mwandende
JF-Expert Member
- Feb 16, 2017
- 11,005
- 20,805
Haiingii akilini .Ukweli ni kwamba, alipopandishwa cheo...alipewa post ya kwenda kusoma aendane na cheo akagoma...ni hivyo tu na si lingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haiingii akilini .Ukweli ni kwamba, alipopandishwa cheo...alipewa post ya kwenda kusoma aendane na cheo akagoma...ni hivyo tu na si lingine
Kwanini agome kwenda kozi.Huyu alipopandishwa cheo akatakiwa aende kozi kama ilivyo utaratibu wa jeshi akagoma akavuliwa cheo alichopewa
Inawezekana ni Unfit akaona cha kufear nini kama ndo huo userge chukueniKwanini agome kwenda kozi.
Kuna lingine hapo sema wewe ulioni.Ukweli ni kwamba, alipopandishwa cheo...alipewa post ya kwenda kusoma aendane na cheo akagoma...ni hivyo tu na si lingine
Hapo kuna jambo lingine; kama mfumo umeoza ni uozo tuu. Tungemuuliza muhusika angesema mfano wamampeleka kona flani ili wakamchinje vizuri kwa alichokifanya.Kwanini agome kwenda kozi.
HahahaHabari ndo hiyo..View attachment 2884564