Asiyoyajua Yericko Nyerere katika utafiti wa historia ya Mapinduzi ya Zanzibar

[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji15] [emoji16] [emoji15] eti ngano za kariakoooo.mkulima wa bamia mbutu naona na wewe umemlipukia kama alivyokulipukia.

Mkuu ,mtapokutana na kula hivyo vibansi,usisahau kupiga nae ka picha ka ukumbusho[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125]
 
Mzee naona alighagilika hapo
Mwanadome,
Pitia kwenye post zangu zote lugha yangu ni ile ile
sijawahi kupata ''ban,'' hapa kwa ajili ya lugha mbovu.

Sina sababu ya kukasirika na kutoa matusi hili somo
mimi nalijua.

Nimetafiti na kuandika kitabu kizima sasa kipo mwaka
wa 20.

Tuko tunakwenda toleo la tatu Kiingereza na Kiswahili
toleo la nne.

Kitabu kimekuwa mashuhuri sana na lazima nikiri kuwa
JF imesaidia sana kukitangaza kitabu changu.



 
Mzee Said tunaomba utujazie majina hiyo cabinet ya kwanza ya Tanganyika
 
Ashy...
Kitabu cha Sykes niliandika kwa Kiingereza kikachapwa London 1998.

Tafsiri ya Kiswahili ikachapwa Nairobi 2002.

Sasa huyo profesa atasema nini katika hali kama hii?
 
[emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16] [emoji16]
 
Mzee Mohamed nikimuangalia naona kamani mtu anaejielewa lakini nikimkazia macho anabadilika tena, kama mzee flani mjuaji asiyekubali kwamba kapitwa maarifa na yupo tayari kuleta ubishi wa barazani au chini wa mwembe alimradi aonekane nae anajua vitu vingi zaidi ya alivyokwisha eleza hapo awali ila tu hakutaka kusema vyote.

Mzee anamwambia Yericko "USINITAJE" hahahhaa. Sasa mwandishi ataachaje kukutaja ilhali wewe ulijinasibu ni mwanazuoni na ukatoa machapisho ya somo husika kabla? Nyerere hajakutaja kwa kujipendekeza, ispokua ni kwasababu na wewe ulijitia kujua hayo masuala kabla hajaandika. Hivo ni lazima akujate iwe ni kwa kukukosoa, kukurekebisha, kukushadidia au kukukalipia.
 
Mzeee kama unakili kua huja kisoma hicho kitabu sasa shida ni nini?
 
Nimeshangazwa sana na mzee kukili kua hajakisoma kitabu.
 
Heheee umemwambia vema mkuu, huyu mzee ana matatizo makubwa, nahisi ana matatizo ya kiakili japo anaweza kujidhania ni mzima... Ni mwaka wa tano sasa tunajadiliana mambo haya haya kwa mwendo huuhuu wa mzee Said
 
Heheee umemwambia vema mkuu, huyu mzee ana matatizo makubwa, nahisi ana matatizo ya kiakili japo anaweza kujidhania ni mzima... Ni mwaka wa tano sasa tunajadiliana mambo haya haya kwa mwendo huuhuu wa mzee Said
Hua ni mtu wa kutoka sana kwenye key. Mwaka 2016 niliangalia mahojiano yake Azam Tv siku ya Mapinduzi, mzee badala ya kuzungumzia mapinduzi...kaenda na vitu vyake kichwani anatokwa povu ovyo, mara anasema wanachama wamebeba bango la kibaguzi; haeleweki. Anakaa kwenye Tv anaongea vitu disorganized kama yupo kwenye kijiwe cha kahawa.

Tatizo anajifanya anajua vitu vingi sana kuhusu historia ya Zanzibar wakati mie namuona ni mtu mweupe, anaejuajua tu. Ye akitaja majina ya wazee wa Zanzibar bas anaona kama na yeye ni muasisi wa mapinduzi. Na udini unamsumbua, anajaribu kupropagate sana dini anayoitaka ionekane ndio imeikomboa Zanzibar na Tanganyika
 
Unachompinga huyu Mzee ndicho unacho kifanya ww hvyo naona kinachoendelea hapa n majibizano tu ya wewe kumtetea yeriko na mzee kuendelea kupigilia msumari makosa yalipo ktk kitabu Cha yeriko,

Ushauri wangu km unataka kujua mengi kwa huyu Mzee punguza kauli zetu za vijiweni pia na masimango kwa Mzee nadhani atakuelewa
 
Upo sahihi sheikh wngu ukweli upo wazi hayo ndio matatizo ya watt wa njee ya ndoa msamehe ila majibu tayari nimepata ndio maana vijana wenzao wa lumumba wanawaita nyumbu nafikiri wapo sahihi kwa ilo pia hichi alichokionyesha Yericko majibu nmepata tayari...
 
Weka kitabu hapa au hayo maandishi hapa km anavyofanya mzee Mohamed Said hapa...
Umesikia kitabu cha Yericko Nyerere anagawa bure? Kitabu kimetoka juzi tu unataka uwekewe hapa!!

Tusipende mteremko namna hii.
Kanunue kitabu ili mwandishi apate mavuno ya kazi yake ngumu.
 
Umesikia kitabu cha Yericko Nyerere anagawa bure? Kitabu kimetoka juzi tu unataka uwekewe hapa!!

Tusipende mteremko namna hii.
Kanunue kitabu ili mwandishi apate mavuno ya kazi yake ngumu.
Kwa ss nipo njee ya nchi wakt nipo hapo nmenunua kitabu toka kwake maana ni moja ya sterehe zangu kusoma ww vp unacho japo kimoja...
 
Kuondoa utata tuandikie wewe hiyo historia na sisi hatutamkosoa yericko la hasha ss tutaona kwamba umetuelimisha zaidi na zaidi maana yy yericko amejaribu ila ww kama yako itakuwa nzuri zaidi basi ww ndo tutakuita mashindi kwa kutuandikia historia nzuri ya MAPINDUZI YA ZANZIBAR kwa manufaa ya kizazi hiki na kile kijacho na sii klalamika tuu kila uchao
 
Hilo ndio tatizo lake, Mzee Mohamed ni mwanahistoria mzuri na ninaheshimu sana uwezo wake japo yeye binafsi simheshimu sana zaidi ya kumuona mnafiki na mzandiki tu...
 
Kwa ss nipo njee ya nchi wakt nipo hapo nmenunua kitabu toka kwake maana ni moja ya sterehe zangu kusoma ww vp unacho japo kimoja...
Mkuu hiki ulichonunua kilikuwa majaribio tu ya soko, kitabu halisi kinakura 715.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…