Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 3,984
- 13,760
ni kosa kubwa amefanya au alilewa sifa maana kila cheo huwa ni lazima upewe mafunzoKutokana na utovu huu wa nidhamu.Nadhani alikataa rushwa kwa bahati mbaya.Japo wenyewe wanajua kiundani.
Inspekta Jenerali wa Polisi.Ijp ndio Kiswahili cha IGP???
Hauko sahihi,majeshini ni tofauti, kama ulipandishwa cheo pasipokwenda kozi,basi ikitokea chance ya wenzako kwenda hiyo kozi basi ni lazima nawe uhudhurie mafunzo stahiki.Ukishapandishwa hakuna kozi tena, wanaokwenda kozi ndio wanafanya kozi ukihitimu unapandishwa cheo.
Huyo Polisi kuwagomea yuko sahihi, yani upewe Degree halafu ndio uanze kusoma uliwahi kuona wapi?
Bush lawyers wamemshauri jamaa vibaya.ni kosa kubwa amefanya au alilewa sifa maana kila cheo huwa ni lazima upewe mafunzo
Yaani Musukuma akasomee PhD hii sio sawaUkishapandishwa hakuna kozi tena, wanaokwenda kozi ndio wanafanya kozi ukihitimu unapandishwa cheo.
Huyo Polisi kuwagomea yuko sahihi, yani upewe Degree halafu ndio uanze kusoma uliwahi kuona wapi?
Hapana….Kiswahili cha IGP (Inspector General of Police) sio IJP (Inspekta Jenerali wa Polisi).
Kiswahili chake ni Mkuu wa Jeshi la Polisi (MJP)
Ukishavuka kozi ya GO kupanda cheo sio mpaka uende kozi tena,kwa police GO ndiyo cheo cha mwisho kuhudhuria trainings.Kwani hao wakuu wanapopandishwa vyeo huwa wanaenda tena coz?