Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Status
Not open for further replies.
Nakupa pole, endapo kikwete angeweza walau kumudu kutowa huduma bora za afya na elimu ingesaidia kuokowa

maisha ya watanzania wengi badala ya kucheza na ngoma ya kagame akifahamu fika anacheza zembwela na ni

propaganda za kitoto kabisa kufukuza watu kinyama akiacha maelfu wakipoteza maisha hospitalini kwa kukosa matibabu

sahihi na bora.

pamoja na huduma duni zitolewazo according to your feedback, bado naamini tiba ya ugonjwa wako haipo humu JF... yawezekana ipo Mirembe

ila kweli shukrani ya Punda mateke... leo unatukana huduma ya afya ya Tanzania wakati ndio iliyowasaidia sana, kumbuka hata kagame katibiwa hpahapa kwetu na huduma hiyohiyo mbovu

haya "client", usisahau kwenda hospitali tu, maana unarusha ideas kama huna akili nzuri, its a sign ya ugonjwa wa akili mkuu
 
Tanzania inaongozwa na vilaza kwelikweli, Jambo la kushangza Nchi haina kitambulisho maalum cha Uraia, Haina Mwongozo mzuri wa kutoa Uraia, tulikaribisha wakimbizi toka Rwanda leo wako sehemu muhimu kwa taifa awe koplo au GENERAL, nI KOSA KWA RAIA WA KIGENI KUWA POST HIZO. taifa hili kweli la vilaza


Nkaubaliana nawewe 100% nahapo ndipo tunahitaji kwa utulivu na umakini mkubwa kupaboresha
 
pamoja na huduma duni zitolewazo according to your feedback, bado naamini tiba ya ugonjwa wako haipo humu JF... yawezekana ipo Mirembe

ila kweli shukrani ya Punda mateke... leo unatukana huduma ya afya ya Tanzania wakati ndio iliyowasaidia sana, kumbuka hata kagame katibiwa hpahapa kwetu na huduma hiyohiyo mbovu

haya "client", usisahau kwenda hospitali tu, maana unarusha ideas kama huna akili nzuri, its a sign ya ugonjwa wa akili mkuu


Kama unafahamu kiswahili fasaha nakubaliana nawewe ilitusaidia sana watanzania ( ilitu- ni hapo kabla kwa sasa

tunabadilisha ilitu na haitu- inakuwa haitusadii kabisa,
maana mafisadi na wachuuzi wadawa za kulevya kwenye

utawala
huu wametusahau kabisa kwenye hospitali zetu za serikali. kikwete na Pinda wamebaki kupiga misele na

propaganda baasi..................
 
Unatofautigani na Pinda anayetaka watu wapigwe tu, kama si ulimbukeni nini? wapigwe kwa amri ya nani? mahakama

imethibitisha? Acheni uchizi rudini kwenye hoja tuijadili mnakuwa na akili za visasi kama kikwete!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! Toba.

Tofauti ipo kubwa sana, hasa hapa... Pinda ni CCM, mimi Sio CCM. Pinda ni hajui demokrasia lakini mimi naipenda demokrasia. Hata wewe unamawazo mazuri sana, na hoja nzito. Lakini unachanganya mambo.
 
Am not surprised becauses a student can not deliver knowledge than her/his teacher's best level, in this context
Kikwete and Pinda do insist on the use of power and brutality against the rule of law so do you.
Kazi kwelikweli kwanini usirudi kenye mada tu ya
Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!

Nkaubaliana nawewe 100% nahapo ndipo tunahitaji kwa utulivu na umakini mkubwa kupaboresha
Na wagonjwa wa akili hata humu JF wasichangie ili kuiboresha maana ndani ya siku 2 Member mmoja tu haelewi na anatoka nje ya mada mara zote
Kama hutaelewa jamaa yangu basi tena Uamuzi wa Watanzania wote ni kuwa Wanyarwanda, wasio na vibali warudi kwao, na huyo askari aliyetoroka wengi wa wachangiaji humu JF wamesikitishwa hivyo baada ya DRC nao wachapwe hatuwezi omba suluhu wala kumbebesha rais, Waziri mkuu wala yoyote wabaya wetu ni ninyi MCHAPWE
Huyu Adolay akikamatwa apigwe ya kichwa.
hamuwezi tutisha kwa sababu mgomvi tunamjua iweje leo uwataje viongozi wetu
.I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete


VIDEO:Youth Connekt dialogue - Rwandan Youth Meet President Kagame- Kigali, 30 June 2013 - YouTube
 
Kama unafahamu kiswahili fasaha nakubaliana nawewe ilitusaidia sana watanzania ( ilitu- ni hapo kabla kwa sasa

tunabadilishailituna haitu- inakuwa haitusadii kabisa,
maana mafisadi na wachuuzi wadawa za kulevya kwenye

utawala
huu wametusahau kabisa kwenye hospitali zetu za serikali. kikwete na Pinda wamebaki kupiga misele na

propaganda baasi..................
i said unaumwa... unaona sasa unavyorusha rusha ideas kama popo

sasa unataka nini hasa??
  • warwanda walioambiwa ukweli kwamba kama hawana documents zinazowaruhuru kukaa nchini warudi kwao??
  • Mwigulu aache siasa
  • kikwete na Pinda waache kupiga misele?
  • hospitali na hudma za afya ziboreshwe??
  • kagame ahamie tanzania??
  • warwanda wasisameheane?
  • wewe uende hospitali kutibiwa akili
  • watawala wawakumbuke?? inagwa hujui sasa ni watawala gani, wa rwanda au tanzania??
au nini hasa??

maana hii thread umeruka nayo na kila aina ya suggestions, observations etc ambazo zote haziungi hata hoja moja kutoka kwako

UNAOISHI NAO WANA KAZI SANA AISEE
 
vilivyopandwa na sisiem sasa vimemea na kustawiii watanzania ni wakati wa kuvuna walivyopanda wao CCCCCM...too bad, too sad daaah
 
