Askari aliyempiga mwanafunzi wa IAA asimamishwa kazi, SUMA JKT kufidia gharama za matibabu

Huyo dent atakuwa alimdhihaki huyo mjeda kuwa ni divisheni ziro mjeda akapandisha mori
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]hii comment imenichekesha sana jinsi ulivyojiongeza,ila kuna kaukweli fulani hivi si unajua watoto wa chuo nyodo zao
 
Sisi suma jkt tuna stress za maisha baada ya ndoto zetu za kuwa askari wa TPDF kufeli......jamaa wa ikulu uliyenitapeli hela zangu na hukunipeleka MSATA nitakuloga kwa kweli
 
Hivi wana lipwa mshahara kiasi gani kwa mwezi hawa Suma Jkt
Pili, wana lipwa mshahara au posho
Je wanapata stahiki zao vizuri
 
Huyo dent atakuwa alimdhihaki huyo mjeda kuwa ni divisheni ziro mjeda akapandisha mori
Kwani ni uongo ?
Suma jkt wengi ni small mind
Wanapenda mamlaka saana na kuingilia majukumu ambayo sio yao

Kuna sehemu nilikuwa nafanya kazi then nikaenda kusoma time nipo masomoni mamlaka niliyokuwa nafanya kazi ikaingia mkataba na suma sasa askari walioletwa pale wakawa wanafanya majukumu mpaka ya ukalani hapa walikuwa wanaomba Saana hela (Kula rushwa) then wanaacha mizigo inaingia na kutoka

Nilivyofika nikawawekea kauzibe kufanya majukumu ambayo sio yao wakanichukia mpaka wa leo
 
Fact mkuuu kuna siku nilifika mahali nikaambiwa kuangia chuo mwisho sa NNE usiku,siku iyo sikuwalaumu wale jamaa sababu ile sharia hawakuitunga wao chuo ndo kilicho weka wao n wasimizi tu wa izo sharia zilizo wekwa na taasisi usika.
 
Hakika ndugu yangu.....

Sisi wahangaikaji huwa tunayaona mengi sana sehemu mbali mbali......hasa kwenye maeneo ya umma.....sio Siri ni aghalabu sana kumkuta mTanzania mwenye wadhfa au nafasi akamthamini mtu wa chini...hasa hawa ndugu zetu waliojaaliwa kufuta ujinga.......

Katika hatakati zangu nimeingia kwenye maofisi mengi na nimepita mageti mengi sana na kukutana walinzi wa kila aina na sijawahi kukumbana na kadhia yoyote Kwa kuwa nafuata utaratibu wa sehemu husika na kuwaheshimu wenzangu kwenye nafasi zao.......

Labda tu nikiri wazi kuwa Kwa uzoefu wangu kazi ya ulinzi hasa kwenye maeneo ya taasisi au vyuo inahitajika uvumilivu mkubwa mkubwa ili uondokane na kesi na mabalaa maana kuna watu wanadharau mpaka unajiuliza huyu mtu na yeye anavuta pumzi hii hii au ana pumzi yake......

Sote tunatafuta ridhiki kila mmoja kwa nafasi yake....tuheshimiane ili tuendelee kudumu katika mshikamano na upendo....sisi waja hatuijui kesho yetu......
 
Kusuka hata mimi nashangaa kwakweli maana ndio utamaduni wetu watanzania na waafrika kwamba mwanamke anasuka lakini habari ya suruali nakushangaa wewe unaouliza kwanini wanawake wazuiwe kuvaa
 
JKT haandaliwi kuwa polisi, mwanajeshi au vyovyote vile, ndo maana akiomba kazi jeshi lolote anaanza mafunzo upya sawa na mowingine yeyote aliyetoka mtaani, hawa hupewa skills za kawaida tu na kufundishwa matumizi ya silaha
 
Nimesoma comments takribani mpaka 40 wote wanamsema askari na Suma JKT. Acheni roho mbaya mbona hamsemi kuhusu huyo aliyepigwa au yeye ametakasika hawezi kuwa amemkosea kijana wa watu?

Nasimama upande wa askari
 
Hata viongozi nao wote wamekurupuka... yaani wamechukua sheria kwa upande mmoja tu wa askari, vipi kuhusu mdada mwenyewe mnasemaje?
 
Kusuka hata mimi nashangaa kwakweli maana ndio utamaduni wetu watanzania na waafrika kwamba mwanamke anasuka lakini habari ya suruali nakushangaa wewe unaouliza kwanini wanawake wazuiwe kuvaa

Kwa nini wazuiliwe
 
Hizi makitu zimeanza lini,mbona in 2001 hakukuwaga na kuonyesha ID ni geti ilikuwa moja tu ile ya kubwa ya bada ya kanisani,na hostel zilikuwa mbili tu new hostel na old hostel,na lami ilikuwa inaishia pale relini(general tyre),kumbe nimekuwa mhenga soon ntazuru hapo nione hizo makitu ya kuonyesha IDs
 
Basi umemaliza kitambo sana Njiro sa hivi pameendelea sana ni lami kote na mageti chuoni yameongezwa na majengo yameongezwa chuoni na taratibu kibao simple tu
 

1: ata dera linaonesha maumbo yao. Ata suruali za kitambaa zinaonesha maumbo yao. Pia sketi na suti za kike zinaonesha maumbo yao. Kutamani ni hulka ya kila kiumbe

2. Wala haileti tabu mwanamke atatambulika ata si kwa mavazi sura inatosha kutambua. Kama mwanamke akivaa suruali ya jeans unashindwa tofautisha na mwanaume utakua na kasoro.

3. Utamaduni wetu ni upi maana historia inasema sisi tulikua tunavaa nguo kutokana na majani na magome ya mti
 
Hivi wana lipwa mshahara kiasi gani kwa mwezi hawa Suma Jkt
Pili, wana lipwa mshahara au posho
Je wanapata stahiki zao vizuri
Hawana posho
Mishahara ni laki 3 huwa wanaombea wapangwe sehemu zenye ulaji kama
Port
Hospital
TRA ofisi
Misitu
Nk
 
Hao SumaJkt huwa wanahisi wao na DVC cheo chao ni kimoja 😀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…