Askari DEREK CHAUVIN akutwa na hatia ya mauaji ya George Floyd

Waafrika hasa hao ( Wamarekani Weusi ) hawajaanza Kuuwawa ( Kuuliwa ) Kinyama na Wazungu ( Wamarekani ) Leo na Sisi huku tukifurahia hii Hukumu ni Kazi bure na wataendelea tu Kuwauwa...
Lakini kwa history ya USA, hii ni hatua kubwa sana kuwahi kutokea, ni mwanzo mzuri!!kwani kila mzungu atakaye fanya hivyo ajue kuwa haki itatendeka , tofauti na zamani hakuna hatua kali inayochukuliwa dhidi yake.lazima achezee si chini ya miaka 40 jela.
 
Waafrika hasa hao ( Wamarekani Weusi ) hawajaanza Kuuwawa ( Kuuliwa ) Kinyama na Wazungu ( Wamarekani ) Leo na Sisi huku tukifurahia hii Hukumu ni Kazi bure na wataendelea tu Kuwauwa....
toa wazo ....tunatokaje hapa tulipo........comment yako imejaa ushupavu bro....na ina afya....
 
Kwenye Kesi Ya G. Floyd My Lord Cahil nasema kwamba Chauvin acted with intent to kill Floyd because he pressed his knee into the man’s neck for several minutes while ignoring repeated cries that he could not breathe, as the widely seen video shows.... Kwenye trial Judgment ya My Lord Peter Cahil J. Anasema Chavin u point a gun and pull the trigger; the law presumes u mean to kill..... u hold ur knee on a man’s neck for this long–the law presumes u mean to suffocate him.
 

mkuu msamehe tu bure kuna watu wamejaliwa maneno tu
Ushahidi kesi na hadi hukumu zilikuwa live , CNN, kwa mtu aliyefauatilia ile court session hawezi kuja na arguments shallow kama hii kuwa ati weusi wamependelewa .
 
Kupendeleana kwa watumishi wa vyombo vya dola au vinavyohusika na usimamizi wa sheria ni jambo la kawaida sana duniani. Ndio maana hata wamarekani wamefurahi askari Derek Chauvini kutiwa hatiani

Ila hapa Tanzania it is too much, maana kama haki ingekuwa inatendeka ni viongozi wengi sana wa vyombo vya dola ambao wangekuwa hatiani. Labda kwa kuwafichia makosa watumishi wao au wao kuhusika.

Sasa kama Taifa ambalo linanza kukomaa lazima tuzingatie misingi ya sheria. Kama askari au mtumishi wa vyombo vya dola akiua kwa kuchukua sheria mkononi nae ashitakiwe. Sio kupindisha sheria huku raia wao kila siku wanakamatwa na kusota magerezani
 
Utajisikiaje au utaongea nini siku wamarekani weusi na raia wengine wa ulaya na marekani wakianza kukemea kwa nguvu sana maovu ya afrika kama ugaidi wa boko haram, serikali za kitapeli na Ulafi wa madaraka wa viongozi wa afrika pamoja na kutetea maslahi ya waafrika waishio mazingira magumu barani afrika.

Unahusi utachukizwa na bidii zao kukemea hilo au?!
 
mkuu msamehe tu bure kuna watu wamejaliwa maneno tu
Ushahidi kesi na hadi hukumu zilikuwa live , CNN, kwa mtu aliyefauatilia ile court session hawezi kuja na arguments shallow kama hii kuwa ati weusi wamependelewa .

Nimemshangaa sana[emoji1787][emoji1787]
 
Sema nini chief, angekua trump hii kesi ingepindishwa huo ndiyo ukweli, maana trump tangu awali alionyesha dalili za kuwa na upande,
Hakuwa na upande alikuwa anawaambia ukweli mweupe,kwamba issue ya Floyd kuuawa ni kosa na pia kuchoma miji kwa kisingizio cha kudai haki pia ni kosa.Plain and simple bila unafiki..Sasa leo kuna mnafiki liberal pale WH watu wanaona ni mpenda haki sana,yule yupo kwenye system ile ile ya kibaguzi na wala hatachukua hatua yeyote..
 
Hili li njagu boya kweli ngoja likanyee debe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…