Askari aliyekataa Rushwa na Milioni 10, ashushwa cheo, ni baada ya kukataa kwenda kozi

Askari aliyekataa Rushwa na Milioni 10, ashushwa cheo, ni baada ya kukataa kwenda kozi

Tuzo gani hiyo sasa yenye mashart hivyo. Nayo ni rushwa na ubabaishaji kama ndivyo.
Hongera sana afande kwa kujisimamia.
JESHI LA POLISI ANGALIENI MOTISHO ZINGINE SIO LAZIMA CHEO TU.
Ni utaratibu,askari ukimpa cheo lazima aende kwenye mafunzo kujua majukumu ya hiko cheo,wewe unadhan motisha gani nyingine itafaa?
 
eti ijp badala ya IGP, press release za polisi zote zina kasoro.jamaa nae kazingua ameshindwa kufake hta ugonjwa aseme anaumwa
IJP ni sawa mkuu tusilete ujuaji kwenye hata mambo yaliyo nje ya taaluma zetu. Barua imeandikwa kwa lugha ya kiswahili, IGP ni English
IJP = Inspekta Jenerali wa Polisi
 
Kiswahili cha IGP (Inspector General of Police) sio IJP (Inspekta Jenerali wa Polisi).
Kiswahili chake ni Mkuu wa Jeshi la Polisi (MJP)
Kiswahili gani hicho? Inspector General maana yake Mkuu wa Jeshi?

Na hivyo neno Inspector maana yake iwe Mkuu, neno General maana yake iwe Jeshi
 
Ukishapandishwa hakuna kozi tena, wanaokwenda kozi ndio wanafanya kozi ukihitimu unapandishwa cheo. Huyo Polisi kuwagomea yuko sahihi, yani upewe Degree halafu ndio uanze kusoma uliwahi kuona wapi?
Ukishapandishwa hakuna kozi tena, wanaokwenda kozi ndio wanafanya kozi ukihitimu unapandishwa cheo.

Huyo Polisi kuwagomea yuko sahihi, yani upewe Degree halafu ndio uanze kusoma uliwahi kuona wapi?
Unaongea vitu gani wewe? Unachoongea ndio utatatibu ulivyo au ndio unachokijua? Kusoma ni lazims hata ukiwa na degree kwenye kazi Kuna short kozi kwaajili ya kuongeza ufanisi kwenye kazi husika.
 
Poti kazingua alafu polisi kuna bush lawyer wengi sana sasa majukumu ya icho cheo angeyajuaje kama si kwenda kusomea yeye angeendelea kufurahia mshahara mpya alioupata kabla ya wenzake au aliona miezi miwili mingi anapishana na hela kijiweni
 
eti ijp badala ya IGP, press release za polisi zote zina kasoro.jamaa nae kazingua ameshindwa kufake hta ugonjwa aseme anaumwa
Jamaa angu kabla ya kukurupuka kukosoa au kusapoti jambo jaribu kujiridhisha kwanza!
Hiyo abbreviation haina mapungufu kabisa, IJP maana yake ni INSPEKTA JENERALI WA POLISI, kiingereza chake ndiyo IGP yaani Inspector General of Police!

NI hayo tu!
 
Kiswahili cha IGP (Inspector General of Police) sio IJP (Inspekta Jenerali wa Polisi).
Kiswahili chake ni Mkuu wa Jeshi la Polisi (MJP)
Kuna kitu kinaitwa kutohoa maneno unafahamu hiyo kitu?

Basi kama haujui jifunze kama Inspekta ni neno sahihi au lah?
 
Jamaa angu kabla ya kukurupuka kukosoa au kusapoti jambo jaribu kujiridhisha kwanza!
Hiyo abbreviation haina mapungufu kabisa, IJP maana yake ni INSPEKTA JENERALI WA POLISI, kiingereza chake ndiyo IGP yaani Inspector General of Police!