[h=4]OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha, huku akiacha wingu la mashaka kwamba, hatua yake hiyo inaweza ikawa imeambatana na kupotea pia kwa baadhi ya taarifa muhimu za kijeshi.[/h][h=4][/h][h=4]Taarifa za kutoweka kwa ofisa huyo mwenye cheo cha luteni kanali, zinalihusisha tukio hilo na hatua za makachero wa JWTZ kufuatilia nyendo zake na zililifikia gazeti la MTANZANIA Jumapili kwa mara ya kwanza katikati ya wiki hii.[/h][h=4][/h][h=4]Vyanzo vya habari vya kuaminika vinaeleza kuwa, tayari maofisa wa JWTZ wameshaanza kufuatilia kwa karibu tukio la kutoweka kwa ofisa huyo, ambalo pia limezusha hali ya sintofahamu kwamba, huenda akawa ameondoka na nyaraka nyeti za kijeshi.[/h][h=4][/h][h=4]Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ, alikuwa akifanya kazi katika kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).[/h][h=4][/h][h=4]Hatua ya kutoweka kwa ofisa huyo wa juu wa JWTZ anayetajwa kwa jina moja la Selumbo, imekuja siku chache tu baada ya kuibuka kwa msuguano wa kauli baina ya Ikulu ya Dar es Salaam na ile ya Kigali.[/h][h=4][/h][h=4]Chanzo cha msigano huo wa maneno uliogeuka na kuwa mzozo wa kidiplomasia, ni ushauri uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Rais Paul Kagame wa kumtaka awe tayari kukaa meza moja na waasi wa kundi la FDLR wanaopigana Rwanda, kutoka mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).[/h][h=4][/h][h=4]Tayari msigano huo wa Kikwete na Kagame umeanza kutajwa na baadhi ya wadadisi wa mambo kuwa tishio kubwa la kwanza la ustawi, uimara na misingi ya mshikamano ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambayo mataifa hayo mawili ni wanachama wake.[/h][h=4][/h][h=4]Siku chache baada ya ushauri huo, Kagame alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Rwanda akimkejeli Kikwete, hata kufikia hatua ya kutoa kauli zenye mwelekeo wa vitisho dhidi yake.[/h][h=4][/h][h=4]Kauli hizo za Kagame zilisababisha Rais Kikwete, kupitia katika hotuba yake ya mwishoni mwa Julai, kujibu mashambulizi, huku akieleza bayana kushangazwa na kushtushwa na kejeli na matusi yaliyokuwa yakielekezwa kwake.[/h][h=4][/h][h=4]Akitumia maneno ya kidiplomasia ambayo yametafsiriwa na baadhi wa wachambuzi wa masuala ya diplomasia na sayansi ya siasa kuwa yanabeba ujumbe mzito, Rais Kikwete alisema alikuwa amesikia yote yanayosemwa kutoka Rwanda na alikuwa hakusudii kuyapuuza.[/h][h=4][/h][h=4]Kauli hiyo ya Kikwete ambayo ilitanguliwa na ile aliyoitoa siku chache mkoani Kagera ya kuwataka wahamiaji haramu kuondoka nchini, ilifuatiwa na matukio ya kuondoka nchini kwa Wanyarwanda wanaokadiriwa kuzidi 5,000.[/h][h=4][/h][h=4]Wakati hali ikiendelea kuwa ni ya mashaka na kutoaminiana kati ya Tanzania na Rwanda, katikati ya wiki hii, gazeti dada la MTANZANIA Jumatano, lilikuwa na habari kubwa yenye kichwa cha habari kisemacho; ‘Nini kinamtia Jeuri Kagame?’ ambayo pamoja na mambo mengine, ilieleza namna watu wenye asili ya Rwanda walivyojipenyeza katika taasisi mbalimbali nyeti za umma.[/h][h=4][/h][h=4]Kuvuja kwa taarifa za kurejea Rwanda kwa maelfu ya wahamiaji haramu sambamba na hizi za sasa za kutoweka kwa ofisa wa juu wa JWTZ kunathibitisha kuhusu kuwapo kwa mwelekeo huo wa mambo.[/h][h=4][/h][h=4]Vyanzo vya habari vya gazeti hili, vinamtaja ofisa huyo kuwa ni mmoja wa makachero wenye asili ya Rwanda waliokuwa wakifanya kazi ndani ya JWTZ na ambao wanahofiwa kuwa watu wenye mawasiliano ya karibu na serikali ya Rwanda, kwa malengo ambayo bado hayajawekwa bayana.[/h][h=4][/h][h=4]“Ni kweli, huyo ofisa ametoweka jeshini na sijui sababu zilizo nyuma yake…hili suala la kuwa anakusanya taarifa za siri za jeshi letu na kuzipeleka Rwanda nadhani ziligunduliwa na watu wetu ambao wapo kwenye mfumo wa kijeshi,” alidokeza mmoja wa watoa taarifa wa MTANZANIA Jumapili.[/h][h=4][/h][h=4]Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba, alipoulizwa na gazeti hili kupitia simu yake ya kiganjani kuhusu ukweli wa taarifa hizo, alishindwa kukubali au kukataa, kwa kile alichoeleza kuwa suala hilo ni zito hivyo alikuwa akipaswa kuzungumza kwanza na viongozi wake kabla ya kulitolea taarifa.[/h][h=4][/h][h=4]Meja Komba alieleza kuwa, wanajeshi wanaotoroka ni wengi na wapo waliofungwa kwa kosa hilo la utoro.[/h][h=4][/h][h=4]“Jamani suala hili ni zito, naliogopa, nyinyi hamlioni kama ni zito? Sio kwamba sipendi wananchi wapate habari, suala hili tupeni muda kwanza tulifanyie ‘analysis’, mbona wanajeshi wengi wanatoroka na hamripoti! Waliotoroka ni wengi, wangine wametorokea Rwanda na kwingine na wamefungwa.[/h][h=4][/h][h=4]“Ni lazima kwanza niongee na mabosi wangu ndiyo nizungumzie vizuri hili… njoo ofisini Jumatatu (Kesho),” alisema Meja Komba.[/h][h=4][/h][h=4]Sanjari na tukio hilo, taarifa zaidi zilizonaswa na gazeti hili zimedai kuwa sasa imebainika pasipo shaka kuhusu kuwapo kwa makachero wa Serikali ya Kigali wanaodaiwa kupandikizwa katika taasisi na idara nyeti za serikali kwa ajili ya kufanya ushushu kwa maslahi ya Rwanda.[/h][h=4][/h][h=4]Inadaiwa kuwa intelijensia ya JWTZ iliyo na mizizi ndani na nje ya nchi ilibaini mapema kuwapo kwa majasusi wa Kinyarwanda ndani ya mfumo wa dola na nyendo zao zimekuwa zikichunguzwa kwa muda mrefu na zilibainisha hali hiyo.[/h][h=4]- Source: Mtanzania[/h]TAFADHALI KAMA HABARI HII ILISHA WEKWA HAPA NAOMBA MOD,S MUIONDOE HII.
 
