Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.


1. Una uhakika gani kuwa miongoni mwa hao uliowajata wote ni Watanzania/Wazalendo?
2. Una uhakika gani kuwa huyo aliyekimbia hakuwa na wenzie kwenye hizo level za juu?
 
Kama unauwezo huo, huyu alipenya vipi mpaka kupewa kitengo nyeti namna hiyo?
Unakifaham vema unachokijadili mkuu?

Duh kukuelewa mkuu ni kazi sana kwani wenzako wote wamenielewa ila wewe upo Kichukichuki, hata michango yako inabidi tu tupite maana una ndoto za mchana za kuingia 2015.

Kwa Lugha yako sasa nimekuelewa unapepea kuelekea wapi hujali jukwaa wala Thread mradi ujumbe umeufikisha. Mimi Mwigulu na Kinana nawaamini na Watanzania wenzangu kama wewe ila nachambua Magaidi mnajulikana.
 

Huyu Jamaa sio Thread hii tu, Thread zote zinazohusu Rwanda ye huwa anatoa majibu ya ajabu, sina uhakika kama kweli ni Mtanzania. Pitia Thread zinazohusu Rwanda harafu uone majibu yake.
 
Huyu Jamaa sio Thread hii tu, Thread zote zinazohusu Rwanda ye huwa anatoa majibu ya ajabu, sina uhakika kama kweli ni Mtanzania. Pitia Thread zinazohusu Rwanda harafu uone majibu yake.
adolay si mzima ni sawa na popo leo mnyama kesho ndege kwa hiyo kwa sisi binadamu ni kumkwepa km hatakurarua atakunyea. katika yale makundi ya tabia za binaadamu hayupo shida yake ni kuwa -ve au kukera wenzake TUMUEPUKE
 
Last edited by a moderator:
tunaidharau rwanda kwamba ni kanchi kadogo,lakini kumbukeni daudi alimuua goliath!
Kesheni mkiomba haya mambo c ya kuchekea!
 
tunaidharau rwanda kwamba ni kanchi kadogo,lakini kumbukeni daudi alimuua goliath!
Kesheni mkiomba haya mambo c ya kuchekea!

Ndugu, pamoja na haya yooooooooote. HATUWEZI KUPIGWA NA KAGAME, hata yeye anajua hilo.
Labda tu jambo analoweza kufanikiwa kipindi hiki cha uhai wake ni kujipenyeza na kushiriki maamuzi ndani ya serikali yetu. Hii ni kupitia wabunge na viongozi mbalimbali mamluki wake waliopo kwenye idara mbalimbali.

Kwa maana nyingine akatutawala indirect kwa kiasi fulani.
 
watusi ni washenzi na watu wabaya sana hata selukamba mbunge wa kigoma mjini ni mtusi wa ruhenjeli huko musanzda rwanda
 
Ukwaju jaribu mbinu nyingine hii umeumbuka gamba.




Du kukuelewa mkuu ni kazi sana


-Huwezi kunielewa kwasababu kichwani ww ni boga, ungekuwa makini na unaufahamu ungenielewa na kibaya zaid huwezi nishinda ujanja!!

Kwanini unachanganya post zangu mbili ambazo nimechangia kwenye mada tofauti?

1. posti ya kwanza ni kwenye thread yenye title
[h=2]Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini![/h]
2. Post ya pili umechukuwa kwenye mada
[h=2]Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo[/h]
kweli wewe ni limbukeni, soma maelezo yangu hapa chini uone ulivyochizi



Pitia maswali yangu kwenyeblue ndani ya bandiko lako, utakuwa timamu kama utayajibu kwa usahihi.



Hapa chini ukwaju ni swali ambalo nilikuuliza kutokana na maelezo ya bandiko lako hapo juu, ukashindwa kujibu kabisaa hatima yake ukazuka na uzushi!!!!

By adolay


Kama unauwezo huo, huyu alipenya vipi mpaka kupewa kitengo nyeti namna hiyo?
Unakifaham vema unachokijadili mkuu?





Kuhusu bandiko la hapo chini swala hilo nilijadili kwa kumquote Ntakandi

-Title ya thread nitofauti na hii, upumbavu wako umechukuwa quote yangu kutoka posti tofauti na kwa swali tofauti maana hukuulizwa wewe ukaileta na kuichanganya huku, nadhani hunaakili timamu, na Ukwaju huwezi nizidi ujaja wewe ni ----- tu.

a) tittle yake ni
[h=2]Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo[/h]
b) post number 14 nikimjibu Ntakandi, aliyetowa maelezo haya hapa chini na maelezo yangu kwake yanafuatia chini yake.





By adolay


Kati ya mwigulu na mahakama nani anastahili kikatiba kutoa malelezo na maamuzi ya haki?
-cd ya uwongo ya Lwakatale -Mwigulu
-ugaid wa kupika kwa Kilewo - Mwigulu
-kusema uwongo na ovyoovyo - Mwigulu
Kama kunawatanzania wanaomwamwini Mwigulu mpaka sasa lazima wanatatizo


kwautaratibu huu nakuonea huma sana...........................................................





kwani wenzako wote wamenielewa ila wewe upo Kichukichuki


a) Wenzangu waliokuelewa wewe ni akina nani? kwa huu upotoshaji wakipumbavu

b) kati yangu mimi nawewe nani anachuki na kilaza?Umechukuwa quote kutoka mada tofauti tena nikimjibu mtu tofauti kwa swali tofauti ukaleta kwenye thread tofauti si ushamba na upumbavu!!!! eti sieleweki utaelewaje unachanganya michango ya mada tofauti uonekane unazo, akili za kimwigulu chemba hizi

hata michango yako inabidi tu tupite maana una ndoto za mchana za kuingia 2015
Tatizo lenu washabiki wa ccm, nikuishi kwa uwongo kama ulivyodanganya hapo juu, kuchanganya thread mbili tofauti wewe ni ----- hakuna mfano kama alivyo mwigulu na matatizo ya akili nadhani unasifa zote za kimwigulu


Kwa Lugha yako sasa nimekuelewa unapepea kuelekea wapi hujali jukwaa wala Thread mradi ujumbe umeufikisha


unadhani mi ----- kama wewe unaeishi kwa uwongo, propaganda na unafiki! nimekushushua jaribu mbinu nyingine


Mimi Mwigulu na Kinana nawaamini na Watanzania wenzangu kama wewe ila nachambua Magaidi mnajulikana

-Sioni ajabu kuwaamini kwanza sioni tofauti kati yako na mwigulu na huyo kinana
kama unaweza kuchanganya michango ya mada mbili tofauti uonekane unaweza kuchambua mada, unatofauti gani na:-

1. Mwigulu anayehubili chuki anayezushia wengine ugaidi kwa ushamba na ulimbukeni kuchonga hadi cd, na wewe kunizushia uwongo hapa jukwaani

2. Kinana anayekubali kwamba meli yake inatumika kusafirisha nyara za serikali, na akiwa kiongozi wa juu kabisa katika ccm maiti bila aibu wala woga.

Kwa uwiano wa upumbavu na ujinga ni sahihi kwako kuwaaamini maana hata wachawi huaminiana wao kwa wao.
 
Last edited by a moderator:
Ukwaju jaribu mbinu nyingine hii umeumbuka gamba.
Du kukuelewa mkuu ni kazi sana
-Huwezi kunielewa kwasababu kichwani ww ni boga, ungekuwa makini na unaufahamu ungenielewa na kibaya zaid huwezi nishinda ujanja!! Kwanini unachanganya post zangu mbili ambazo nimechangia kwenye mada tofauti? 1. posti ya kwanza ni kwenye thread yenye title [h=2]Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini![/h] 2. Post ya pili umechukuwa kwenye mada [h=2]Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo[/h] kweli wewe ni limbukeni, soma maelezo yangu hapa chini uone ulivyochizi Pitia maswali yangu kwenyeblue ndani ya bandiko lako, utakuwa timamu kama utayajibu kwa usahihi. Hapa chini ukwaju ni swali ambalo nilikuuliza kutokana na maelezo ya bandiko lako hapo juu, ukashindwa kujibu kabisaa hatima yake ukazuka na uzushi!!!!
By adolay
Kama unauwezo huo, huyu alipenya vipi mpaka kupewa kitengo nyeti namna hiyo? Unakifaham vema unachokijadili mkuu? Kuhusu bandiko la hapo chini swala hilo nilijadili kwa kumquote Ntakandi -Title ya thread nitofauti na hii, upumbavu wako umechukuwa quote yangu kutoka posti tofauti na kwa swali tofauti maana hukuulizwa wewe ukaileta na kuichanganya huku, nadhani hunaakili timamu, na Ukwaju huwezi nizidi ujaja wewe ni ----- tu. a) tittle yake ni [h=2]Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo[/h] b) post number 14 nikimjibu Ntakandi, aliyetowa maelezo haya hapa chini na maelezo yangu kwake yanafuatia chini yake.
By adolay
Kati ya mwigulu na mahakama nani anastahili kikatiba kutoa malelezo na maamuzi ya haki? -cd ya uwongo ya Lwakatale -Mwigulu -ugaid wa kupika kwa Kilewo - Mwigulu -kusema uwongo na ovyoovyo - Mwigulu Kama kunawatanzania wanaomwamwini Mwigulu mpaka sasa lazima wanatatizo kwautaratibu huu nakuonea huma sana...........................................................
kwani wenzako wote wamenielewa ila wewe upo Kichukichuki
a) Wenzangu waliokuelewa wewe ni akina nani? kwa huu upotoshaji wakipumbavu b) kati yangu mimi nawewe nani anachuki na kilaza?Umechukuwa quote kutoka mada tofauti tena nikimjibu mtu tofauti kwa swali tofauti ukaleta kwenye thread tofauti si ushamba na upumbavu!!!! eti sieleweki utaelewaje unachanganya michango ya mada tofauti uonekane unazo, akili za kimwigulu chemba hizi
hata michango yako inabidi tu tupite maana una ndoto za mchana za kuingia 2015
Tatizo lenu washabiki wa ccm, nikuishi kwa uwongo kama ulivyodanganya hapo juu, kuchanganya thread mbili tofauti wewe ni ----- hakuna mfano kama alivyo mwigulu na matatizo ya akili nadhani unasifa zote za kimwigulu
Kwa Lugha yako sasa nimekuelewa unapepea kuelekea wapi hujali jukwaa wala Thread mradi ujumbe umeufikisha
unadhani mi ----- kama wewe unaeishi kwa uwongo, propaganda na unafiki! nimekushushua jaribu mbinu nyingine
Mimi Mwigulu na Kinana nawaamini na Watanzania wenzangu kama wewe ila nachambua Magaidi mnajulikana
-Sioni ajabu kuwaamini kwanza sioni tofauti kati yako na mwigulu na huyo kinana kama unaweza kuchanganya michango ya mada mbili tofauti uonekane unaweza kuchambua mada, unatofauti gani na:- 1. Mwigulu anayehubili chuki anayezushia wengine ugaidi kwa ushamba na ulimbukeni kuchonga hadi cd, na wewe kunizushia uwongo hapa jukwaani 2. Kinana anayekubali kwamba meli yake inatumika kusafirisha nyara za serikali, na akiwa kiongozi wa juu kabisa katika ccm maiti bila aibu wala woga. Kwa uwiano wa upumbavu na ujinga ni sahihi kwako kuwaaamini maana hata wachawi huaminiana wao kwa wao.
 
Last edited by a moderator:
adolay si mzima ni sawa na popo leo mnyama kesho ndege kwa hiyo kwa sisi binadamu ni kumkwepa km hatakurarua atakunyea. katika yale makundi ya tabia za binaadamu hayupo shida yake ni kuwa -ve au kukera wenzake TUMUEPUKE

ha ha ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Ma IO muko wapi?

Ma IO wamefanya blanda! Walishaanza kumfatilia nadhan alishtuka akasepa! Cha kushangaza kama walishamtilia shaka na kuanza kumfatilia ilikuwaje akawapotea na kutoroka? Ukute wako wengi na watatoroshana mmoja mmoja mkuu.
 



adolay
si mzima ni sawa na popo leo mnyama kesho ndege kwa hiyo kwa sisi binadamu ni kumkwepa km hatakurarua atakunyea. katika yale makundi ya tabia za binaadamu hayupo shida yake ni kuwa -ve au kukera wenzake TUMUEPUKE
[h=2][/h] maelzo yangu hapo chini yanapatikana post no 14 yenye title
[h=2]Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo nikimjibu Ntakanddi[/h]



Hii nyingine ni post namba 47 chini ya mada yenye title
[h=2]Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini! nikuuliza kama ilivo hapo chini[/h]



Sasa jitambuwe ulimbukeni wako kwa kuhadaa wengine ukichanganya michango ya mada mbili tofauti kwa pamoja you must be notorious Ukwaju in either case
 
Tukipigwa na Rwanda basi hii sio Sayari ya Dunia.


Akili zako kama ukwaju, usumbufu wa waisrael middle east

-ni kwasababu ya ukubwa au udogo wa nchi yao au

- Ni kwasababu ya uwezo wao kijeshi, upelelezi na mikakati yao.

ama kweli ww na Ukwaju pumba tupu.
 
Last edited by a moderator:
Akili zako kama ukwaju, usumbufu wa waisrael middle east

-ni kwasababu ya ukubwa au udogo wa nchi yao au

- Ni kwasababu ya uwezo wao kijeshi, upelelezi na mikakati yao.

ama kweli ww na Ukwaju pumba tupu.

Sasa kama ni uwezo unataka kuifananisha Tanzania na nchi yako Rwanda?
 
Last edited by a moderator:

Nakubaliana na wewe mkuu...halafu msaliti anaweza akawa mtu asiye na uhusiano wowote na Rwanda. People do it for many reasons...ukitaka kujua soma vizuri historia za watu waliokuwa traitors wakati wa cold war...Whgen it comes to mind games, we should engage our heads very intensively.
 
Sasa kama ni uwezo unataka kuifananisha Tanzania na nchi yako Rwanda?

Mwenzako [MENTION]Ukwaju [/MENTION]nilimuuliza hivi, unaweza msaidia kujibu maana alishindwa akazuka na uzushi

By adolay


Kama unauwezo huo, huyu alipenya vipi mpaka kupewa kitengo nyeti namna hiyo?

Unakifaham vema unachokijadili mkuu?



2. je unafahamu wako wangapi waliobaki na katika sektagani?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…