Askari aliyekataa Rushwa na Milioni 10, ashushwa cheo, ni baada ya kukataa kwenda kozi

Askari aliyekataa Rushwa na Milioni 10, ashushwa cheo, ni baada ya kukataa kwenda kozi

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760
Salaam Wakuu,

Askari Meshack Samson aliyekataa Rushwa ya Mil 10, ameshushwa cho baada ya kukataa kwenda Kozi baada ya kupandishwa cheo.
IMG-20211223-WA0010.jpg
IMG-20211223-WA0011.jpg

 
Tuzo gani hiyo sasa yenye mashart hivyo. Nayo ni rushwa na ubabaishaji kama ndivyo.
Hongera sana afande kwa kujisimamia.
JESHI LA POLISI ANGALIENI MOTISHO ZINGINE SIO LAZIMA CHEO TU.
 
Ukishapandishwa hakuna kozi tena, wanaokwenda kozi ndio wanafanya kozi ukihitimu unapandishwa cheo.

Huyo Polisi kuwagomea yuko sahihi, yani upewe Degree halafu ndio uanze kusoma uliwahi kuona wapi?
Hauko sahihi,majeshini ni tofauti, kama ulipandishwa cheo pasipokwenda kozi,basi ikitokea chance ya wenzako kwenda hiyo kozi basi ni lazima nawe uhudhurie mafunzo stahiki.
 
Ukishapandishwa hakuna kozi tena, wanaokwenda kozi ndio wanafanya kozi ukihitimu unapandishwa cheo.

Huyo Polisi kuwagomea yuko sahihi, yani upewe Degree halafu ndio uanze kusoma uliwahi kuona wapi?
Yaani Musukuma akasomee PhD hii sio sawa
 
Kwa hyo hapo topic NI kukataa rushwa ya milioni 10.?
Apambane na Hali yake
 
Kwani hao wakuu wanapopandishwa vyeo huwa wanaenda tena coz?
Ukishavuka kozi ya GO kupanda cheo sio mpaka uende kozi tena,kwa police GO ndiyo cheo cha mwisho kuhudhuria trainings.
 
Back
Top Bottom