulishaanza kuwa historia kukatwa. Ameondoka tu upigaji wa akina February ukarudi kwa kasi. Kipindi cha Kalemani tu kuunganishiwa umeme ilikuwa ni elfu 27000 tu. Haijawahi kutokea kwa yoyote,hata walivyomtoa wakapeleka kwenye laki 4 kasoro,na hawakuwa na sababu zaidi ya kusema haiwezekani. Yeye akawajibu inawezekana kulipia 27000 tu na kila kitu kikawa sawa.

Maana yake hata hizi laki 4 kasoro hazina tija ksbb wangesema laki 4 na umeme unakuwa sawa,lakini ndio umerudi enzi ambazo hatujawahi kuzipitia.

Fikiria Magu alimtoa lakini akamrudisha tena.
Kale alikuwa anapigwa figisu na wapigaji aliwazuia kujipigia. Ndio maana walivyoingia tu wao wakamchomoa na upigaji ukarudi
Aisee hivi kwann tusijikite kwenye solar tu?
Umeme ni kero
 
Kupitizia thread kama hizi mnazidi kumtia pressure mzee wa watu. Mtafanya mpaka superblack idunde, mvi zionekane.

Kama ana kamati yake ya ufundi wa jadi itakuwa inapiga pesa ndefu kwa sasa.
Baba yake na mume wa Da Zamaradi si ndio nasikia ni mganga wake[emoji2]
 
Reforms na Rebuilding ya mama Samia si mchezo. Moiozowea kuishi kimazowea mtakuja na kila hoja ya kijinga.

Majaliwa niliwahi kuandika uzi kuhusu yeye siku nyingi sana.

Binafsi, bilankutafuna maneno namuona Kassim Majaliwa Majaliwa kuwa ni mnafik na ameshindwa kabisa yake.

Haiwezekani Halmashauri zote na idara zote nyeti zilizochini yake ziwe na madudu nanyupo hapo kwa miaka.

Majaliwa anaufahamu wizi wote unaoendelea serikalini na anaufumbia macho au kwa makusudi, usaliti, au kwa kuwabhayupo "competent".


Madudu yanayoongeleqa bungeni ilikuwa inataiiwa Majaliwa awachie ngazi yeye mwenyewe kabla hajaambiwa na mtu.

Dudu moja tu lilimfanya Lowassa awachue ngazi.

Yeye, wizqra zake zina madudu kila namna, kwa ufupi mlMajaliwa kazi imemshinda.
Siamini kwamba ndio wewe umeandika hivi,huu mwandiko sio wako kabisa, mbona umechapia hivyo au ndio umeandika kwa mhemko
 
Kupitizia thread kama hizi mnazidi kumtia pressure mzee wa watu. Mtafanya mpaka superblack idunde, mvi zionekane.

Kama ana kamati yake ya ufundi wa jadi itakuwa inapiga pesa ndefu kwa sasa.
Jamaa sijui atapaka super black mpaka lini...hizi ni dalili za mtu mwenye akili ndogo! Characterized by kutojiamini,Unyonge,undumilakuwili,woga ,uchawa nk
 
Wewe empty kabisa. Lowasa alitolewa kafara na JK Kwa ahadi za uongo.
Wewe amini unavyoamini, labda una habari ambazo hazikuwepo bungeni. Bungeni tuliona ripoti ya Mwakyembe ndiyo ilimfanya aachie ngazi.

Sasa hii leo ni ripoti ya CAG, hakuna halamshauri ambayo haina dosari, kwa miaka yote yeye ndiye mkuu wa halmashauri zote. Kassim anangoja nini?
 
Ningekua rais ningefuta vyeo vingine vyote sijui waziri mkuu,makamu wa raisi,dc,das,Ras vyote futilia mbali, mawaziri wangekua 20 tu na hao hao wangekua wabunge,,, hizo hela zingeenda kufanya maendeleo mingine sio kujaza watu hata wanavyofanya havionekani,,
 
Reforms na Rebuilding ya mama Samia si mchezo. Moiozowea kuishi kimazowea mtakuja na kila hoja ya kijinga.

Majaliwa niliwahi kuandika uzi kuhusu yeye siku nyingi sana.

Binafsi, bilankutafuna maneno namuona Kassim Majaliwa Majaliwa kuwa ni mnafik na ameshindwa kabisa yake.

Haiwezekani Halmashauri zote na idara zote nyeti zilizochini yake ziwe na madudu nanyupo hapo kwa miaka.

Majaliwa anaufahamu wizi wote unaoendelea serikalini na anaufumbia macho au kwa makusudi, usaliti, au kwa kuwabhayupo "competent".


Madudu yanayoongeleqa bungeni ilikuwa inataiiwa Majaliwa awachie ngazi yeye mwenyewe kabla hajaambiwa na mtu.

Dudu moja tu lilimfanya Lowassa awachue ngazi.

Yeye, wizqra zake zina madudu kila namna, kwa ufupi mlMajaliwa kazi imemshinda.
Hapa iko sababu! Yaani Faiza ampige vijembe Mujahideen mwenzake? Sio bure labda Majaliwa ana kamchanganyiko na upande wa pili. Maana faiza hata kumuonyesha punda na kumwambia huyo ni mwenzetu katika imani hatajali kuwa ni punda atamtetea tuu
 
Hapa iko sababu! Yaani Faiza ampige vijembe Mujahideen mwenzake? Sio bure labda Majaliwa ana kamchanganyiko na upande wa pili. Maana faiza hata kumuonyesha punda na kumwambia huyo ni mwenzetu katika imani hatajali kuwa ni punda atamtetea tuu
Huyo mke wake ni upande wa pili ... ndio maana mujahd wanaona sio conco...
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakund7a kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
Ndugu tanganyika fc,unahakikaaa?
 
Teuzi ya Doto Biteko kuwa Naibu Waziri Mkuu, teuzi ya Makonda kuwa msemaji wa CCM na blah blah za wabunge kuicharukia serikali ni mpango kamili na kabambe katika kutengeneza njia ya kumng'oa Kassim Majaliwa kwenye nafasi ya waziri mkuu. Kila kitu kwa 100% kimepangwa na kinachoendelea ni utelekezaji tu. Ni ama aachie ngazi kabla ya mwaka huu kwisha au wakati wowote mwakani.

Hakuna kipya au kitu cha ajabu, aliyebakia na asiyetakiwa ni Majaliwa tu. Magufuli alishatolewa, Ndugai alishatolewa, Lukuvi alishatolewa, Kabudi alishatolewa, Bashiru alishatolewa nk. hakuna kilichobakia wote wameshakwenda, bado Majaliwa tu, na safari yake ya kutolewa kwa 90% imeshaiva, ajiandae kukaa benchi.
we kalale uwezo wako ni mdogo sana
 
Back
Top Bottom