Shida ya SUMA JKT NI moja tu Kama shida iliyopo kwa majobless wengi, Dreams are Just like Water vapours, Unaandaliwa kuwa mtu Fulani wa kuheshimika na kutetemekewa ghafla bin vuu unapelekwa kwa vitoto vya farao full madharau, havina heshima no nidhamu , Full madaha eti ukavisimamie , mbona lazima Ujute changanya na mshahara mdogo Maisha hayaeendi mbona lazima upate Mental Breakdown ya kuanza kugombana nao na kuhisi wanakudharau hawakupi Heshima Yako
NB, SUMA JKT, mpunguze makasiriko kushindwa kuwa Bakabaka, FFU, USALAMA, au Askari polisi ni Hali ya kawaida tu katika Maisha , Tuishi.tu