Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
Ukwaju jaribu mbinu nyingine hii umeumbuka gamba.




-Huwezi kunielewa kwasababu kichwani ww ni boga, ungekuwa makini na unaufahamu ungenielewa na kibaya zaid huwezi nishinda ujanja!!

Kwanini unachanganya post zangu mbili ambazo nimechangia kwenye mada tofauti?

1. posti ya kwanza ni kwenye thread yenye title [/B]Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!


2. Post ya pili umechukuwa kwenye mada
Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo


kweli wewe ni limbukeni, soma maelezo yangu hapa chini uone ulivyochizi



Pitia maswali yangu kwenyeblue ndani ya bandiko lako, utakuwa timamu kama utayajibu kwa usahihi.




Hapa chini ukwaju ni swali ambalo nilikuuliza kutokana na maelezo ya bandiko lako hapo juu, ukashindwa kujibu kabisaa hatima yake ukazuka na uzushi!!!!

quote_icon.png
By adolay

Kama unauwezo huo, huyu alipenya vipi mpaka kupewa kitengo nyeti namna hiyo?
Unakifaham vema unachokijadili mkuu?





Kuhusu bandiko la hapo chini swala hilo nilijadili kwa kumquote Ntakandi

-Title ya thread nitofauti na hii, upumbavu wako umechukuwa quote yangu kutoka posti tofauti na kwa swali tofauti maana hukuulizwa wewe ukaileta na kuichanganya huku, nadhani hunaakili timamu, na Ukwaju huwezi nizidi ujaja wewe ni ----- tu.

a) tittle yake ni
Mbowe, Lissu, Mnyika na Marando ndani ya Kasulu leo


b) post number 14 nikimjibu Ntakandi, aliyetowa maelezo haya hapa chini na maelezo yangu kwake yanafuatia chini yake.






quote_icon.png
By adolay

Kati ya mwigulu na mahakama nani anastahili kikatiba kutoa malelezo na maamuzi ya haki?
-cd ya uwongo ya Lwakatale -Mwigulu
-ugaid wa kupika kwa Kilewo - Mwigulu
-kusema uwongo na ovyoovyo - Mwigulu
Kama kunawatanzania wanaomwamwini Mwigulu mpaka sasa lazima wanatatizo


kwautaratibu huu nakuonea huma sana...........................................................





[/B]a) Wenzangu waliokuelewa wewe ni akina nani? kwa huu upotoshaji wakipumbavu

b) kati yangu mimi nawewe nani anachuki na kilaza?Umechukuwa quote kutoka mada tofauti tena nikimjibu mtu tofauti kwa swali tofauti ukaleta kwenye thread tofauti si ushamba na upumbavu!!!! eti sieleweki utaelewaje unachanganya michango ya mada tofauti uonekane unazo, akili za kimwigulu chemba hizi

Tatizo lenu washabiki wa ccm, nikuishi kwa uwongo kama ulivyodanganya hapo juu, kuchanganya thread mbili tofauti wewe ni ----- hakuna mfano kama alivyo mwigulu na matatizo ya akili nadhani unasifa zote za kimwigulu




unadhani mi ----- kama wewe unaeishi kwa uwongo, propaganda na unafiki! nimekushushua jaribu mbinu nyingine




-Sioni ajabu kuwaamini kwanza sioni tofauti kati yako na mwigulu na huyo kinana
kama unaweza kuchanganya michango ya mada mbili tofauti uonekane unaweza kuchambua mada, unatofauti gani na:-

1. Mwigulu anayehubili chuki anayezushia wengine ugaidi kwa ushamba na ulimbukeni kuchonga hadi cd, na wewe kunizushia uwongo hapa jukwaani

2. Kinana anayekubali kwamba meli yake inatumika kusafirisha nyara za serikali, na akiwa kiongozi wa juu kabisa katika ccm maiti bila aibu wala woga.

Kwa uwiano wa upumbavu na ujinga ni sahihi kwako kuwaaamini maana hata wachawi huaminiana wao kwa wao.

Mkuu tafuta daktari wa mambo ya AKILI, unaumwa.... unachanganya sana mada, hiyo si hali ya kawaida... UNAUMWA NA TUNAOKUPENDA TUNAKUSHAURI NENDA KWA DAKTARI WA MATATIZO YA AKILI
 
Paul Kagame was Head of Intelligence kwenye idara ya usalama ya uganda..yet ameenda kuwa amiri jeshi mkuu wa Rwanda...so u can imagine what kind of information alikuwa nayo dhidi ya uganda, yet he didi what?? or shud uganda be scared of Rwanda jus coz anawajua in and out?