NI hayo tu!
Mkuu, sijawahi kusikia wala kuona hiyo IJP ikitumika sehemu yeyote hapa nchini ndio maana nime hoji Mkuu, mimi piko huko huko hivo nafahamu sijakurupuka
ingekua inakubalika hiyo IJP tungeshakuwa tumeitumia,hili ni jeshi huwez jiundia tu hyo abreviation uitumie,kila kitu cha jeshi kipo kwenye muongozo
 
IJP ni sawa mkuu tusilete ujuaji kwenye hata mambo yaliyo nje ya taaluma zetu. Barua imeandikwa kwa lugha ya kiswahili, IGP ni English
IJP = Inspekta Jenerali wa Polisi
mkuu kwanini umehitimisha mimi sio taaluma yangu ? mimi ni askari
 
Mkuu, sijawahi kusikia wala kuona hiyo IJP ikitumika sehemu yeyote hapa nchini ndio maana nime hoji Mkuu, mimi piko huko huko hivo nafahamu sijakurupuka
ingekua inakubalika hiyo IJP tungeshakuwa tumeitumia,hili ni jeshi huwez jiundia tu hyo abreviation uitumie,kila kitu cha jeshi kipo kwenye muongozo
Kipo kwenye PGO...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NI sahihi lakini icho sio cheo kipya, bila shaka jama ametohoa tu maneno yenye maana sawa sawa na yaliyomo kwenye PGO
 
Kipo kwenye PGO...[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
NI sahihi lakini icho sio cheo kipya, bila shaka jama ametohoa tu maneno yenye maana sawa sawa na yaliyomo kwenye PGO
ndio sisi hufuata PGO ,kutohoa ni kwa wandishi wa habari Boss
 
ndio sisi hufuata PGO ,kutohoa ni kwa wandishi wa habari Boss
Sawa sawa, ila kwenye ukamataji nasikia mkiulizwa habari za PGO mnakuwa wakali kweli kweli [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Mnawagonga virungu vibaya mnooo wanaojifanya kujua hiyo kitu..
 
eti ijp badala ya IGP, press release za polisi zote zina kasoro.jamaa nae kazingua ameshindwa kufake hta ugonjwa aseme anaumwa
Mkuu, taarifa iko sahihi maana hii ni taarifa ya Kiswahili. IJP ni Inspekta Jenerali wa Polisi.

Vv
 
Kiswahili cha IGP (Inspector General of Police) sio IJP (Inspekta Jenerali wa Polisi).
Kiswahili chake ni Mkuu wa Jeshi la Polisi (MJP)
Kuna cheo na Madaraka kule.
unaweza kuwa inspekta jenerali wa Polisi ila usiwe Mkuu wa jeshi la Polisi(Chief of Police Force)
Kuna kipindi Rais alimteua Inspekta Jenerali wa Polisi kuwa Balozi kwakuwa hakuwa amestafu aliendelea kusomeka IGP MANGU kisha akumpandisha Simori Siro kuwa Inspekta Jenerali wa Polisi na kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi. kule kwa Mapolisi Kuna Cheo IGP na Kuna Madaraka Madaraka yanaitwa CPF yaani Mkuu wa Jeshi la Polisi.
 
Kuna cheo na Madaraka kule.
unaweza kuwa inspekta jenerali wa Polisi ila usiwe Mkuu wa jeshi la Polisi(Chief of Police Force)
Kuna kipindi Rais alimteua Inspekta Jenerali wa Polisi kuwa Balozi kwakuwa hakuwa amestafu aliendelea kusomeka IGP MANGU kisha akumpandisha Simori Siro kuwa Inspekta Jenerali wa Polisi na kuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi. kule kwa Mapolisi Kuna Cheo IGP na Kuna Madaraka Madaraka yanaitwa CPF yaani Mkuu wa Jeshi la Polisi.
mkuu, mangu alitambulika kama IGP mstaafu mara tu ya kuondolewa pale,
 
yote kwa yote jamaa soon wanamla kichwa, maana amepewa onyo kali tena na Boss wake
 
Back
Top Bottom