Kazi kwelikweli kwanini usirudi kenye mada tu ya
Askari JWTZ mwenye asili ya Rwanda atoroka jeshini!


Na wagonjwa wa akili hata humu JF wasichangie ili kuiboresha maana ndani ya siku 2 Member mmoja tu haelewi na anatoka nje ya mada mara zote
Kama hutaelewa jamaa yangu basi tena Uamuzi wa Watanzania wote ni kuwa Wanyarwanda, wasio na vibali warudi kwao, na huyo askari aliyetoroka wengi wa wachangiaji humu JF wamesikitishwa hivyo baada ya DRC nao wachapwe hatuwezi omba suluhu wala kumbebesha rais, Waziri mkuu wala yoyote wabaya wetu ni ninyi MCHAPWE hamuwezi tutisha kwa sababu mgomvi tunamjua iweje leo uwataje viongozi wetu
.I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete


VIDEO:Youth Connekt dialogue - Rwandan Youth Meet President Kagame- Kigali, 30 June 20 - YouTube

Nilikuuli hapo awali kama ilivyo hapo chini lete majibu kwanza acha kurukia majibu waliyopewa wenzako kulingana na michango yao

Lakwako lilikuwa hili:-
Baada ya kuleta hoja ya kutuhumiwa kikwete na wanyarwanda kumshuku kuwa na asili ya burundi nikakuuliza

Mkapa ni kabila gani na asili yake ni wapi?

Nikasisitiza inshu sio asili ya mtu bali tunahitaji kuwa na ushikiano bora na mzuri na majirani zetu kwa uhai na ustawi wa Taifa letu tanzania.

Badala ya majibu unazuka na hadithi....!!!
 
OFISA wa cheo cha juu katika Jeshi la Wananchi (JWTZ), anayeaminika kuwa na asili ya Rwanda, ametoweka katika mazingira ya kutatanisha, huku akiacha wingu la mashaka kwamba, hatua yake hiyo inaweza ikawa imeambatana na kupotea pia kwa baadhi ya taarifa muhimu za kijeshi.

Taarifa za kutoweka kwa ofisa huyo mwenye cheo cha luteni kanali, zinalihusisha tukio hilo na hatua za makachero wa JWTZ kufuatilia nyendo zake na zililifikia gazeti la MTANZANIA Jumapili kwa mara ya kwanza katikati ya wiki hii.

Vyanzo vya habari vya kuaminika vinaeleza kuwa, tayari maofisa wa JWTZ wameshaanza kufuatilia kwa karibu tukio la kutoweka kwa ofisa huyo, ambalo pia limezusha hali ya sintofahamu kwamba, huenda akawa ameondoka na nyaraka nyeti za kijeshi.

Kabla ya kutoweka ofisa huyo, ambaye nyendo zake zimekuwa katika darubini kali za makachero wa JWTZ, alikuwa akifanya kazi katika kitengo cha teknolojia ya mawasiliano ya kijeshi (IT).

Hatua ya kutoweka kwa ofisa huyo wa juu wa JWTZ anayetajwa kwa jina moja la Selumbo, imekuja siku chache tu baada ya kuibuka kwa msuguano wa kauli baina ya Ikulu ya Dar es Salaam na ile ya Kigali.

Chanzo cha msigano huo wa maneno uliogeuka na kuwa mzozo wa kidiplomasia, ni ushauri uliotolewa na Rais Jakaya Kikwete kwa Rais Paul Kagame wa kumtaka awe tayari kukaa meza moja na waasi wa kundi la FDLR wanaopigana Rwanda, kutoka mashariki ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC).

Tayari msigano huo wa Kikwete na Kagame umeanza kutajwa na baadhi ya wadadisi wa mambo kuwa tishio kubwa la kwanza la ustawi, uimara na misingi ya mshikamano ndani ya Jumuiya ya Afrika Mashariki, ambayo mataifa hayo mawili ni wanachama wake.