I hate the system of Tanzania, and how it recruits watu muhimu kama wa vyombo vya ulinzi na usalama, seriously, hakuna weredi kabisa, kujuana ni kwingi. BUT, still, tusiwe na hofu juu ya huyo mwanajeshi wala wengine ambao bado wamo JWTZ na vyombo vingine vya ulinzi, and Tanzania na Rwanda hawatopigana kamwe...ther z just misunderstanding of few concepts......my dears, WAR GOES BEYOND POLITICAL CONFLICT especially a conflict started by few sentenses.....stay blessed....
 
Kama alikuwa private hawezi kuwa na Siri zozote za maana, unless Kama alikuwa na cheo cha juu!
NI LUTENI KANALI kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).
 
sizani kama ametoroka,pengine maisha ya jeshi yamemshinda kaenda kutafuta maisha sehemu nyingine acheni ofu na kumuusisha Kagame kwa ili
OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha,
 
Mkuu tafuta daktari wa mambo ya AKILI, unaumwa.... unachanganya sana mada, hiyo si hali ya kawaida... UNAUMWA NA TUNAOKUPENDA TUNAKUSHAURI NENDA KWA DAKTARI WA MATATIZO YA AKILI


Tatizo lenu ni ujinga wa kuchambuwa na kuchanganua mambo.

Daima ukweli unauma na hampendi kuambiwa ukweli.

Kama jeshi limeweza kumpa kitengo nyeti mnyarwanda, nini kinakuzuia kuhisi kwamba uwezekano wa maadui

kuwepo Ikulu ni mkubwa nakwamba tahadhari ya ziada inahitajika sio kukurupuka tu na maamuzi ya visasi?

Mtaendelea kuwa wapumbavu kwasababu ya upenzi wa kisiasa huku mkiukana ukweli kwa unafiki na ujuha.
 
Amani haipatikani kwa visasi hata siku moja, kufanya viasi nikupa laana.

haya, mwanaume vitendo! acheni visasi waalikeni FLDR katika siasa za rwanda, ondoeni magenge yenu ya mauaji DRC, NA WAITENI NYUMBANI MAPANDIKIZI YENU HUKU NCHINI, NA MWAMBIENI KAGAME AMWOMBE RAISI KIKWETE NA WATANZANIA MSAMAHA KWA KUWATUSI . BAADA YA HAPO UTAKUWA NA HAKI YA KUANDIKA
 
Nakubali mm ni mpuuzi maana post zako ni za kiPOPO
  1. Hiyo ni kukuonesha kuwa wewe ni mjinga unakurupuka tu na wachangiaji ndio waliosema sio mm HII POST SIO YANGU NA WALA SIJAKUJIBU WEWE ila nimeambiwa ni zote unazochangia ni za kipunguani ww sio Mzalendo
  2. Hebu fuatilia Post #63 hii ni yangu ?
    [POST=7110633]adolay bofya hapa[/POST]
  3. Kagame alikuwa Porini na RPF na J.Kikwete alikuwa Waziri wa Mambo ya Nje wa Tanzania kwa hiyo asingeweza kukaa meza moja na jitu la porini lilotumwa na Watutsi , Clinton Museveni na wewe eti mkae na J Kikwete
  4. Kikwete hahubiri mambo ambayo hayatekelezeki ni Kichapo tu sasa baada ya kutoka DRC kwani Wakimbizi wamesharudi kwao Uganda na Rwanda,
Mada inazungumzia
Re: Askari JWTZ mwenye asiri ya Rwanda atoroka jeshini!

sisi tulijadili ujuha wako, wa kila thread sasa mm upuuzi wangu ni upi nisichanganye thread zako za JF au nilitoka nje ya mada baada ya ALEYN kuniambia tabia zako
Pole ni utoto au ulevi matusi yako mm sitakutukana ila Ututsi wako siukubali pamoja na JK na Watanzania wote



Tatizo lenu ni ujinga wa kuchambuwa na kuchanganua mambo.


Daima ukweli unauma na hampendi kuambiwa ukweli.

Kama jeshi limeweza kumpa kitengo nyeti mnyarwanda, nini kinakuzuia kuhisi kwamba uwezekano wa maadui

kuwepo Ikulu ni mkubwa nakwamba tahadhari ya ziada inahitajika sio kukurupuka tu na maamuzi ya visasi?

Mtaendelea kuwa wapumbavu kwasababu ya upenzi wa kisiasa huku mkiukana ukweli kwa unafiki na ujuha.
 
tatizo lenu ni ujinga wa kuchambuwa na kuchanganua mambo.

Daima ukweli unauma na hampendi kuambiwa ukweli.

kama jeshi limeweza kumpa kitengo nyeti mnyarwanda, nini kinakuzuia kuhisi kwamba uwezekano wa maadui

kuwepo ikulu ni mkubwa nakwamba tahadhari ya ziada inahitajika sio kukurupuka tu na maamuzi ya visasi?

Mtaendelea kuwa wapumbavu kwasababu ya upenzi wa kisiasa huku mkiukana ukweli kwa unafiki na ujuha.

wewe ndiye juha zaidi na haujitambui, huyo askari kwa taarifa yako hata rwanda akija leo hana pa kufikia na ni mzaliwa wa tanzania wazazi toka rwanda waliingia nchini miaka ya 50 kabla hata hamjapata uhuru! Ila tahadhari ilichukuliwa kwa watu wasiyo na asili ya tanzania, na haujui alipo mpaka sasa, mbona hujiulizi ni watanzania wangapi wako katika taasisi nyeti za rwanda kwa kudhamiria na hawajulikani?
 
mkuu tafuta daktari wa mambo ya akili, unaumwa.... Unachanganya sana mada, hiyo si hali ya kawaida... Unaumwa na tunaokupenda tunakushauri nenda kwa daktari wa matatizo ya akili

watusi wanamatatizo makubwa sana kuliko yeyote anavyoweza kufikiria na ni zaidi ya wenda wazimu!
 
kwa maoni yako JWTZ ilikwenda vitani na nani na matokeo yalikuwa nini?!
 
haya, mwanaume vitendo! acheni visasi waalikeni FLDR katika siasa za rwanda, ondoeni magenge yenu ya mauaji DRC, NA WAITENI NYUMBANI MAPANDIKIZI YENU HUKU NCHINI, NA MWAMBIENI KAGAME AMWOMBE RAISI KIKWETE NA WATANZANIA MSAMAHA KWA KUWATUSI . BAADA YA HAPO UTAKUWA NA HAKI YA KUANDIKA

Anaehangaika na kufukuza watu waliozaliwa hapa tangu enzi za nyerere, tukiwapa ajira sehem mbalimbli ndiyo

anayetakiwa kujitafakali maana hekima na busara hushinda jazba na ukurupukaji
na matokeyo yake unaweza

adhibiwa na kijakazi wako bila kuelewa umauti ukakupitia.
 
anaehangaika na kufukuza watu waliozaliwa hapa tangu enzi za nyerere, tukiwapa ajira sehem mbalimbli ndiyo

anayetakiwa kujitafakali maana hekima na busara hushinda jazba na ukurupukaji
na matokeyo yake unaweza

adhibiwa na kijakazi wako bila kuelewa umauti ukakupitia.

unatia najisi jukwaa letu, na mbaya zaidi hata unachobishania hukijui zaidi ya ushabiki wa kimende kama mlivyo, kama yote wewe na watusi wenzako mnayoyaandika huku mnayaamini kwanini mnag'ang'ania kuishi tanzania? Ndio maana nashawishika mna matatizo makubwa sana ya akili!
 
Lisemwalo lipo kama huyo mwanajeshi ni mnyarwanda na mathalani ukute ni jasusi na maneno yameshatembea kati ya waongoza nchi wawili hawa tulitegemea aendelee kuwa kazini? Kasepa bila sisi kuwa na taarifa kwa hiyo wahusika wachanganue mambo tusipuuzie ije kula kwetu.
 
wewe ndiye juha zaidi na haujitambui, huyo askari kwa taarifa yako hata rwanda akija leo hana pa kufikia na ni mzaliwa wa tanzania wazazi toka rwanda waliingia nchini miaka ya 50 kabla hata hamjapata uhuru! Ila tahadhari ilichukuliwa kwa watu wasiyo na asili ya tanzania, na haujui alipo mpaka sasa, mbona hujiulizi ni watanzania wangapi wako katika taasisi nyeti za rwanda kwa kudhamiria na hawajulikani?


Unafahamu manaa ya msemo wa mjasili haachi asili? haijalishi waliingia lini, bado wanahitaji kutendewa kwa wema, haki na staha maana hawa watu tunao kwenye mawizara mbalimbali nasijuwi kama mnaiona hatari hiyo

Pia kumbuka waswahili husema damu ni nzito kuliko maji na mdharau mwiba mguu huota tende mnafanya siasa na propaganda kisasa! hili tatizo nila facts siasa na propaganda sio mahala pake.

Napia wayahudi pamoja na kutawanyika ovyo dunia nzima kwa miaka kadhaa bado hufanya kulingana na nini wanataka wakwao.
 
DOCUMENTARY itakuja tu MUNGU wetu ni mkubwa kwa hawa madiktekta
Kombe mauaji yake kuna conspiracy theory nyingine kuwa alikuwa nyuma ya Lyatonga Mrema kabla hajawa ------- kisiasa, Kuhusu Mwaikusa kuna conspiracy theory ya kuonana uso kwa uso na Daud Balali nasikia mtanzania ukimuona Balali ndio mauti yako, kafichwa kukibeba chama na serikali. JK haaminiki unaweza kuwa ni vita ya kugombea demu na Kagame, we need to dig more.
Kipindi kile Mrema kuchukua nchi ilikuwa sio tishio mpaka kumuondolea uhai wake, ila ni wale wachache wa UWT waliojua ni kwa vipi Slim Boy kaichukua Rwanda na waliotumwa nao kwa kumfananisha na mwizi wa magari (White) walipotolewa Gerezani nao Qwishney
Hivyo kuwapunguza kidomidomi hawakuogopa kuja TZ fuatilia Article ya Mch Mtikila

1. Kagame ..........
2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo, lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.
3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara wa Burkina Faso, kule Uagadougou.
4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya kikatili sana ya marehemu Rais Melchior Ndadaye.
5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi.
6. Kagame
..........
Hapo ndio napomkumbuka mbabe km Mboma yeye hakuogopa mtu angepata ruksa kama kutoka kwa Lowassa wangetutambua kuwa sisi sio wa kuvamiwa mpaka uvunguni, mtu wetu anakuja burutwa na kuuawa, tunanyamaza.
MY TAKE
Hawa watu wapo kila kona ndio aana kuna jamaa kasema sio Askari huyo mmoja Luteni kanali kuna wengine wa3 hawajulikani waliko
quote_icon.png
By hamsinij

Sio huyo tu. Watatu kutoka sehemu nyeti hawajulikani walipo

MUNGU ni mkubwa tuvute subira
 
unafahamu manaa ya msemo wa mjasili haachi asili? Haijalishi waliingia lini, bado wanahitaji kutendewa kwa wema, haki na staha maana hawa watu tunao kwenye mawizara mbalimbali nasijuwi kama mnaiona hatari hiyo

pia kumbuka waswahili husema damu ni nzito kuliko maji na mdharau mwiba mguu huota tende mnafanya siasa na propaganda kisasa! Hili tatizo nila facts siasa na propaganda sio mahala pake.

Napia wayahudi pamoja na kutawanyika ovyo dunia nzima kwa miaka kadhaa bado hufanya kulingana na nini wanataka wakwao.

kumbe ukweli unautambua vizuri, sasa ndiyo maana tunawachapisha mwendo, hatuambiwi ! Mende ni lazima atokomezwe ndani na nje ya mupaka ya tanzania.
 
unatia najisi jukwaa letu, na mbaya zaidi hata unachobishania hukijui zaidi ya ushabiki wa kimende kama mlivyo, kama yote wewe na watusi wenzako mnayoyaandika huku mnayaamini kwanini mnag'ang'ania kuishi tanzania? Ndio maana nashawishika mna matatizo makubwa sana ya akili!


Unajinajisi wewe mwenyewe kwa kushindwa kuusema ukweli, bali umebaki kujikomba ukidhani unasaidia watawala,

kumbe unawapumbaza. Kila jambo lijadiliwe kwa kuzingatia ukweli na hatari mbele yetu, Taifa letu, watoto na vizazi vijavyo.

Itikadi ya kipuuzi ya kuishi kwa uadui mkubwa kati ya wayahudi na wapalestina ilijengwa enzi zile mpa hivi leo

hawana amani wala mapatano ya dhati. Hivyo ndivyo manavyoitabilia tanzania ya hapo baadaye?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom