uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Salaam Wakuu,
Askari Meshack Samson aliyekataa Rushwa ya Mil 10, ameshushwa cho baada ya kukataa kwenda Kozi baada ya kupandishwa cheo.
View attachment 2054803View attachment 2054804
View attachment 2054805
Kwa HIYO mlipa cheo wakati hastahili? ana haki ya kukataa kozi, ni ndoa tu pekee ambayo unapata cheo kabla ya cheti ndo uanze training: #UBABAISHAJI.......................