Siku chache baada ya ushauri huo, Kagame alinukuliwa na vyombo mbalimbali vya habari nchini Rwanda akimkejeli Kikwete, hata kufikia hatua ya kutoa kauli zenye mwelekeo wa vitisho dhidi yake.

Kauli hizo za Kagame zilisababisha Rais Kikwete, kupitia katika hotuba yake ya mwishoni mwa Julai, kujibu mashambulizi, huku akieleza bayana kushangazwa na kushtushwa na kejeli na matusi yaliyokuwa yakielekezwa kwake.

Akitumia maneno ya kidiplomasia ambayo yametafsiriwa na baadhi wa wachambuzi wa masuala ya diplomasia na sayansi ya siasa kuwa yanabeba ujumbe mzito, Rais Kikwete alisema alikuwa amesikia yote yanayosemwa kutoka Rwanda na alikuwa hakusudii kuyapuuza.

Kauli hiyo ya Kikwete ambayo ilitanguliwa na ile aliyoitoa siku chache mkoani Kagera ya kuwataka wahamiaji haramu kuondoka nchini, ilifuatiwa na matukio ya kuondoka nchini kwa Wanyarwanda wanaokadiriwa kuzidi 5,000.

Wakati hali ikiendelea kuwa ni ya mashaka na kutoaminiana kati ya Tanzania na Rwanda, katikati ya wiki hii, gazeti dada la MTANZANIA Jumatano, lilikuwa na habari kubwa yenye kichwa cha habari kisemacho; ‘Nini kinamtia Jeuri Kagame?’ ambayo pamoja na mambo mengine, ilieleza namna watu wenye asili ya Rwanda walivyojipenyeza katika taasisi mbalimbali nyeti za umma.

Kuvuja kwa taarifa za kurejea Rwanda kwa maelfu ya wahamiaji haramu sambamba na hizi za sasa za kutoweka kwa ofisa wa juu wa JWTZ kunathibitisha kuhusu kuwapo kwa mwelekeo huo wa mambo.

Vyanzo vya habari vya gazeti hili, vinamtaja ofisa huyo kuwa ni mmoja wa makachero wenye asili ya Rwanda waliokuwa wakifanya kazi ndani ya JWTZ na ambao wanahofiwa kuwa watu wenye mawasiliano ya karibu na serikali ya Rwanda, kwa malengo ambayo bado hayajawekwa bayana.

“Ni kweli, huyo ofisa ametoweka jeshini na sijui sababu zilizo nyuma yake…hili suala la kuwa anakusanya taarifa za siri za jeshi letu na kuzipeleka Rwanda nadhani ziligunduliwa na watu wetu ambao wapo kwenye mfumo wa kijeshi,” alidokeza mmoja wa watoa taarifa wa MTANZANIA Jumapili.

Msemaji wa JWTZ, Meja Erick Komba, alipoulizwa na gazeti hili kupitia simu yake ya kiganjani kuhusu ukweli wa taarifa hizo, alishindwa kukubali au kukataa, kwa kile alichoeleza kuwa suala hilo ni zito hivyo alikuwa akipaswa kuzungumza kwanza na viongozi wake kabla ya kulitolea taarifa.

Meja Komba alieleza kuwa, wanajeshi wanaotoroka ni wengi na wapo waliofungwa kwa kosa hilo la utoro.

“Jamani suala hili ni zito, naliogopa, nyinyi hamlioni kama ni zito? Sio kwamba sipendi wananchi wapate habari, suala hili tupeni muda kwanza tulifanyie ‘analysis’, mbona wanajeshi wengi wanatoroka na hamripoti! Waliotoroka ni wengi, wangine wametorokea Rwanda na kwingine na wamefungwa.

“Ni lazima kwanza niongee na mabosi wangu ndiyo nizungumzie vizuri hili… njoo ofisini Jumatatu (Kesho),” alisema Meja Komba.

Sanjari na tukio hilo, taarifa zaidi zilizonaswa na gazeti hili zimedai kuwa sasa imebainika pasipo shaka kuhusu kuwapo kwa makachero wa Serikali ya Kigali wanaodaiwa kupandikizwa katika taasisi na idara nyeti za serikali kwa ajili ya kufanya ushushu kwa maslahi ya Rwanda.

Inadaiwa kuwa intelijensia ya JWTZ iliyo na mizizi ndani na nje ya nchi ilibaini mapema kuwapo kwa majasusi wa Kinyarwanda ndani ya mfumo wa dola na nyendo zao zimekuwa zikichunguzwa kwa muda mrefu na zilibainisha hali hiyo.

- Source: Mtanzania

TAFADHALI KAMA HABARI HII ILISHA WEKWA HAPA NAOMBA MOD,S MUIONDOE HII.

Propaganda za magazeti uchwara yanayoandikwa na wahariri makanjanja wachumia-tumbo.

we don't want war! kwa sababu:

sababu za kupigana hakuna
 
Hakuna cha intelejensia wala nini, ni uzembe tu; wameingiza intelejensia si ingewakamata au kuzuia kukingia kwao??? intelejensia is all about the ability to defense sio kuishi nao kwa namna wanayotaka wao bila kuwakwazaaaa.
 
i said unaumwa... unaona sasa unavyorusha rusha ideas kama popo

sasa unataka nini hasa??
  • warwanda walioambiwa ukweli kwamba kama hawana documents zinazowaruhuru kukaa nchini warudi kwao??
  • Mwigulu aache siasa
  • kikwete na Pinda waache kupiga misele?
  • hospitali na hudma za afya ziboreshwe??
  • kagame ahamie tanzania??
  • warwanda wasisameheane?
  • wewe uende hospitali kutibiwa akili
  • watawala wawakumbuke?? inagwa hujui sasa ni watawala gani, wa rwanda au tanzania??
au nini hasa??

maana hii thread umeruka nayo na kila aina ya suggestions, observations etc ambazo zote haziungi hata hoja moja kutoka kwako

UNAOISHI NAO WANA KAZI SANA AISEE

Nimekukomeshen na kujikomba kwa kikwete, hoja zimewaishia kila jibu ninalowapa nazidi kuwavuwa nguo na kikwete wenu.

Unapatajibu fasaha kabisa kulingana na mchango wako.
 
Mkapa ni kabila gani na asili yake ni wapi?
Nikasisitiza inshu sio asili ya mtu bali tunahitaji kuwa na ushikiano bora na mzuri na majirani zetu kwa uhai na ustawi wa Taifa letu tanzania.Badala ya majibu unazuka na hadithi....!!!
sasa nimekuelewa na jibu ni kuwa HATUWEZI TENA KUWA NA UHUSIANO HASA NA WATUTSI
kuna sababu nyingi tumeshazieleza huko nyuma.
  • Rwanda sio kwao walitokea Pembe ya Afrika na kabla ya hapo walitokea mashariki ya kati
  • Mkapa ni Mbantu na makabila mengine yote, kasoro Wahangaza na Wamaasai, Mtutsi bado ana ubaguzi amabao kiasili hatauacha
  • Kuna makabila mengi na Nchi zaidi ya 9 zimetuzunguka lakini Wakimbizi wengi ni kutoka kwa hao jamaa, jiulize ni kwanini wanatamani kutawala peke yao na kukaa peke yao
  • ili tujiepushe na dhahama hii, kila mtu asiye na kibali kwanza arudi kwao
  • zaidi ya hapo ili kuulinda UTU wetu ni bora waondolewe kwa bakora au kichapo kwani walivamia, ardhi yetu
  • hakuna watanzania wanaovamia Rwanda na Burundi na hata km wapo ktk Serikali ya Rwanda hawawezi kuwa wasaliti km huyu askari Lut Colnel na wenzake wa3 walivyotoroka (ni lazima wana makosa ndio maana hofu imewajaa)
HATUWEZI TENA KUWA NA UHUSIANO HASA NA WATUTSI hapo kwenye RED ni kuwa mm ni shahidi na nimeathirika hasa kiofisi na sipendi Watanzania yakawakuta na hata kupinga jumuia ya EAC nilikuwa wa kwanza kukataa kuongeza nchi hizo 2 bora tuendelee na SADC kuliko Rwanda
Nimekukomeshen na kujikomba kwa kikwete, hoja zimewaishia kila jibu ninalowapa nazidi kuwavuwa nguo na kikwete wenu.
Unapatajibu fasaha kabisa kulingana na mchango wako.
hapa Kikwete anahusika vipi na nilishakuambia mjinga ni ndugu yako!!
http://www.youtube.com/watch?feature=player_embedded&v=pI2GhnIHbKs&t=0
VIDEO:Youth Connekt dialogue - Rwandan Youth Meet President Kagame- Kigali, 30 June 20 - YouTube
 
huu mzozo wa Rwanda na Tanzania unakuzwa na magazeti hasa Gazeti la MTANZANIA,hivi hao wahindi ambao ni wabunge wao ni raia au wahamiaji haramu mfano JEETU SON babati vijijini, MOHAMED DEWJI singida mjini,MOHAMED MURJI mtwara mjini?je hao si waamiaji haramu?serikali ya ccm ni dhaifu sana mpaka imefikia kuwapa vyeo vya UNEC wahamiaji haramu au kisa hawa ni weusi?Tanzania iliacha mwanya kwa wahamiaji haramu wengi so watu walisha shika nyadhifa hata Kagame hakuwa na ndoto za kuwa RAIS wa rwandwa,SO IWEJE LEO NDIO MSEME HAWA NI WANYARWANDA?
 
Propaganda za magazeti uchwara yanayoandikwa na wahariri makanjanja wachumia-tumbo.

we don't want war! kwa sababu:

sababu za kupigana hakuna

hili ndilo jambo la msingi hakuna kabisa sababu zamsingi kutupeleka vitani japokuwa watawala wetu wanajaribu kutengeneza mazingira ya kivita kwa sababu zisizonamaana
 
sasa nimekuelewa na jibu ni kuwa HATUWEZI TENA KUWA NA UHUSIANO HASA NA WATUTSI
kuna sababu nyingi tumeshazieleza huko nyuma.
  • Rwanda sio kwao walitokea Pembe ya Afrika na kabla ya hapo walitokea mashariki ya kati
  • Mkapa ni Mbantu na makabila mengine yote, kasoro Wahangaza na Wamaasai, Mtutsi bado ana ubaguzi amabao kiasili hatauacha
  • Kuna makabila mengi na Nchi zaidi ya 9 zimetuzunguka lakini Wakimbizi wengi ni kutoka kwa hao jamaa, jiulize ni kwanini wanatamani kutawala peke yao na kukaa peke yao
  • ili tujiepushe na dhahama hii, kila mtu asiye na kibali kwanza arudi kwao
  • zaidi ya hapo ili kuulinda UTU wetu ni bora waondolewe kwa bakora au kichapo kwani walivamia, ardhi yetu
  • hakuna watanzania wanaovamia Rwanda na Burundi na hata km wapo ktk Serikali ya Rwanda hawawezi kuwa wasaliti km huyu askari Lut Colnel na wenzake wa3 walivyotoroka (ni lazima wana makosa ndio maana hofu imewajaa)
HATUWEZI TENA KUWA NA UHUSIANO HASA NA WATUTSI hapo kwenye RED ni kuwa mm ni shahidi na nimeathirika hasa kiofisi na sipendi Watanzania yakawakuta na hata kupinga jumuia ya EAC nilikuwa wa kwanza kukataa kuongeza nchi hizo 2 bora tuendelee na SADC kuliko Rwanda

hapa Kikwete anahusika vipi na nilishakuambia mjinga ni ndugu yako!!
Youth Connekt dialogue - Rwandan Youth Meet President Kagame- Kigali, 30 June 2013 - YouTube
VIDEO:Youth Connekt dialogue - Rwandan Youth Meet President Kagame- Kigali, 30 June 20 - YouTube

Umejibu nini sasa, hujajibu leta jibu sahihi ndipo tuendelee.


Nilikuuliza hapo awali kama ilivyo hapo chini lete majibu kwanza acha kurukia majibu waliyopewa wenzako kulingana na michango yao

Lakwako lilikuwa hili:-
Baada ya kuleta hoja ya kutuhumiwa kikwete na wanyarwanda kumshuku kuwa na asili ya burundi nikakuuliza

Mkapa ni kabila gani na asili yake ni wapi?

Nikasisitiza inshu sio asili ya mtu bali tunahitaji kuwa na ushirikiano bora na mzuri na majirani zetu kwa uhai na ustawi wa Taifa letu tanzania.

Badala ya majibu unazuka na hadithi....!!!
 
Hata Kagame alitoka UPDF kwenda kuteketeza wahutu Rwanda kwa style hiyohiyo.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom