Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
NakaziaDah dah misiba mingine ni aibu sanaa
Aibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaDah dah misiba mingine ni aibu sanaa
NakaziaAskali mwizi na msiba wake sihudhurii na rambirambi sitoi. Penzi ale na simu aibe?. Marehemu jambazi
Wasiozini harafu hawajaoa wengi wao no mahanithi na wapiga punyetoNazidi kumuomba Mungu sana tu
Ila sio mnajikuta tatizo mnaendekeza sana hisia zenu ziwaendeshee maisha na mnamuacha Mungu
Kwani unadhani wasiozini hawana hamu? Ila ni kule kumuogopa Mungu na kumfuata
Dah we acha tu shetani ana nguvu sanaa ila tujaribu kumshinda shetani
Nyetoo babuuWasiozini harafu hawajaoa wengi wao no mahanithi na wapiga punyeto
Sent using Jamii Forums mobile app
KAmanda Amelala Mauti Na KashfaAibu kubwa tanzania
Sasa kama.na hao wengine walipata malaya. Hii nchi inalindwa na Mungu tu.Tanzania Police wapo hovyo sana kwenye emergency. Wanapigiwa simu usiku saa 9 wanaenda asubuhi saa 1.
wakati wale askali wa doria wa usiku wanashinda karibu na bar zinazokesha.Wangewahi jamaa wangemuwaisha hospital labda angepona.
Kwanza Polisi aibee chips za jana kweli?? Kuruka ukuta wa Guest sijawahi sikiaa yanii kwani gest si kuko wazi muda wote mtu anatoka na kuingiaa... aibee mpaka simu kwelii alafu wakati wa kuruka ukuta aangukie kitu chenye ncha kali mmh. Hii taarifa either ni inside job au robbery fail bhasi ila sio hii story inagoma kabisaa sema anyway kama alikuwa target inside job bhasi story haiwezi badilika.Huyu Askar mbona kama kauwawa? Hivyo vitu alivyokutwa navyo kuvitaja hadharan Ni aibu Sina uhakika kama kazi YA kumpekua ilifanywa Na polisi ama raia?
Jiulize ulitaka waseme chips za Leo akati kifochake ni uck baada ya 6 uck ,huoni inakua siku mpya au ulitamani wasemejeKwanza Polisi aibee chips za jana kweli?? Kuruka ukuta wa Guest sijawahi sikiaa yanii kwani gest so kuko wazi muda wote mtu anatoka na kuingiaa... aibee mpaka simi kwelii alafu aangukie kitu chenye ncha kali mmh. Hii taarifa either ni inside job au robbery fail bhasi ila sio hii story inagoma kabisaa sema anyway kama alikuwa target inside job bhasi story haiwezi badilika.
Sasa mkuu chips za janaa mtu anaiba apeleke wapi??? Yani hata me enzi hizo sina helaa sikuwahi beba kiporo cha chips nilizonunua jana guest..Jiulize ulitaka waseme chips za Leo akati kifochake ni uck baada ya 6 uck ,huoni inakua siku mpya au ulitamani wasemeje
Jiulize ulitaka waseme chips za Leo akati kifochake ni uck baada ya 6 uck ,huoni inakua siku mpya au ulitamani wasemeje
Sasa kama.na hao wengine walipata malaya. Hii nchi inalindwa na Mungu tu.
1. Askari anakaa bar anapiga mitungi sawa na nyie ikitokea ambush moja hapo kama ya wasomali chali.
2. Askari anaingia lodge saa 6 usiku na mwanamke then anajaribu kumuibia mwanamke simu na chipsi.. useme kuna ulinzi..
hapo ni Mungu tu ndo anatulinda..
Kuna uwezekano mkubwa kamanda kachomolewa Na wenzake.polisi wana njaa,lakini za kuiba chipsi na simu za malaya hizi ni fitna za maji taka.
inawezekana kabisa hilo tukio ni la kuchora kwa malengo maalum,yaani toka kuingia guest mpaka mwisho wake ni planned.
kingine ni namna polisi wenyewe walivyofanya wepesi kuachia taarifa mbovu namna hiyo public,kila mtu anawajua polisi fedheha ikiwa upande wao wanavyohangaika kuificha.
hapa kuna uhuni.
Alafu anaingia guest na radio call mkononi kwenda kuzinii daah[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hawa jamaa wanazinguaa ilaa hii sasa wamestage vibaya tukio ni mbuzi wa bwana heri shamba la bwana herii.polisi wana njaa,lakini za kuiba chipsi na simu za malaya hizi ni fitna za maji taka.
inawezekana kabisa hilo tukio ni la kuchora kwa malengo maalum,yaani toka kuingia guest mpaka mwisho wake ni planned.
kingine ni namna polisi wenyewe walivyofanya wepesi kuachia taarifa mbovu namna hiyo public,kila mtu anawajua polisi fedheha ikiwa upande wao wanavyohangaika kuificha.
hapa kuna uhuni.
Najiuliza kwenye risala ya mazishi watataja sababu ipi ya kifo cha afande?